< 1 Samweli 27 >

1 Daudi akasema moyoni mwake, “Katika mojawapo ya siku hizi nitaangamizwa kwa mkono wa Sauli. Jambo lililo bora ni kutorokea kwenye nchi ya Wafilisti. Hivyo Sauli atakata tamaa ya kunisaka popote katika Israeli, nami nitakuwa nimeponyoka mkononi mwake.”
David el sifacna nunku insial, “Sie len Saul el ac mau uniyuwi. Wona nga in kaingla nu Philistia, na Saul el ac tia sifil sukyu in facl Israel, ac nga fah moul in misla.”
2 Hivyo Daudi akaondoka na hao watu mia sita waliokuwa pamoja naye na kwenda kwa Akishi mwana wa Maoki mfalme wa Gathi.
Ke ma inge, David ac mwet onfoko lal elos tuyak ac som nu yorol Achish, wen natul Maoch, su tokosra fin acn Gath.
3 Daudi na watu wake wakakaa huko Gathi pamoja na Akishi. Kila mtu alikuwa pamoja na jamaa yake, naye Daudi pamoja na wakeze wawili: yaani Ahinoamu wa Yezreeli, na Abigaili wa Karmeli, mjane wa Nabali.
David ac mwet lal wi sou lalos, elos oakwuki muta in facl Gath. El us mutan luo kial welul: Ahinoam mutan Jezreel se, ac Abigail mutan Carmel se su katinmas kial Nabal.
4 Sauli alipokuwa ameambiwa kwamba Daudi alikuwa amekimbilia Gathi, hakuendelea kumsaka tena.
Ke Saul el lohng lah David el kaingla nu Gath, el tila sokol.
5 Ndipo Daudi akamwambia Akishi, “Kama nimepata kibali machoni pako, unipe sehemu katika mojawapo ya miji katika nchi nikae huko. Kwa nini mtumwa wako akae pamoja nawe katika mji huu wa kifalme?”
David el fahk nu sel Tokosra Achish, “Fin pwaye lah nga kom kawuk, ase sie siti srisrik nga in muta we. Nga tia enenu nga in wi kom muta in siti lun tokosra.”
6 Hivyo siku hiyo Akishi akampa Daudi mji wa Siklagi, nao Siklagi umekuwa mali ya wafalme wa Yuda tangu wakati huo.
Ouinge Tokosra Achish el sang siti srisrik se Ziklag nu sel, ac pa inge sripa se sis acn Ziklag ma na lun tokosra lun mwet Judah nwe misenge.
7 Daudi akaishi katika nchi ya Wafilisti muda wa mwaka mmoja na miezi minne.
David el muta in facl lun mwet Philistia malem singoul onkosr.
8 Basi Daudi na watu wake wakapanda na kuwashambulia Wageshuri, Wagirizi na Waamaleki. (Tangu zamani haya mataifa yalikuwa yameishi kwenye eneo lililotanda kuanzia Telemu katika njia iteremkayo Shuri hadi kufikia nchi ya Misri.)
In pulan pacl sac, David ac mwet lal elos mweun lain mwet Geshur, mwet Girzi, ac mwet Amalek. Mwet inge elos nu muta inge in pacl loeloes somla nwe in pacl se inge. David el mweuni acn inge som na nwe sun acn Shur, ac fahla pac nwe Egypt,
9 Kila mara Daudi aliposhambulia eneo, hakubakiza hai mwanaume wala mwanamke, lakini alichukua kondoo na ngʼombe, punda na ngamia, na nguo. Kisha akarudi kwa Akishi.
ac onela mukul ac mutan, ac sruokya sheep, cow, donkey, camel, ac oayapa nuknuk. Na elos ac folok nu yorol Tokosra Achish,
10 Akishi alipomuuliza, “Je leo umeshambulia wapi?” Daudi humjibu, “Dhidi ya Negebu ya Yuda,” au wakati mwingine husema, “Dhidi ya Negebu ya Yerameeli,” au “Dhidi ya Negebu ya Wakeni.”
ac el ac siyuk sel David, “Ku kom som mweun oya misenge?” Ac David el ac fahk nu sel lah elos som layen nu eir in acn Judah, ku el ac fahk mu elos som nwe in facl sin sou lal Jerahmeel, ku nu in facl sin mwet Ken.
11 Daudi hakumwacha hai mwanaume au mwanamke ili apate kuletwa Gathi, kwa maana Daudi aliwaza, “Wanaweza kujulisha habari zetu na kusema, ‘Hivi ndivyo alivyofanya Daudi.’” Hii ndiyo ilikuwa desturi yake wakati wote aliishi katika nchi ya Wafilisti.
David el ac onela mwet nukewa, mukul ac mutan. El oru ouinge in mau wangin mwet folok nu Gath ac srumun ma el, ac mwet lal inge, oru uh. David el oru na lumah se inge ke lusen pacl se el muta Philistia ah.
12 Akishi akamsadiki Daudi na kuwaza moyoni mwake, akasema, “Daudi amekuwa kitu cha kuchukiza kabisa kwa watu wake, Waisraeli, hivi kwamba atakuwa mtumishi wangu milele.”
Tuh Tokosra Achish el lulalfongel David, ac el sifacna nunku insial, “David el srungayuk na pwaye sin mwet lal sifacna, mwet Israel. Ke ma inge el ac fah enenu elan kulansupweyu in moul lal nufon.”

< 1 Samweli 27 >