< 1 Samweli 2 >

1 Kisha Hana akaomba na kusema: “Moyo wangu wamshangilia Bwana, katika Bwana pembe yangu imeinuliwa juu. Kinywa changu chajisifu juu ya adui zangu, kwa kuwa naufurahia wokovu wako.
Тогава Анна се помоли, като казваше: - Развесели се сърцето ми в Господа; Въздигна се рога ми чрез Господа; Разшириха се устата ми срещу неприятелите ми, Защото се развеселих в спасението Ти.
2 “Hakuna yeyote aliye mtakatifu kama Bwana, hakuna mwingine zaidi yako; hakuna Mwamba kama Mungu wetu.
Няма свет какъвто е Господ; Защото няма друг освен Тебе, Нито канара като нашия Бог.
3 “Msiendelee kusema kwa kiburi hivyo wala msiache vinywa vyenu kunena kwa kiburi, kwa kuwa Bwana ndiye Mungu ajuaye, na kwa yeye matendo hupimwa.
Не продължавайте да говорите горделиво; Да не излезе високомерие из устата ви; Защото Господ е Бог на знания, И от него се претеглят делата.
4 “Pinde za mashujaa zimevunjika, lakini wale wanaojikwaa wamevikwa nguvu.
Лъковете на силните се строшиха; И немощните се препасаха със сила.
5 Wale waliokuwa na chakula tele wamejikodisha wenyewe ili kupata chakula, lakini wale waliokuwa na njaa hawana njaa tena. Mwanamke yule aliyekuwa tasa amezaa watoto saba, lakini yule ambaye alikuwa na wana wengi amedhoofika.
Ситите се пазариха за хляб; А гладните престанаха да гладуват. Ей, и не плодната роди седем, А многодетната изнемощя.
6 “Bwana huua na huleta uhai, hushusha chini mpaka kaburini na hufufua. (Sheol h7585)
Господ умъртвява, и съживява; Сваля в ада, и възвежда. (Sheol h7585)
7 Bwana humfanya mtu maskini naye hutajirisha, hushusha na hukweza.
Господ осиромашава човека, и обогатява; Смирява човека, и въздига.
8 Humwinua maskini kutoka mavumbini na humwinua mhitaji kutoka lundo la majivu; huwaketisha pamoja na wakuu na kuwafanya warithi kiti cha enzi cha heshima. “Kwa kuwa misingi ya dunia ni ya Bwana; juu yake ameuweka ulimwengu.
Въздига бедния от пръстта, И възвишава сиромаха от бунището, За да ги направи да седнат между князете, И да наследят славен престол; Защото стълбовете на земята са на Господа, Който и постави на тях вселената.
9 Yeye atailinda miguu ya watakatifu wake, lakini waovu watanyamazishwa kwenye giza. “Si kwa nguvu mtu hushinda;
Ще пази нозете на светиите Си; А нечестивите ще погинат в тъмнината; Понеже със сила не ще надделее човек.
10 wale wampingao Bwana wataharibiwa kabisa. Atapiga radi dhidi yao kutoka mbinguni; Bwana ataihukumu miisho ya dunia. “Atampa nguvu mfalme wake, na kuitukuza pembe ya mpakwa mafuta wake.”
Противниците на Господа ще се сломят; Ще гръмне от небето против тях; Господ ще съди краищата на земята, И ще даде сила на царя Си, И ще въздигне рога на помазаника Си.
11 Kisha Elikana akaenda nyumbani Rama, lakini mtoto akahudumu mbele za Bwana chini ya kuhani Eli.
Тогава Елкана си отида у дома си в Рама. А детето слугуваше Господу пред свещеника Илия.
12 Wana wa Eli walikuwa watu wabaya kabisa, hawakumheshimu Bwana.
А Илиевите синове бяха лоши човеци, които не познаваха Господа.
13 Basi ilikuwa desturi ya makuhani pamoja na watu kwamba kila mara yeyote anapotoa dhabihu na huku nyama ikiwa inachemshwa, mtumishi wa kuhani angalikuja na uma wenye meno matatu mkononi mwake.
Тия свещеници постъпваха към людете така: когато някой принасяше жертва, като се вареше месото, слугата на свещеника дохождаше с тризъбна вилица в ръка
14 Angeutumbukiza huo uma kwenye sufuria au birika au sufuria kubwa au chungu, naye kuhani angalijichukulia mwenyewe chochote ambacho uma ungekileta. Hivi ndivyo walivyowatendea Waisraeli wote waliokuja Shilo.
и забождаше я в тенджерата или в котела, или в котлето, или в гърнето; и каквото издигаше вилицата, свещеникът го вземаше за себе си. Така постъпваха в Сило с всичките израилтяни, които дохождаха там.
15 Lakini hata kabla mafuta ya mnyama hayajachomwa, mtumishi wa kuhani angalikuja na kusema kwa mtu ambaye alikuwa akitoa dhabihu, “Mpe kuhani nyama akaoke, kwani hatapokea nyama iliyochemshwa kutoka kwako, ila iliyo mbichi tu.”
Даже и преди да изгорят тлъстината, слугата на свещеника дохождаше та казваше на човека, който принасяше жертвата: Дай на свещеника месото за печене, защото няма да приеме от тебе варено месо, но сурово.
16 Kama mtu akimwambia, “Mafuta ya mnyama na yachomwe kwanza, ndipo uchukue chochote unachotaka,” mtumishi angalijibu, “Hapana, nipe sasa, kama huwezi nitaichukua kwa nguvu.”
И ако човекът му речеше: Нека изгорят първо тлъстината, и сетне си вземи колкото желае душата ти, тогава казваше: Не, но сега ще дадеш, и ако не, ще взема на сила.
17 Hii Dhambi ya hawa vijana ilikuwa kubwa sana machoni pa Bwana, kwa kuwa waliitendea dhabihu ya Bwana kwa dharau.
Така грехът на тия младежи беше твърде голям пред Господа; защото човеците се отвращаваха от Господната жертва.
18 Lakini Samweli alikuwa akihudumu mbele za Bwana, kijana akivaa kisibau cha kitani.
А Самуил слугуваше пред Господа, дете препасано с ленен ефод.
19 Kila mwaka mama yake alimshonea joho dogo na kumchukulia wakati alipokwea pamoja na mumewe kutoa dhabihu ya mwaka.
И майка му правеше за него горна дрешка та му донасяше всяка година, когато дохождаше с мъжа си, за да принесе годишната жертва.
20 Eli alikuwa akiwabariki Elikana na mkewe, akisema, “Bwana na akupe watoto kwa mwanamke huyu ili kuchukua nafasi ya yule aliyekuwa amemwomba na akamtoa kwa Bwana.” Kisha wakawa wanakwenda nyumbani.
И Илий благослови Елкана и жена му, като каза: Господ да ти даде рожба от тая жена вместо заема, който дадохте на Господа. И те отидоха на мястото си.
21 Bwana akawa mwenye neema kwa Hana, naye akapata mimba akazaa wana watatu na binti wawili. Wakati huo, kijana Samweli akaendelea kukua mbele za Bwana.
И Господ посети Анна; и тя зачна и роди три сина и две дъщери. А детето Самуил растеше пред Господа.
22 Basi Eli, ambaye alikuwa mzee sana, alisikia kuhusu kila kitu ambacho wanawe walikuwa wakiwafanyia Israeli wote na jinsi walivyokutana kimwili na wanawake waliohudumu kwenye ingilio la Hema la Kukutania.
А като беше Илий много стар, чу всичко, що прави синовете му на целия Израил, и как лежали с жените, които слугували при входа на шатъра за срещане.
23 Hivyo akawaambia, “Kwa nini mmefanya mambo kama haya? Nimesikia kutoka kwa watu wote juu ya haya matendo yenu maovu.
И той им рече: Защо правите такива работи? понеже слушам лоши работи за вас от всички тия люде.
24 Sivyo, wanangu, hii si habari nzuri ambayo ninasikia ikienea miongoni mwa watu wa Bwana.
Недейте, чада мои; защото не е добър слухът, който чувам; вие правите Господните люде да стават престъпници.
25 Kama mtu akifanya dhambi dhidi ya mtu mwenzake, mtu mwingine aweza kumwombea kwa Mungu, lakini kama mtu akimfanyia Mungu dhambi, ni nani atakayemwombea?” Hata hivyo wanawe hawakusikia maonyo ya baba yao, kwa sababu Bwana alitaka kuwaua.
Ако сгреши човек на човека ще стане моление Богу за него; но ако съгреши някой Господу, кой ще се моли за него? Но те не послушаха гласа на баща си, защото Господ щеше да ги погуби.
26 Naye kijana Samweli akaendelea kukua katika kimo, akimpendeza Bwana na wanadamu.
А детето Самуил растеше и придобиваше благоволението и на Господа и на човеците.
27 Basi mtu wa Mungu akaja kwa Eli na kumwambia, “Hivi ndivyo asemavyo Bwana: ‘Je, sikujifunua waziwazi kwa nyumba ya baba yako wakati walikuwa huko Misri chini ya Farao?
Тогава дойде един Божий човек при Илия та му рече: Така казва Господ: Не съм ли Се открил явно на бащиния ти дом когато те бяха в Египет у Фараоновия дом?
28 Nilimchagua baba yako kati ya makabila yote ya Israeli kuwa kuhani wangu, kukwea kwenye madhabahu yangu, kufukiza uvumba na kuvaa kisibau mbele yangu. Pia niliwapa nyumba ya baba yako sadaka zote zilizotolewa kwa moto na Waisraeli.
И не съм ли избрал него измежду всичките Израилеви племена за Мой свещеник, за да принесе жертвата на олтара Ми, да гори темян и да носи ефод пред Мене? И не съм ли дал на бащиния ти дом всичките приноси чрез огън от израилтяните?
29 Kwa nini unadharau dhabihu zangu na sadaka zile nilizoziamuru kwa ajili ya makao yangu? Kwa nini unawaheshimu wanao kuliko mimi kwa kujinenepesha wenyewe kwa kula sehemu zilizo bora za kila sadaka zinazotolewa na watu wangu wa Israeli?’
Защо, прочее, ритате жертвата Ми и приноса Ми, който съм заповядал да принасят в жилището Ми, и почитат синовете си повече от Мене, за да се гоите с по-доброто от всичките приноси на людете Ми Израиля?
30 “Kwa hiyo, Bwana, Mungu wa Israeli asema: ‘Niliahidi kuwa nyumba yako na nyumba ya baba yako wangehudumu mbele zangu milele.’ Lakini sasa Bwana anasema: ‘Jambo hili na liwe mbali nami! Wale wanaoniheshimu nitawaheshimu, wale wanaonidharau mimi watadharauliwa.
Затова Господ Израилевият Бог каза: Аз наистина думах, че твоят дом и домът на баща ти ще да ходят пред Мене до века; но сега Господ каза: Далеч от Мене! защото ония, които славят Мене, тях ще прославя Аз, а ония, които Ме презират, ще бъдат презрени.
31 Wakati unakuja nitakapozipunguza nguvu zenu na nguvu ya nyumba ya baba yenu, ili pasiwepo mtu katika mbari yenu atakayeishi kuuona uzee
Ето, идат дните, когато ще пресека мишцата на бащиния ти дом, така щото да няма старец в дома ти.
32 nanyi mtaona huzuni katika makao yangu. Ingawa Israeli watafanyiwa mema, katika mbari yenu kamwe hapatakuwepo mtu atakayeishi hadi kuwa mzee.
И според всичките блага, които ще се дадат на Израиля, в жилището Ми ще видиш утеснение; и не ще има старец в дома ти до века.
33 Kila mmoja wenu ambaye sitamkatilia mbali kutoka madhabahuni pangu atabakizwa tu kupofusha macho yenu kwa machozi na kuihuzunisha mioyo yenu, nao wazao wenu wote watakufa watakapokuwa wamefikia umri wa kustawi.
И оня от твоите, когото не отсека от олтара Си, ще бъде за изнуряване на очите ти и за огорчаване на душата ти; и всичките внуци на дома ти ще умират в средна възраст.
34 “‘Kile kitakachotokea kwa wanao wawili, Hofni na Finehasi, kitakuwa ishara kwako. Wote wawili watakufa katika siku moja.
И това, което ще дойде върху двамата ти сина, върху Офния и Финееса, ще ти бъде знамение: в един ден и двамата ще умрат.
35 Mimi mwenyewe nitajiinulia kuhani mwaminifu, ambaye atafanya sawasawa na kile kilichoko moyoni mwangu na akilini mwangu. Nitaifanya nyumba yake kuwa imara, naye atahudumu mbele ya mpakwa mafuta wangu daima.
И Аз ще си въздигна верен свещеник, който ще постъпва според това, което е в сърцето Ми и в душата Ми; и ще съградя непоколебим дом; и той ще ходи пред помазаника Ми до века.
36 Kisha kila mmoja aliyeachwa katika mbari yenu atakuja na kusujudu mbele yake kwa ajili ya kipande cha fedha na ganda la mkate akisema, “Niteue katika baadhi ya ofisi ya ukuhani ili niweze kupata chakula.”’”
А всеки, който остане в твоя дом, ще дохожда да му се кланя за малко пари и за един хляб, и ще казва: Назначи ме, моля, на някоя от свещеническите служби, за да ям едно късче хляб.

< 1 Samweli 2 >