< 1 Nyakati 1 >

1 Adamu, Sethi, Enoshi,
Adam, Seth, Énosh;
2 Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
Kénan, Mahalaléel, Jéred;
3 Enoki, Methusela, Lameki, Noa.
Hénoc, Métushélah, Lémec;
4 Wana wa Noa walikuwa: Shemu, Hamu na Yafethi.
Noé, Sem, Cham et Japhet.
5 Wana wa Yafethi walikuwa: Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.
Fils de Japhet: Gomer, Magog, Madaï, Javan, Tubal, Méshec et Tiras.
6 Wana wa Gomeri walikuwa: Ashkenazi, Rifathi na Togarma.
Fils de Gomer: Ashkénaz, Diphath et Togarma.
7 Wana wa Yavani walikuwa: Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.
Fils de Javan: Élisham, Tharshisha, Kittim et Rodanim.
8 Wana wa Hamu walikuwa: Kushi, Misraimu, Putu na Kanaani.
Fils de Cham: Cush, Mitsraïm, Put et Canaan.
9 Wana wa Kushi walikuwa: Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa: Sheba na Dedani.
Fils de Cush: Séba, Havila, Sabta, Raema et Sabtéca. Fils de Raema: Shéba et Dédan.
10 Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa katika nchi.
Cush engendra Nimrod, qui commença à être puissant sur la terre.
11 Misraimu akawazaa: Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
Mitsraïm engendra les Ludim, les Anamin, les Léhabim, les Naphtuhim,
12 Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti) na Wakaftori.
Les Pathrusim, les Casluhim, d'où sont sortis les Philistins, et les Caphtorim.
13 Wana wa Kanaani walikuwa: Sidoni, mzaliwa wake wa kwanza, na Hethi,
Canaan engendra Sidon, son premier-né, et Heth,
14 Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,
Les Jébusiens, les Amoréens, les Guirgasiens,
15 Wahivi, Waariki, Wasini,
Les Héviens, les Arkiens, les Siniens,
16 Waarvadi, Wasemari na Wahamathi.
Les Arvadiens, les Tsémariens et les Hamathiens.
17 Wana wa Shemu walikuwa: Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu. Wana wa Aramu walikuwa: Usi, Huli, Getheri na Mesheki.
Fils de Sem: Élam, Assur, Arpacshad, Lud, Aram, Uts, Hul, Guéther et Méshec.
18 Arfaksadi akamzaa Shela, Shela akamzaa Eberi.
Arpacshad engendra Shélach; et Shélach engendra Héber.
19 Eberi alipata wana wawili: Mmoja wao aliitwa Pelegi, kwa kuwa wakati wake dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.
Deux fils naquirent à Héber: l'un s'appelait Péleg (partage), parce que de son temps la terre fut partagée; et le nom de son frère était Jockthan.
20 Wana wa Yoktani walikuwa: Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
Jockthan engendra Almodad, Shéleph, Hatsarmaveth, Jérach,
21 Hadoramu, Uzali, Dikla,
Hadoram, Uzal, Dikla,
22 Obali, Abimaeli, Sheba,
Ébal, Abimaël, Shéba,
23 Ofiri, Havila na Yobabu. Wote hawa walikuwa wana wa Yoktani.
Ophir, Havila et Jobab; tous ceux-là furent fils de Jockthan.
24 Wana wa Shemu walikuwa Arfaksadi, Shela,
Sem, Arpacshad, Shélach,
25 Eberi, Pelegi, Reu,
Héber, Péleg, Réhu,
26 Serugi, Nahori, Tera,
Sérug, Nachor, Tharé,
27 Tera akamzaa Abramu (yaani, Abrahamu).
Abram, qui est Abraham.
28 Abrahamu alikuwa na wana wawili: Isaki na Ishmaeli.
Fils d'Abraham: Isaac et Ismaël.
29 Hawa ndio waliokuwa wazao wa Hagari: Nebayothi mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, Kedari, Adbeeli, Mibsamu,
Voici leur postérité: le premier-né d'Ismaël, Nébajoth; puis Kédar, Adbéel, Mibsam,
30 Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
Mishma, Duma, Massa, Hadan, Théma,
31 Yeturi, Nafishi na Kedema. Hao ndio wana wa Ishmaeli.
Jéthur, Naphish et Kedma; ce sont là les fils d'Ismaël.
32 Wana waliozaliwa na Ketura suria wa Abrahamu walikuwa: Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa: Sheba na Dedani.
Fils de Kétura, concubine d'Abraham: Elle enfanta Zimran, Jokshan, Médan, Madian, Jishbak et Shuach. Fils de Jokshan: Shéba et Dédan.
33 Wana wa Midiani walikuwa: Efa, Eferi, Hanoki, Abida na Eldaa. Wote hao walikuwa wa uzao wa Ketura.
Fils de Madian: Épha, Épher, Hanoc, Abida et Eldaa; tous ceux-là sont fils de Kétura.
34 Abrahamu alikuwa baba wa Isaki. Wana wa Isaki walikuwa: Esau na Israeli.
Abraham engendra Isaac. Fils d'Isaac: Ésaü et Israël.
35 Wana wa Esau walikuwa: Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu na Kora.
Fils d'Ésaü: Éliphaz, Réuël, Jéush, Jaelam et Korah.
36 Wana wa Elifazi walikuwa: Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi; Elifazi kwa Timna akamzaa Amaleki.
Fils d'Éliphaz: Théman, Omar, Tséphi, Gaetham, Kénaz, Thimna et Amalek.
37 Wana wa Reueli walikuwa: Nahathi, Zera, Shama na Miza.
Fils de Réuël: Nahath, Zérach, Shamma et Mizza.
38 Wana wa Seiri walikuwa: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana, Dishoni, Eseri na Dishani.
Fils de Séir: Lothan, Shobal, Tsibeon, Ana, Dishon, Etser et Dishan;
39 Wana wa Lotani walikuwa wawili: Hori na Homamu. Lotani alikuwa na dada yake aliyeitwa Timna.
Fils de Lothan: Hori et Homam. Sœur de Lothan: Thimna.
40 Wana wa Shobali walikuwa: Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo na Onamu. Wana wa Sibeoni walikuwa: Aiya na Ana.
Fils de Shobal: Aljan, Manahath, Ébal, Shéphi et Onam. Fils de Tsibeon: Ajja et Ana.
41 Mwana wa Ana alikuwa: Dishoni. Nao wana wa Dishoni walikuwa: Hemdani, Eshbani, Ithrani na Kerani.
Fils d'Ana: Dishon. Fils de Dishon: Hamran, Eshban, Jithran et Kéran.
42 Wana wa Eseri walikuwa: Bilhani, Zaavani na Akani. Wana wa Dishani walikuwa: Usi na Arani.
Fils d'Etser: Bilhan, Zaavan et Jaakan. Fils de Dishan: Uts et Aran.
43 Hawa ndio wafalme waliotawala Edomu kabla hajatawala mfalme yeyote wa Waisraeli: Bela mwana wa Beori, ambaye mji wake ni Dinhaba.
Voici les rois qui ont régné au pays d'Édom, avant qu'un roi régnât sur les enfants d'Israël: Béla, fils de Béor; et le nom de sa ville était Dinhaba.
44 Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra akawa mfalme baada yake.
Béla mourut, et Jobab, fils de Zérach, de Botsra, régna à sa place.
45 Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.
Jobab mourut, et Husham, du pays des Thémanites, régna à sa place.
46 Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyeshinda Midiani katika nchi ya Moabu, akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Avithi.
Husham mourut, et Hadad, fils de Bédad, régna à sa place; il défit Madian au territoire de Moab. Le nom de sa ville était Avith.
47 Hadadi alipofariki, Samla kutoka Masreka akawa mfalme baada yake.
Hadad mourut, et Samla de Masréka régna à sa place.
48 Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ngʼambo ya Mto Frati, akawa mfalme baada yake.
Samla mourut, et Saül de Réhoboth, sur le fleuve, régna à sa place.
49 Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.
Saül mourut, et Baal-Hanan, fils d'Acbor, régna à sa place.
50 Baal-Hanani alipofariki, Hadadi akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu.
Baal-Hanan mourut, et Hadad régna à sa place. Le nom de sa ville était Paï, et le nom de sa femme Méhétabéel, fille de Matred, fille de Mézahab.
51 Naye Hadadi pia akafa. Wakuu wa Edomu walikuwa: Timna, Alva, Yethethi,
Et Hadad mourut. Les chefs d'Édom furent: le chef Thimna, le chef Alja, le chef Jétheth,
52 Oholibama, Ela, Pinoni,
Le chef Oholibama, le chef Éla, le chef Pinon,
53 Kenazi, Temani, Mibsari,
Le chef Kénaz, le chef Théman, le chef Mibtsar,
54 Magdieli na Iramu. Hao ndio wakuu wa makabila ya Edomu.
Le chef Magdiel et le chef Iram. Ce sont là les chefs d'Édom.

< 1 Nyakati 1 >