< 1 Nyakati 1 >

1 Adamu, Sethi, Enoshi,
Adam, Seth, Enos.
2 Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
Kénan, Mahalaléël, Jéred;
3 Enoki, Methusela, Lameki, Noa.
Hénoc, Méthusélah, Lémec.
4 Wana wa Noa walikuwa: Shemu, Hamu na Yafethi.
Noé, Sem, Cam, et Japheth.
5 Wana wa Yafethi walikuwa: Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.
Les enfants de Japheth furent, Gomer, Magog, Madaï, Javan, Tubal, Mésec, et Tiras.
6 Wana wa Gomeri walikuwa: Ashkenazi, Rifathi na Togarma.
Les enfants de Gomer furent, Askenaz, Diphath, et Togarma.
7 Wana wa Yavani walikuwa: Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.
Et les enfants de Javan furent, Elisam, Tarsa, Kittim, et Rodanim.
8 Wana wa Hamu walikuwa: Kushi, Misraimu, Putu na Kanaani.
Les enfants de Cam furent, Cus, Mitsraïm, Put, et Canaan.
9 Wana wa Kushi walikuwa: Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa: Sheba na Dedani.
Et les enfants de Cus furent, Séba, Havila, Sabta, Rahma, et Sabteca. Et les enfants de Rahma furent, Séba et Dédan.
10 Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa katika nchi.
Cus engendra aussi Nimrod, qui commença d'être puissant sur la terre.
11 Misraimu akawazaa: Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
Et Mitsraïm engendra Ludim, Hanamim, Léhabim, Naphtuhim,
12 Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti) na Wakaftori.
Pathrusim, Casluhim ( desquels sont issus les Philistins), et Caphtorim.
13 Wana wa Kanaani walikuwa: Sidoni, mzaliwa wake wa kwanza, na Hethi,
Et Canaan engendra Sidon son fils aîné, et Heth;
14 Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,
Les Jébusiens, les Amorrhéens, les Guirgasiens,
15 Wahivi, Waariki, Wasini,
Les Héviens, les Harkiens, les Siniens,
16 Waarvadi, Wasemari na Wahamathi.
Les Arvadiens, les Tsemariens, et les Hamathiens.
17 Wana wa Shemu walikuwa: Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu. Wana wa Aramu walikuwa: Usi, Huli, Getheri na Mesheki.
Les enfants de Sem furent, Hélam, Assur, Arpacsad, Lud, Aram, Hus, Hul, Guéther, et Mésec.
18 Arfaksadi akamzaa Shela, Shela akamzaa Eberi.
Et Arpacsad engendra Sélah, et Sélah engendra Héber.
19 Eberi alipata wana wawili: Mmoja wao aliitwa Pelegi, kwa kuwa wakati wake dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.
Et à Héber naquirent deux fils; l'un s'appelait Péleg, car en son temps la terre fut partagée; et son frère se nommait Joktan.
20 Wana wa Yoktani walikuwa: Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
Et Joktan engendra Almodad, Seleph, Hatsarmaveth, Jerah,
21 Hadoramu, Uzali, Dikla,
Hadoram, Uzal, Dikla,
22 Obali, Abimaeli, Sheba,
Hébal, Abimaël, Séba,
23 Ofiri, Havila na Yobabu. Wote hawa walikuwa wana wa Yoktani.
Ophir, Havila, et Jobab; tous ceux-là furent les enfants de Joktan.
24 Wana wa Shemu walikuwa Arfaksadi, Shela,
Sem, Arpacsad, Sélah,
25 Eberi, Pelegi, Reu,
Héber, Péleg, Réhu,
26 Serugi, Nahori, Tera,
Serug, Nacor, Taré,
27 Tera akamzaa Abramu (yaani, Abrahamu).
Et Abram, qui est Abraham.
28 Abrahamu alikuwa na wana wawili: Isaki na Ishmaeli.
Les enfants d'Abraham furent, Isaac et Ismaël.
29 Hawa ndio waliokuwa wazao wa Hagari: Nebayothi mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, Kedari, Adbeeli, Mibsamu,
Ce sont ici leurs générations; le premier-né d'Ismaël fut Nébajoth, puis Kédar, Adbéël, Mibsam,
30 Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
Mismah, Duma, Massa, Hadad, Téma,
31 Yeturi, Nafishi na Kedema. Hao ndio wana wa Ishmaeli.
Jéthur, Naphis, et Kedma; ce sont là les enfants d'Ismaël.
32 Wana waliozaliwa na Ketura suria wa Abrahamu walikuwa: Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa: Sheba na Dedani.
Quant aux enfants de Kétura concubine d'Abraham, elle enfanta Zimram, Joksan, Médan, Madian, Jisbak, et Suah; et les enfants de Joksan furent, Séba, et Dédan.
33 Wana wa Midiani walikuwa: Efa, Eferi, Hanoki, Abida na Eldaa. Wote hao walikuwa wa uzao wa Ketura.
Et les enfants de Madian furent, Hépha, Hépher, Hanoc, Abidah, et Eldaha. Tous ceux-là furent les enfants de Kétura.
34 Abrahamu alikuwa baba wa Isaki. Wana wa Isaki walikuwa: Esau na Israeli.
Or Abraham avait engendré Isaac; et les enfants d'Isaac furent, Esaü, et Israël.
35 Wana wa Esau walikuwa: Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu na Kora.
Les enfants d'Esaü furent, Eliphaz, Réhuël, Jéhus, Jahlam, et Korah.
36 Wana wa Elifazi walikuwa: Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi; Elifazi kwa Timna akamzaa Amaleki.
Les enfants d'Eliphaz furent, Téman, Omar, Tséphi, Gahtham, et Kénaz; et Timnah [lui enfanta] Hamalec.
37 Wana wa Reueli walikuwa: Nahathi, Zera, Shama na Miza.
Les enfants de Réhuël furent, Nahath, Zérah, Samma, et Miza.
38 Wana wa Seiri walikuwa: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana, Dishoni, Eseri na Dishani.
Et les enfants de Séhir furent, Lotan, Sobal, Tsibhon, Hana, Dison, Etser, et Disan.
39 Wana wa Lotani walikuwa wawili: Hori na Homamu. Lotani alikuwa na dada yake aliyeitwa Timna.
Et les enfants de Lotan furent, Hori, et Homam; et Timnah fut sœur de Lotan.
40 Wana wa Shobali walikuwa: Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo na Onamu. Wana wa Sibeoni walikuwa: Aiya na Ana.
Les enfants de Sobal furent, Halian, Manahath, Hébal, Séphi, et Onam. Les enfants de Tsibhon furent, Aja, et Hana.
41 Mwana wa Ana alikuwa: Dishoni. Nao wana wa Dishoni walikuwa: Hemdani, Eshbani, Ithrani na Kerani.
Les enfants d'Hana furent, Dison. Les enfants de Dison furent, Hamram, Esban, Jitran, et Kéran.
42 Wana wa Eseri walikuwa: Bilhani, Zaavani na Akani. Wana wa Dishani walikuwa: Usi na Arani.
Les enfants d'Etser furent, Bilhan, Zahavan et Jahakan. Les enfants de Dison furent, Huts, et Aran.
43 Hawa ndio wafalme waliotawala Edomu kabla hajatawala mfalme yeyote wa Waisraeli: Bela mwana wa Beori, ambaye mji wake ni Dinhaba.
Or ce sont ici les Rois qui ont régné au pays d'Edom, avant qu'aucun Roi régnât sur les enfants d'Israël; Bélah fils de Béhor, et le nom de sa ville était Dinhaba.
44 Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra akawa mfalme baada yake.
Et Bélah mourut, et Jobab, fils de Perah de Botsra, régna en sa place.
45 Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.
Et Jobab mourut, et Husam, du pays des Témanites, régna en sa place.
46 Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyeshinda Midiani katika nchi ya Moabu, akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Avithi.
Et Husam mourut, et Hadad fils de Bédad régna en sa place, qui défit Madian au territoire de Moab. Le nom de sa ville était Havith.
47 Hadadi alipofariki, Samla kutoka Masreka akawa mfalme baada yake.
Et Hadad mourut, et Samla, de Masreka, régna en sa place.
48 Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ngʼambo ya Mto Frati, akawa mfalme baada yake.
Et Samla mourut, et Saül, de Rehoboth du fleuve, régna en sa place.
49 Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.
Et Saül mourut, et Bahal-hanan de Hacbor régna en sa place.
50 Baal-Hanani alipofariki, Hadadi akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu.
Et Bahal-hanan mourut, et Hadad régna en sa place. Le nom de sa ville était Pahi, et le nom de sa femme Mehetabéël, qui était fille de Matred, [et petite-]fille de Me-zahab.
51 Naye Hadadi pia akafa. Wakuu wa Edomu walikuwa: Timna, Alva, Yethethi,
Enfin Hadad mourut. Ensuite vinrent les Ducs d'Edom, le Duc Timna, le Duc Halia, le Duc Jétheth.
52 Oholibama, Ela, Pinoni,
Le Duc Aholibama, le Duc Ela, le Duc Pinon.
53 Kenazi, Temani, Mibsari,
Le Duc Kénaz, le Duc Téman, le Duc Mibtsar.
54 Magdieli na Iramu. Hao ndio wakuu wa makabila ya Edomu.
Le Duc Magdiël, et le Duc Hiram. Ce sont là les Ducs d'Edom.

< 1 Nyakati 1 >