< 1 Nyakati 8 >

1 Benyamini akamzaa: Bela mzaliwa wake wa kwanza, Ashbeli mwanawe wa pili, Ahara mwanawe wa tatu,
Benjamín fue el padre de Bela, su hijo mayor, Ashbel el segundo; y Ahara el tercero;
2 Noha mwanawe wa nne na Rafa mwanawe wa tano.
Noha el cuarto; y Rapha el quinto;
3 Wana wa Bela walikuwa: Adari, Gera, Abihudi,
Y Bela tuvo hijos, Adar, Gera, Abiud,
4 Abishua, Naamani, Ahoa,
Y Abisua y Naaman y Ahoa.
5 Gera, Shefufani na Huramu.
Y Gera y Sefufan e Hiram.
6 Hawa ndio wazao wa Ehudi, waliokuwa viongozi wa jamaa za wale walioishi huko Geba na ambao walihamishiwa Manahathi:
Y estos son los hijos de Aod, jefes de familia de los que viven en Geba:
7 Naamani, Ahiya na Gera. Gera alikuwa baba yao Uza na Ahihudi na ndiye aliwaongoza kwenda uhamishoni.
Y Naamán, Ahías, Gera; fue el padre de Uza y Ahihud.
8 Shaharaimu aliwazaa wana katika nchi ya Moabu baada ya kuwapa talaka wake zake wawili yaani, Hushimu na Baara.
Y Saharaim se convirtió en el padre de los niños en el país de los moabitas, después de divorciar a Husim y Beera de sus esposas;
9 Kwa mkewe Hodeshi, akawazaa wana saba: Yobabu, Sibia, Mesha, Malkamu,
Y por su esposa Hodes, se convirtió en el padre de Jobab, Zibia, Mesa y Malcam.
10 Yeuzi, Sakia na Mirma. Hawa ndio waliokuwa wanawe, viongozi wa jamaa zao.
Y Jeuz y Saquias y Mirma. Estos fueron sus hijos, jefes de familia.
11 Hushimu alimzalia: Abitubu na Elpaali.
Y Husim fue el padre de Abitob y Elpaal.
12 Wana wa Elpaali walikuwa: Eberi, Mishamu, Shemedi (aliyeijenga miji ya Ono na Lodi, pamoja na vijiji vilivyoizunguka),
Y los hijos de Elpaal: Eber, Misam y Semed él fue el constructor de Ono y Lod y sus aldeas;
13 na Beria na Shema, waliokuwa viongozi wa zile jamaa zilizokuwa zinaishi katika mji wa Aiyaloni, na ambao waliwafukuza wenyeji wa Gathi.
Y Bería y Sema, que eran jefes de las familias de los que vivían en Ajalón, que hicieron huir a las personas que viven en Gat;
14 Wana wa Beria walikuwa Ahio, Shashaki, Yeremothi,
Y sus hermanos Sasac y Jeroham.
15 Zebadia, Aradi, Ederi,
Y Zebadias, Arad, y Ader.
16 Mikaeli, Ishpa, na Yoha.
Y Micael, Ispá, Joha, los hijos de Bería;
17 Zebadia, Meshulamu, Hizki, Heberi,
Y Zebadias y Mesulam, Hizqui, Heber.
18 Ishmerai, Izlia na Yobabu ndio waliokuwa wana wa Elpaali.
E Ismerai, Jezlias y Jobab, los hijos de Elpaal;
19 Yakimu, Zikri, Zabdi,
Y Jaquim, Zicri, Zabdi.
20 Elienai, Silethai, Elieli,
Y Elienai, Ziletai, Eliel.
21 Adaya, Beraya na Shimrathi walikuwa wana wa Shimei.
Y Adaías, Beraías y Simrat, hijos de Simei;
22 Wana wa Shashaki walikuwa Ishpani, Eberi, Elieli,
E Islam, Heber y Eliel.
23 Abdoni, Zikri, Hanani,
Y Abdon, Zicri y Hanan.
24 Hanania, Elamu, Anthothiya,
Y Hananías, Elam y Anatotias.
25 Ifdeya na Penueli.
Ifdaias y Peniel, los hijos de Sasac;
26 Shamsherai, Sheharia, Athalia,
Y Samserai, Seharia, y Atalias.
27 Yaareshia, Eliya na Zikri walikuwa wana wa Yerohamu.
Y Jaresias, Elías y Zicri, los hijos de Jeroham.
28 Hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa zao wakuu, kama ilivyoorodheshwa katika koo zao, nao waliishi Yerusalemu.
Estos eran jefes de familia en sus generaciones: estos vivían en jerusalén.
29 Yeieli alikuwa baba yake Gibeoni naye aliishi huko Gibeoni. Mke wake aliitwa Maaka.
Y en Gabaón vivía el padre de Gabaón, Jehiel, cuya esposa se llamaba Maaca;
30 Mwanawe mzaliwa wa kwanza alikuwa Abdoni, akafuatiwa na Suri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu,
Y su hijo mayor, Abdón, Zur, Cis, Baal, Ner, Nadab.
31 Gedori, Ahio, Zekeri,
Y Gedor, Ahio, Zequer, y Miclot,
32 na Miklothi ambaye alikuwa baba yake Shimea. Hawa pia waliishi karibu na jamaa zao huko Yerusalemu.
Y Miclot fue el padre de Simea. Y vivían con sus hermanos en Jerusalén.
33 Neri akamzaa Kishi, Kishi akamzaa Sauli, Sauli akamzaa Yonathani, Malki-Shua, Abinadabu na Esh-Baali.
Y Ner fue el padre de Cis, y Cis fue el padre de Saúl, y Saúl fue el padre de Jonatán, Malquisua, Abinadab y Es Baal.
34 Yonathani akamzaa: Merib-Baali, naye Merib-Baali akamzaa Mika.
Y el hijo de Jonatán fue Merib-baal; y Merib-baal fue el padre de Micaia.
35 Wana wa Mika walikuwa: Pithoni, Meleki, Tarea na Ahazi.
Y los hijos de Micaia: Pitón, Melec, Tarea y Acaz.
36 Ahazi akamzaa Yehoada. Naye Yehoada akawazaa Alemethi, Azmawethi na Zimri, naye Zimri akamzaa Mosa.
Y Acaz fue el padre de Joada; y Joada fue el padre de Alemet, Azmavet y Zimri; y Zimri fue el padre de Mosa;
37 Mosa akamzaa Binea, Binea akamzaa Rafa, na mwanawe huyo ni Eleasa, na mwanawe huyo ni Aseli.
Y Mosa fue el padre de Bina: Rafa fue su hijo, Elasa su hijo, Azel su hijo;
38 Aseli alikuwa na wana sita; haya ndiyo majina yao: Azrikamu, Bokeru, Ishmaeli, Shearia, Obadia na Hanani. Hawa wote ndio waliokuwa wana wa Aseli.
Y Azel tuvo seis hijos, cuyos nombres son: Azricam, su hijo mayor, Bocru, Ismael y Searias y Obadiah y Hanan. Todos estos fueron los hijos de Azel.
39 Wana wa Esheki, nduguye Aseli, walikuwa: Mzaliwa wake wa kwanza alikuwa Ulamu, wa pili Yeushi na wa tatu Elifeleti.
Y los hijos de Esec su hermano: Ulam su hijo mayor, Jehus el segundo; y Elifelet el tercero;
40 Wana wa Ulamu walikuwa mashujaa hodari walioweza kutumia upinde. Alikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla yao 150. Hawa wote ndio walikuwa wazao wa Benyamini.
Y los hijos de Ulam eran hombres de guerra, expertos en el manejo de arcos, y tenían gran número de hijos y nietos, ciento cincuenta. Todos estos fueron los hijos de Benjamín.

< 1 Nyakati 8 >