< 1 Nyakati 8 >

1 Benyamini akamzaa: Bela mzaliwa wake wa kwanza, Ashbeli mwanawe wa pili, Ahara mwanawe wa tatu,
De Benjamen naskiĝis: Bela, lia unuenaskito, Aŝbel, la dua, Aĥraĥ, la tria;
2 Noha mwanawe wa nne na Rafa mwanawe wa tano.
Noĥa estis la kvara, kaj Rafa estis la kvina.
3 Wana wa Bela walikuwa: Adari, Gera, Abihudi,
La filoj de Bela estis: Adar, Gera, Abihud,
4 Abishua, Naamani, Ahoa,
Abiŝua, Naaman, Aĥoaĥ,
5 Gera, Shefufani na Huramu.
Gera, Ŝefufan, kaj Ĥuram.
6 Hawa ndio wazao wa Ehudi, waliokuwa viongozi wa jamaa za wale walioishi huko Geba na ambao walihamishiwa Manahathi:
Jen estas la filoj de Ehud, kiuj estis ĉefoj de patrodomoj, kiuj loĝis en Geba kaj elmigris en Manaĥaton:
7 Naamani, Ahiya na Gera. Gera alikuwa baba yao Uza na Ahihudi na ndiye aliwaongoza kwenda uhamishoni.
Naaman, Aĥija, Gera; ĉi tiu elmigrigis ilin, kaj li naskigis Uzan kaj Aĥiĥudon.
8 Shaharaimu aliwazaa wana katika nchi ya Moabu baada ya kuwapa talaka wake zake wawili yaani, Hushimu na Baara.
Ŝaĥaraim naskigis sur la kampoj de Moab, post kiam li forigis de si siajn edzinojn Ĥuŝim kaj Baara.
9 Kwa mkewe Hodeshi, akawazaa wana saba: Yobabu, Sibia, Mesha, Malkamu,
Li naskigis de sia edzino Ĥodeŝ: Jobabon, Cibjan, Meŝan, Malkamon,
10 Yeuzi, Sakia na Mirma. Hawa ndio waliokuwa wanawe, viongozi wa jamaa zao.
Jeucon, Ŝoĥjan, kaj Mirman. Tio estis liaj filoj, ĉefoj de patrodomoj.
11 Hushimu alimzalia: Abitubu na Elpaali.
De Ĥuŝim li naskigis Abitubon kaj Elpaalon.
12 Wana wa Elpaali walikuwa: Eberi, Mishamu, Shemedi (aliyeijenga miji ya Ono na Lodi, pamoja na vijiji vilivyoizunguka),
La filoj de Elpaal: Eber, Miŝeam, kaj Ŝemer; ĉi tiu konstruis Onon kaj Lodon kaj ĝiajn filinurbojn;
13 na Beria na Shema, waliokuwa viongozi wa zile jamaa zilizokuwa zinaishi katika mji wa Aiyaloni, na ambao waliwafukuza wenyeji wa Gathi.
kaj Beria, kaj Ŝema. Ili estis la ĉefoj de patrodomoj de la loĝantoj de Ajalon; ili elpelis la loĝantojn de Gat.
14 Wana wa Beria walikuwa Ahio, Shashaki, Yeremothi,
Aĥjo, Ŝaŝak, Jeremot,
15 Zebadia, Aradi, Ederi,
Zebadja, Arad, Eder,
16 Mikaeli, Ishpa, na Yoha.
Miĥael, Jiŝpa, kaj Joĥa estis la filoj de Beria.
17 Zebadia, Meshulamu, Hizki, Heberi,
Zebadja, Meŝulam, Ĥizki, Ĥeber,
18 Ishmerai, Izlia na Yobabu ndio waliokuwa wana wa Elpaali.
Jiŝmeraj, Jizlia, kaj Jobab estis la filoj de Elpaal.
19 Yakimu, Zikri, Zabdi,
Jakim, Ziĥri, Zabdi,
20 Elienai, Silethai, Elieli,
Elienaj, Ciltaj, Eliel,
21 Adaya, Beraya na Shimrathi walikuwa wana wa Shimei.
Adaja, Beraja, kaj Ŝimrat estis la filoj de Ŝimei.
22 Wana wa Shashaki walikuwa Ishpani, Eberi, Elieli,
Jiŝpan, Eber, Eliel,
23 Abdoni, Zikri, Hanani,
Abdon, Ziĥri, Ĥanan,
24 Hanania, Elamu, Anthothiya,
Ĥananja, Elam, Antotija,
25 Ifdeya na Penueli.
Jifdeja, kaj Penuel estis la filoj de Ŝaŝak.
26 Shamsherai, Sheharia, Athalia,
Ŝamŝeraj, Ŝeĥarja, Atalja,
27 Yaareshia, Eliya na Zikri walikuwa wana wa Yerohamu.
Jaareŝja, Elija, kaj Ziĥri estis la filoj de Jeroĥam.
28 Hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa zao wakuu, kama ilivyoorodheshwa katika koo zao, nao waliishi Yerusalemu.
Tio estis la ĉefoj de patrodomoj, ĉefoj laŭ siaj generacioj; ili loĝis en Jerusalem.
29 Yeieli alikuwa baba yake Gibeoni naye aliishi huko Gibeoni. Mke wake aliitwa Maaka.
En Gibeon loĝis: la fondinto de Gibeon — la nomo de lia edzino estis Maaĥa —
30 Mwanawe mzaliwa wa kwanza alikuwa Abdoni, akafuatiwa na Suri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu,
kaj lia unuenaskita filo Abdon, Cur, Kiŝ, Baal, Nadab,
31 Gedori, Ahio, Zekeri,
Gedor, Aĥjo, kaj Zeĥer.
32 na Miklothi ambaye alikuwa baba yake Shimea. Hawa pia waliishi karibu na jamaa zao huko Yerusalemu.
Miklot naskigis Ŝiman. Ankaŭ ili apud siaj fratoj enloĝiĝis en Jerusalem kun siaj fratoj.
33 Neri akamzaa Kishi, Kishi akamzaa Sauli, Sauli akamzaa Yonathani, Malki-Shua, Abinadabu na Esh-Baali.
Ner naskigis Kiŝon, Kiŝ naskigis Saulon, Saul naskigis Jonatanon, Malki-Ŝuan, Abinadabon, kaj Eŝbaalon.
34 Yonathani akamzaa: Merib-Baali, naye Merib-Baali akamzaa Mika.
La filo de Jonatan estis Merib-Baal, kaj Merib-Baal naskigis Miĥan.
35 Wana wa Mika walikuwa: Pithoni, Meleki, Tarea na Ahazi.
La filoj de Miĥa estis Piton, Meleĥ, Taarea, kaj Aĥaz.
36 Ahazi akamzaa Yehoada. Naye Yehoada akawazaa Alemethi, Azmawethi na Zimri, naye Zimri akamzaa Mosa.
Aĥaz naskigis Jehoadan; Jehoada naskigis Alemeton, Azmaveton, kaj Zimrin; Zimri naskigis Mocan.
37 Mosa akamzaa Binea, Binea akamzaa Rafa, na mwanawe huyo ni Eleasa, na mwanawe huyo ni Aseli.
Moca naskigis Binean; lia filo estis Rafa, lia filo estis Eleasa, lia filo estis Acel.
38 Aseli alikuwa na wana sita; haya ndiyo majina yao: Azrikamu, Bokeru, Ishmaeli, Shearia, Obadia na Hanani. Hawa wote ndio waliokuwa wana wa Aseli.
Acel havis ses filojn; jen estas iliaj nomoj: Azrikam, Boĥru, Iŝmael, Ŝearja, Obadja, kaj Ĥanan. Ĉiuj ĉi tiuj estis la filoj de Acel.
39 Wana wa Esheki, nduguye Aseli, walikuwa: Mzaliwa wake wa kwanza alikuwa Ulamu, wa pili Yeushi na wa tatu Elifeleti.
La filoj de lia frato Eŝek: lia unuenaskito estis Ulam, la dua estis Jeuŝ, kaj la tria estis Elifelet.
40 Wana wa Ulamu walikuwa mashujaa hodari walioweza kutumia upinde. Alikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla yao 150. Hawa wote ndio walikuwa wazao wa Benyamini.
La filoj de Ulam estis kuraĝaj militistoj, pafarkistoj, kaj ili havis multe da filoj kaj nepoj: cent kvindek. Ĉiuj ĉi tiuj estis el la Benjamenidoj.

< 1 Nyakati 8 >