< 1 Nyakati 8 >

1 Benyamini akamzaa: Bela mzaliwa wake wa kwanza, Ashbeli mwanawe wa pili, Ahara mwanawe wa tatu,
Benjamin's five sons were Bela his firstborn, Ashbel, Aharah,
2 Noha mwanawe wa nne na Rafa mwanawe wa tano.
Nohah, and Rapha.
3 Wana wa Bela walikuwa: Adari, Gera, Abihudi,
Bela's sons were Addar, Gera, Abihud,
4 Abishua, Naamani, Ahoa,
Abishua, Naaman, Ahoah,
5 Gera, Shefufani na Huramu.
Gera, Shephuphan, and Huram.
6 Hawa ndio wazao wa Ehudi, waliokuwa viongozi wa jamaa za wale walioishi huko Geba na ambao walihamishiwa Manahathi:
These were the descendants of Ehud who were heads of fathers' houses for the inhabitants of Geba, who were compelled to move to Manahath:
7 Naamani, Ahiya na Gera. Gera alikuwa baba yao Uza na Ahihudi na ndiye aliwaongoza kwenda uhamishoni.
Naaman, Ahijah, and Gera. The last, Gera, led them in their move. He was the father of Uzza and Ahihud.
8 Shaharaimu aliwazaa wana katika nchi ya Moabu baada ya kuwapa talaka wake zake wawili yaani, Hushimu na Baara.
Shaharaim became the father of children in the land of Moab, after he had divorced his wives Hushim and Baara.
9 Kwa mkewe Hodeshi, akawazaa wana saba: Yobabu, Sibia, Mesha, Malkamu,
By his wife Hodesh, Shaharaim became the father of Jobab, Zibia, Mesha, Malkam,
10 Yeuzi, Sakia na Mirma. Hawa ndio waliokuwa wanawe, viongozi wa jamaa zao.
Jeuz, Sakia, and Mirmah. These were his sons, heads of fathers' houses.
11 Hushimu alimzalia: Abitubu na Elpaali.
He had already become the father of Abitub and Elpaal by Hushim.
12 Wana wa Elpaali walikuwa: Eberi, Mishamu, Shemedi (aliyeijenga miji ya Ono na Lodi, pamoja na vijiji vilivyoizunguka),
Elpaal's sons were Eber, Misham, and Shemed (who built Ono and Lod with its surrounding villages).
13 na Beria na Shema, waliokuwa viongozi wa zile jamaa zilizokuwa zinaishi katika mji wa Aiyaloni, na ambao waliwafukuza wenyeji wa Gathi.
There were also Beriah and Shema. They were heads of the fathers' houses of those living in Aijalon, who drove out the inhabitants of Gath.
14 Wana wa Beria walikuwa Ahio, Shashaki, Yeremothi,
Beriah had these sons: Ahio, Shashak, Jeremoth,
15 Zebadia, Aradi, Ederi,
Zebadiah, Arad, Eder,
16 Mikaeli, Ishpa, na Yoha.
Michael, Ishpah, and Joha were the sons of Beriah.
17 Zebadia, Meshulamu, Hizki, Heberi,
Elpaal had these sons: Zebadiah, Meshullam, Hizki, Heber,
18 Ishmerai, Izlia na Yobabu ndio waliokuwa wana wa Elpaali.
Ishmerai, Izliah, and Jobab.
19 Yakimu, Zikri, Zabdi,
Shimei had these sons: Jakim, Zikri, Zabdi,
20 Elienai, Silethai, Elieli,
Elienai, Zillethai, Eliel,
21 Adaya, Beraya na Shimrathi walikuwa wana wa Shimei.
Adaiah, Beraiah, and Shimrath.
22 Wana wa Shashaki walikuwa Ishpani, Eberi, Elieli,
Shashak had these sons: Ishpan, Eber, Eliel,
23 Abdoni, Zikri, Hanani,
Abdon, Zikri, Hanan,
24 Hanania, Elamu, Anthothiya,
Hananiah, Elam, Anthothijah,
25 Ifdeya na Penueli.
Iphdeiah, and Penuel.
26 Shamsherai, Sheharia, Athalia,
Jeroham had these sons: Shamsherai, Shehariah, Athaliah,
27 Yaareshia, Eliya na Zikri walikuwa wana wa Yerohamu.
Jaareshiah, Elijah, and Zikri.
28 Hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa zao wakuu, kama ilivyoorodheshwa katika koo zao, nao waliishi Yerusalemu.
These were heads of fathers' houses and chief men who lived in Jerusalem.
29 Yeieli alikuwa baba yake Gibeoni naye aliishi huko Gibeoni. Mke wake aliitwa Maaka.
The father of Gibeon, Jeiel, whose wife's name was Maakah, lived in Gibeon.
30 Mwanawe mzaliwa wa kwanza alikuwa Abdoni, akafuatiwa na Suri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu,
His firstborn was Abdon, followed by Zur, Kish, Baal, Nadab,
31 Gedori, Ahio, Zekeri,
Gedor, Ahio, and Zeker.
32 na Miklothi ambaye alikuwa baba yake Shimea. Hawa pia waliishi karibu na jamaa zao huko Yerusalemu.
Another of Jeiel's sons was Mikloth, who became the father of Shimeah. They also lived near their relatives in Jerusalem.
33 Neri akamzaa Kishi, Kishi akamzaa Sauli, Sauli akamzaa Yonathani, Malki-Shua, Abinadabu na Esh-Baali.
Ner was the father of Kish. Kish was the father of Saul. Saul was the father of Jonathan, Malki-Shua, Abinadab, and Esh-Baal.
34 Yonathani akamzaa: Merib-Baali, naye Merib-Baali akamzaa Mika.
The son of Jonathan was Merib-Baal. Merib-Baal was the father of Micah.
35 Wana wa Mika walikuwa: Pithoni, Meleki, Tarea na Ahazi.
The sons of Micah were Pithon, Melek, Tarea, and Ahaz.
36 Ahazi akamzaa Yehoada. Naye Yehoada akawazaa Alemethi, Azmawethi na Zimri, naye Zimri akamzaa Mosa.
Ahaz became the father of Jehoaddah. Jehoaddah was the father of Alemeth, Azmaveth, and Zimri. Zimri was the father of Moza.
37 Mosa akamzaa Binea, Binea akamzaa Rafa, na mwanawe huyo ni Eleasa, na mwanawe huyo ni Aseli.
Moza was the father of Binea. Binea was the father of Raphah. Raphah was the father of Eleasah. Eleasah was the father of Azel.
38 Aseli alikuwa na wana sita; haya ndiyo majina yao: Azrikamu, Bokeru, Ishmaeli, Shearia, Obadia na Hanani. Hawa wote ndio waliokuwa wana wa Aseli.
Azel had six sons: Azrikam, Bokeru, Ishmael, Sheariah, Obadiah, and Hanan. All these were sons of Azel.
39 Wana wa Esheki, nduguye Aseli, walikuwa: Mzaliwa wake wa kwanza alikuwa Ulamu, wa pili Yeushi na wa tatu Elifeleti.
The sons of Eshek, his brother, were Ulam his firstborn, Jeush the second, and Eliphelet the third.
40 Wana wa Ulamu walikuwa mashujaa hodari walioweza kutumia upinde. Alikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla yao 150. Hawa wote ndio walikuwa wazao wa Benyamini.
Ulam's sons were fighting men and archers. They had many sons and grandsons, a total of 150. All these belonged to the descendants of Benjamin.

< 1 Nyakati 8 >