< 1 Nyakati 8 >

1 Benyamini akamzaa: Bela mzaliwa wake wa kwanza, Ashbeli mwanawe wa pili, Ahara mwanawe wa tatu,
Now Benjamin begot Bale his firstborn, and Asbel his second [son], Aara the third, Noa the fourth,
2 Noha mwanawe wa nne na Rafa mwanawe wa tano.
and Rapha the fifth.
3 Wana wa Bela walikuwa: Adari, Gera, Abihudi,
And the sons of Bale were, Adir, and Gera, and Abiud,
4 Abishua, Naamani, Ahoa,
and Abessue, and Noama, and Achia,
5 Gera, Shefufani na Huramu.
and Gera, and Sephupham, and Uram.
6 Hawa ndio wazao wa Ehudi, waliokuwa viongozi wa jamaa za wale walioishi huko Geba na ambao walihamishiwa Manahathi:
These [were] the sons of Aod: these are the heads of families to them that dwell in Gabee, and they removed them to Machanathi:
7 Naamani, Ahiya na Gera. Gera alikuwa baba yao Uza na Ahihudi na ndiye aliwaongoza kwenda uhamishoni.
and Nooma, and Achia and Gera, he removed them, and he begot Aza, and Jachicho.
8 Shaharaimu aliwazaa wana katika nchi ya Moabu baada ya kuwapa talaka wake zake wawili yaani, Hushimu na Baara.
And Saarin begot [children] in the plain of Moab, after that he had sent away Osin and Baada his wives.
9 Kwa mkewe Hodeshi, akawazaa wana saba: Yobabu, Sibia, Mesha, Malkamu,
And he begot of his wife Ada, Jolab, and Sebia, and Misa, and Melchas,
10 Yeuzi, Sakia na Mirma. Hawa ndio waliokuwa wanawe, viongozi wa jamaa zao.
and Jebus, and Zabia, and Marma: these [were] heads of families.
11 Hushimu alimzalia: Abitubu na Elpaali.
And of Osin he begot Abitol, and Alphaal.
12 Wana wa Elpaali walikuwa: Eberi, Mishamu, Shemedi (aliyeijenga miji ya Ono na Lodi, pamoja na vijiji vilivyoizunguka),
And the sons of Alphaal; Obed, Misaal, Semmer: he built Ona, and Lod, and its towns:
13 na Beria na Shema, waliokuwa viongozi wa zile jamaa zilizokuwa zinaishi katika mji wa Aiyaloni, na ambao waliwafukuza wenyeji wa Gathi.
and Beria, and Sama; these [were] heads of families among the dwellers in Elam, and they drove out the inhabitants of Geth.
14 Wana wa Beria walikuwa Ahio, Shashaki, Yeremothi,
And his brethren [were] Sosec, and Arimoth,
15 Zebadia, Aradi, Ederi,
and Zabadia, and Ored, and Eder,
16 Mikaeli, Ishpa, na Yoha.
and Michael, and Jespha, and Joda, the sons of Beria:
17 Zebadia, Meshulamu, Hizki, Heberi,
and Zabadia, and Mosollam, and Azaki, and Abar,
18 Ishmerai, Izlia na Yobabu ndio waliokuwa wana wa Elpaali.
and Isamari, and Jexlias, and Jobab, the sons of Elphaal:
19 Yakimu, Zikri, Zabdi,
and Jakim, and Zachri, and Zabdi,
20 Elienai, Silethai, Elieli,
and Elionai, and Salathi,
21 Adaya, Beraya na Shimrathi walikuwa wana wa Shimei.
and Elieli, and Adaia, and Baraia, and Samarath, sons of Samaith:
22 Wana wa Shashaki walikuwa Ishpani, Eberi, Elieli,
and Jesphan, and Obed, and Eliel,
23 Abdoni, Zikri, Hanani,
and Abdon, and Zechri, and Anan,
24 Hanania, Elamu, Anthothiya,
and Anania, and Ambri, and Aelam, [and] Anathoth,
25 Ifdeya na Penueli.
and Jathin, and Jephadias, and Phanuel, the sons of Sosec:
26 Shamsherai, Sheharia, Athalia,
and Samsari, and Saarias, and Gotholia,
27 Yaareshia, Eliya na Zikri walikuwa wana wa Yerohamu.
and Jarasia, and Eria, and Zechri, son of Iroam.
28 Hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa zao wakuu, kama ilivyoorodheshwa katika koo zao, nao waliishi Yerusalemu.
These [were] heads of families, chiefs according to their generations: these lived in Jerusalem.
29 Yeieli alikuwa baba yake Gibeoni naye aliishi huko Gibeoni. Mke wake aliitwa Maaka.
And the father of Gabaon lived in Gabaon; and his wife's name was Moacha.
30 Mwanawe mzaliwa wa kwanza alikuwa Abdoni, akafuatiwa na Suri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu,
And her firstborn son was Abdon, and Sur, and Kis, and Baal, and Nadab, and Ner,
31 Gedori, Ahio, Zekeri,
and Gedur and his brother, and Zacchur, and Makeloth.
32 na Miklothi ambaye alikuwa baba yake Shimea. Hawa pia waliishi karibu na jamaa zao huko Yerusalemu.
And Makeloth begot Samaa: for these lived in Jerusalem in the presence of their brethren with their brethren.
33 Neri akamzaa Kishi, Kishi akamzaa Sauli, Sauli akamzaa Yonathani, Malki-Shua, Abinadabu na Esh-Baali.
And Ner begot Kis, and Kis begot Saul, and Saul begot Jonathan, and Melchisue, and Aminadab, and Asabal.
34 Yonathani akamzaa: Merib-Baali, naye Merib-Baali akamzaa Mika.
And the son of Jonathan [was] Meribaal; and Meribaal begot Micha.
35 Wana wa Mika walikuwa: Pithoni, Meleki, Tarea na Ahazi.
And the sons of Micha; Phithon, and Melach, and Tharach, and Achaz.
36 Ahazi akamzaa Yehoada. Naye Yehoada akawazaa Alemethi, Azmawethi na Zimri, naye Zimri akamzaa Mosa.
And Achaz begot Jada, and Jada begot Salaemath, and Asmoth, and Zambri; and Zambri begot Maesa;
37 Mosa akamzaa Binea, Binea akamzaa Rafa, na mwanawe huyo ni Eleasa, na mwanawe huyo ni Aseli.
and Maesa begot Baana: Rhaphaea [was] his son, Elasa his son, Esel his son.
38 Aseli alikuwa na wana sita; haya ndiyo majina yao: Azrikamu, Bokeru, Ishmaeli, Shearia, Obadia na Hanani. Hawa wote ndio waliokuwa wana wa Aseli.
And Esel [had] six sons, and these [were] their name; Ezricam his firstborn, and Ismael, and Saraia, and Abdia, and Anan, and Asa: all these [were] the sons of Esel.
39 Wana wa Esheki, nduguye Aseli, walikuwa: Mzaliwa wake wa kwanza alikuwa Ulamu, wa pili Yeushi na wa tatu Elifeleti.
And the sons of Asel his brother; Aelam his firstborn, and Jas the second, and Eliphalet the third.
40 Wana wa Ulamu walikuwa mashujaa hodari walioweza kutumia upinde. Alikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla yao 150. Hawa wote ndio walikuwa wazao wa Benyamini.
And the sons of Aelam were mighty men, bending the bow, and multiplying sons and grandsons, a hundred [and] fifty. All these [were] of the sons of Benjamin.

< 1 Nyakati 8 >