< 1 Nyakati 3 >

1 Hawa ndio waliokuwa wana wa Daudi waliozaliwa huko Hebroni: Mzaliwa wa kwanza alikuwa Amnoni ambaye mama yake aliitwa Ahinoamu wa Yezreeli; wa pili, Danieli ambaye mama yake alikuwa Abigaili wa Karmeli;
Or ce sont ici les enfants de David, qui lui naquirent à Hébron. Le premier-né fut Amnon, fils d'Ahinoham de Jizréhel; le second Daniel, d'Abigaïl du mont Carmel.
2 wa tatu alikuwa Absalomu, ambaye mama yake alikuwa Maaka, binti Talmai mfalme wa Geshuri; wa nne, Adoniya, ambaye mama yake alikuwa Hagithi;
Le troisième Absalom fils de Mahaca, fille de Talmaï Roi de Guésur; le quatrième Adonija, fils de Hagguith;
3 wa tano alikuwa Shefatia ambaye mama yake alikuwa Abitali; wa sita alikuwa Ithreamu, aliyezaliwa na mke wake Egla.
Le cinquième Sephatia, d'Abital; le sixième Jithréham, d'Hégla sa femme.
4 Hawa sita walizaliwa huko Hebroni ambako Daudi alitawala kwa miaka saba na miezi sita. Daudi alitawala Yerusalemu kwa miaka thelathini na mitatu,
Ces six lui naquirent à Hébron, où il régna sept ans et six mois; puis il régna trente-trois ans à Jérusalem.
5 nao hawa ndio watoto wa Daudi waliozaliwa huko Yerusalemu: mkewe Bathsheba, binti Amieli, alimzalia Shamua, Shobabu, Nathani na Solomoni.
Et ceux-ci lui naquirent à Jérusalem, Simha, Sobab, Nathan, et Salomon, [tous] quatre de Bathsuah, fille d'Hammiël;
6 Pia kulikuwa na wana wengine: Ibihari, Elishua, Elifeleti,
Et Jibhar, Elisamah, Eliphelet,
7 Noga, Nefegi, Yafia,
Nogah, Nepheg, Japhiah,
8 Elishama, Eliada na Elifeleti; wote walikuwa tisa.
Elisamah, Eliadah, et Eliphelet, qui sont neuf.
9 Hawa wote walikuwa wana wa Daudi, mbali na wale wana waliozaliwa na masuria. Naye Tamari alikuwa dada yao.
Tous enfants de David, outre les enfants des concubines, et Tamar leur sœur.
10 Mwana wa Solomoni alikuwa Rehoboamu, mwanawe huyo alikuwa Abiya, mwanawe huyo alikuwa Yehoshafati, mwanawe huyo alikuwa Asa,
Le fils de Salomon fut Roboam; duquel fut fils Abija; duquel fut fils Asa; duquel fut fils Josaphat;
11 mwanawe huyo alikuwa Yehoramu, mwanawe huyo alikuwa Ahazia, mwanawe huyo alikuwa Yoashi,
Duquel fut fils Joram; duquel fut fils Achazia; duquel fut fils Joas;
12 mwanawe huyo alikuwa Amazia, mwanawe huyo alikuwa Azaria, mwanawe huyo alikuwa Yothamu,
Duquel fut fils Amatsia; duquel fut fils Hazaria; duquel fut fils Jotham;
13 mwanawe huyo alikuwa Ahazi, mwanawe huyo alikuwa Hezekia, mwanawe huyo alikuwa Manase,
Duquel fut fils Achaz; duquel fut fils Ezéchias; duquel fut fils Manassé;
14 mwanawe huyo alikuwa Amoni na mwanawe huyo alikuwa Yosia.
Duquel fut fils Amon; duquel fut fils Josias.
15 Wana wa Yosia walikuwa: Yohanani mzaliwa wake wa kwanza, Yehoyakimu mwanawe wa pili, wa tatu Sedekia, wa nne Shalumu.
Et les enfants de Josias furent Johanan son premier-né, le second Jéhojakim, le troisième Sédécias, le quatrième Sallum.
16 Walioingia mahali pa Yehoyakimu kama wafalme ni: Yekonia mwanawe, na Sedekia.
Et les enfants de Jéhojakim furent Jéchonias son fils, qui eut pour fils Sédécias.
17 Hawa ndio waliokuwa wazao wa Yekonia aliyekuwa mateka: Shealtieli mwanawe,
Et quant aux enfants de Jéchonias qui fut emmené en captivité, Salathiël fut son fils;
18 Malkiramu, Pedaya, Shenasari, Yekamia, Hoshama na Nedabia.
Dont les fils furent Malkiram, Pédaja, Senatsar, Jékamia, Hosamah, et Nédabia.
19 Wana wa Pedaya walikuwa: Zerubabeli na Shimei. Wana wa Zerubabeli walikuwa: Meshulamu na Hanania. Shelomithi alikuwa dada yao.
Et les enfants de Pédaja furent Zorobabel, et Simhi; et les enfants de Zorobabel furent Mésullam, Hanania, et Sélomith leur sœur.
20 Pia walikuwepo wengine watano: Hashuba, Oheli, Berekia, Hasadia na Yushab-Hesedi.
Et de [Mésullam] Hasuba, Ohel, Bérécia, Hasadia, et Jusab-hesed, [en tout] cinq.
21 Wazao wa Hanania walikuwa: Pelatia na Yeshaya, na wana wa Refaya, na wana wa Arnani, na wana wa Obadia, na wana wa Shekania.
Et les enfants de Hanania furent Pelatia, et Esaïe. Les enfants de Réphaja, les enfants d'Arnan, les enfants de Hobadia, [et] les enfants de Sécania.
22 Wazao wa Shekania: Shemaya na wanawe: Hatushi, Igali, Baria, Nearia na Shafati; jumla yao walikuwa sita.
Et les enfants de Sécania, Sémahja; et les enfants de Sémahja, Hattus, Jiguéal, Bariah, Neharia, Saphat, [en tout] six.
23 Wana wa Nearia walikuwa: Elioenai, Hizkia na Azrikamu; jumla yao watatu.
Et les enfants de Neharia furent ces trois Eliohenaï, Ezéchias, et Hazrikam.
24 Wana wa Elioenai walikuwa: Hodavia, Eliashibu, Pelaya, Akubu, Yohanani, Delaya na Anani; jumla yao wote saba.
Et les enfants d'Eliohenaï furent ces sept Hodaivahu, Eliasib, Pélaïa, Hakkub, Johanan, Delaja, et Hanani.

< 1 Nyakati 3 >