< 1 Nyakati 25 >

1 Daudi, pamoja na majemadari wa jeshi, wakawatenga baadhi ya wana wa Asafu, wana wa Hemani na wana wa Yeduthuni, kwa ajili ya huduma ya kutoa unabii, wakitumia vinubi, zeze na matoazi. Hii ndiyo orodha ya watu waliofanya huduma hii:
ダビデと軍の長たちはまたアサフ、ヘマンおよびエドトンの子らを勤めのために分かち、琴と、立琴と、シンバルをもって預言する者にした。その勤めをなした人々の数は次のとおりである。
2 Kutoka kwa wana wa Asafu walikuwa: Zakuri, Yosefu, Nethania na Asarela. Wana wa Asafu walikuwa chini ya usimamizi wa Asafu, ambaye alitoa unabii chini ya usimamizi wa mfalme.
アサフの子たちはザックル、ヨセフ、ネタニヤ、アサレラであって、アサフの指揮のもとに王の命によって預言した者である。
3 Wana wa Yeduthuni walikuwa sita: Gedalia, Seri, Yeshaya, Shimei, Hashabia, na Matithia, nao walikuwa chini ya usimamizi wa baba yao Yeduthuni, wao walikuwa wakitoa unabii wakitumia vinubi, wakimshukuru na kumtukuza Bwana.
エドトンについては、エドトンの子たちはゲダリヤ、ゼリ、エサヤ、ハシャビヤ、マッタテヤの六人で、琴をもって主に感謝し、かつほめたたえて預言したその父エドトンの指揮の下にあった。
4 Wana wa Hemani walikuwa: Bukia, Matania, Uzieli, Shebueli na Yeremothi, Hanania, Hanani, Eliatha, Gidalti na Romamti-Ezeri, Yoshbekasha, Malothi, Hothiri na Mahaziothi.
ヘマンについては、ヘマンの子たちはブッキヤ、マッタニヤ、ウジエル、シブエル、エレモテ、ハナニヤ、ハナニ、エリアタ、ギダルテ、ロマムテ・エゼル、ヨシベカシャ、マロテ、ホテル、マハジオテである。
5 Wote hawa walikuwa wana wa Hemani mwonaji wa mfalme. Aliwapata wana hawa kutokana na ahadi ya Mungu ili kumwinua. Mungu alimpa Hemani wana kumi na wanne na binti watatu.
これらは皆、神がご自身の約束にしたがって高くされた王の先見者ヘマンの子たちであった。神はヘマンに男の子十四人、女の子三人を与えられた。
6 Hawa wanaume wote walikuwa chini ya usimamizi wa baba yao kwa ajili ya uimbaji katika Hekalu la Bwana wakitumia matoazi, zeze na vinubi, kwa ajili ya huduma katika nyumba ya Mungu. Asafu, Yeduthuni na Hemani walikuwa chini ya usimamizi wa mfalme.
これらの者は皆その父の指揮の下にあって、主の宮で歌をうたい、シンバルと立琴と琴をもって神の宮の務をした。アサフ、エドトンおよびヘマンは王の命の下にあった。
7 Pamoja na ndugu zao wote walikuwa wamefundishwa na kuwa stadi wa uimbaji kwa Bwana. Idadi yao walikuwa 288.
彼らおよび主に歌をうたうことのために訓練され、すべて熟練した兄弟たちの数は二百八十八人であった。
8 Vijana kwa wazee, walimu kwa wanafunzi, wote walipanga kazi zao kwa kupiga kura.
彼らは小なる者も、大なる者も、教師も生徒も皆ひとしくその務のためにくじを引いた。
9 Kura ya kwanza, ambayo ilikuwa kwa ajili ya Asafu, ilimwangukia Yosefu, wanawe na jamaa zake, 12 Ya pili ikamwangukia Gedalia, yeye na wanawe pamoja na jamaa zake, 12
第一のくじはアサフのためにヨセフに当り、第二はゲダリヤに当った。彼とその兄弟たちおよびその子たち、合わせて十二人。
10 Ya tatu ikamwangukia Zakuri, wanawe na jamaa zake, 12
第三はザックルに当った。その子たちおよびその兄弟たち、合わせて十二人。
11 ya nne ikamwangukia Isri, // wanawe na jamaa zake, 12
第四はイヅリに当った。その子たちおよびその兄弟たち、合わせて十二人。
12 ya tano ikamwangukia Nethania, wanawe na jamaa zake, 12
第五はネタニヤに当った。その子たちおよびその兄弟たち、合わせて十二人。
13 ya sita ikamwangukia Bukia, wanawe na jamaa zake, 12
第六はブッキヤに当った。その子たちおよびその兄弟たち、合わせて十二人。
14 ya saba ikamwangukia Yesarela, // wanawe na jamaa zake, 12
第七はアサレラに当った。その子たちおよびその兄弟たち、合わせて十二人。
15 ya nane ikamwangukia Yeshaya, wanawe na jamaa zake, 12
第八はエサヤに当った。その子たちおよびその兄弟たち、合わせて十二人。
16 ya tisa ikamwangukia Matania, wanawe na jamaa zake, 12
第九はマッタニヤに当った。その子たちおよびその兄弟たち、合わせて十二人。
17 ya kumi ikamwangukia Shimei, wanawe na jamaa zake, 12
第十はシメイに当った。その子たちおよびその兄弟たち、合わせて十二人。
18 ya kumi na moja ikamwangukia Azareli, // wanawe na jamaa zake, 12
第十一はアザリエルに当った。その子たちおよびその兄弟たち、合わせて十二人。
19 ya kumi na mbili ikamwangukia Hashabia, wanawe na jamaa zake, 12
第十二はハシャビヤに当った。その子たちおよびその兄弟たち、合わせて十二人。
20 ya kumi na tatu ikamwangukia Shubaeli, wanawe na jamaa zake, 12
第十三はシュバエルに当った。その子たちおよびその兄弟たち、合わせて十二人。
21 ya kumi na nne ikamwangukia Matithia, wanawe na jamaa zake, 12
第十四はマッタテヤに当った。その子たちおよびその兄弟たち、合わせて十二人。
22 ya kumi na tano ikamwangukia Yeremothi, wanawe na jamaa zake, 12
第十五はエレモテに当った。その子たちおよびその兄弟たち、合わせて十二人。
23 Ya kumi na sita ikamwangukia Hanania, wanawe na jamaa zake, 12
第十六はハナニヤに当った。その子たちおよびその兄弟たち、合わせて十二人。
24 ya kumi na saba ikamwangukia Yoshbekasha, wanawe na jamaa zake, 12
第十七はヨシベカシャに当った。その子たちおよびその兄弟たち、合わせて十二人。
25 ya kumi na nane ikamwangukia Hanani, wanawe na jamaa zake, 12
第十八はハナニに当った。その子たちおよびその兄弟たち、合わせて十二人。
26 ya kumi na tisa ikamwangukia Malothi, wanawe na jamaa zake, 12
第十九はマロテに当った。その子たちおよびその兄弟たち、合わせて十二人。
27 ya ishirini ikamwangukia Eliatha, wanawe na jamaa zake, 12
第二十はエリアタに当った。その子たちおよびその兄弟たち、合わせて十二人。
28 ya ishirini na moja ikamwangukia Hothiri, wanawe na jamaa zake, 12
第二十一はホテルに当った。その子たちおよびその兄弟たち、合わせて十二人。
29 ya ishirini na mbili ikamwangukia Gidalti, wanawe na jamaa zake, 12
第二十二はギダルテに当った。その子たちおよびその兄弟たち、合わせて十二人。
30 ya ishirini na tatu ikamwangukia Mahaziothi, wanawe na jamaa zake, 12
第二十三はマハジオテに当った。その子たちおよびその兄弟たち、合わせて十二人。
31 ya ishirini na nne ikamwangukia Romamti-Ezeri, wanawe na jamaa zake, 12.
第二十四はロマムテ・エゼルに当った。その子たちおよびその兄弟たち、合わせて十二人であった。

< 1 Nyakati 25 >