< Apostolska dela 4 >

1 Ko sta pa ljudstvu govorila, pristopijo k njima duhovni in poglavar tempeljna in Saduceji.
Wakati Petro na Yohana walipokuwa wakizungumza na watu, makuhani na mlinzi wa hekalu na masadukayo waliwaendea.
2 Kteri so bili nevoljni, da učita ljudstvo in oznanjujeta v Jezusu vstajanje od mrtvih.
Walikuwa wameudhika sana kwa sababu Petro na Yohana walikuwa wanawafundisha watu kuhusu Yesu na kutangaza juu ya kufufuka kwake kutoka kwa wafu.
3 In položé na nju roke, in denejo ju v ječo do jutra; kajti bil je uže večer.
Waliwakamata na kuwaweka gerezani hadi asubuhi iliyofuata, kwani tayari ilikuwa jioni.
4 Veliko teh pa, kteri so besedo slišali, verovalo jih je; in postalo je število móž kakih pet tisoči.
Lakini watu wengi waliokuwa wamesikia ujumbe waliamini; na idadi ya wanaume waliokuwa wameamini walikadiliwa kuwa elfu tano.
5 Zgodí se pa drugi dan, da se zberó njih poglavarji in starešine in pismarji v Jeruzalemu,
Hata ilipofika asubuhi siku iliyofuata, kwamba wakuu wao, wazee na waandishi, kwa pamoja walikusanyika Yerusalemu.
6 In Ana véliki duhoven in Kajfa in Janez in Aleksander, in kolikor jih je bilo iz višega duhovskega rodú.
Anasi kuhani mkuu alikuwepo, na Kayafa, na Yohana, na Iskanda, na wote waliokuwa ni ndugu wa kuhani mkuu.
7 In postavivši ju na sredo, vpraševali so: S kakošno močjó, ali v čegavo ime sta vidva to storila?
Walipokuwa wamewaweka Petro na Yohana katikati yao, waliwauliza, “Kwa uwezo gani, au kwa jina gani mmefanya hili?”
8 Tedaj Peter, napolnivši se Duha svetega, reče jim: Poglavarji naroda in starešine!
Kisha, Petro, akiwa amejaa Roho Mtakatifu, akawaambia, “Ninyi wakuu wa watu, na wazee,
9 Če naju danes izprašujete za dobroto, ktero sva storila bolnemu človeku, kako je on ozdravel:
kama sisi siku ya leo tunahojiwa kuhusu tendo jema lililofanywa kwa mtu huyu mgonjwa - kwa namna gani mtu huyu alifanywa mzima?
10 Bodi na znanje vsem vam, in vsemu ljudstvu Izraelovemu, da v ime Jezusa Kristusa Nazarečana, kterega ste vi križali, kterega je Bog obudil iz mrtvih, po tem stoji ta pred vami zdrav.
Hebu lijulikane hilo kwenu na kwa watu wote katika Israel, kwamba kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareti, ambaye mlimsulibisha, ambaye Mungu alimfufua kutoka kwa wafu, ni kwa njia yake kwamba mtu huyu anasimama hapa mbele yenu akiwa mwenye afya.
11 Ta je kamen, kterega ste vi zidarji zavrgli, kteri je postal glava oglu.
Yesu Kristo ni jiwe ambalo ninyi wajenzi mlilidharau, lakini ambalo limefanywa kuwa jiwe kuu la pembeni.
12 In v nikomer drugem ni zveličanja; kajti ni ga drugega imena pod nebom danega ljudém, po kterem bi se mi mogli zveličati.
Hakuna wokovu katika mtu mwingine awaye yote. Kwa maana hakuna jina jingine chini ya mbingu walilopewa watu, ambalo kwa hilo tunaweza kuokolewa.”
13 Videč pa srčnost Petrovo in Janezovo, in vedoč, da sta neučena in priprosta človeka, čudili so se; in poznali so ju, da sta z Jezusom bila.
Sasa walipoona ujasiri wa Petro na Yohana, na wakagundua kwamba walikuwa ni watu wakawaida wasio na elimu, walishangaa, wakafahamu kwamba Petro na Yohana wamekuwa pamoja na Yesu.
14 In videč človeka, kteri je ozdravel, da stojí ž njima, niso kaj imeli zoper reči.
Kwa sababu walimwona yule mtu aliyeponywa amesimama pamoja nao, hawakuwa na kitu cha kusema dhidi ya hili.
15 In zapovedó jima, naj odideta ven iz zbora, in posvetujejo se med seboj,
Lakini walipokuwa wamekwisha kuwaamuru mitume waondoke mbele ya mkutano wa baraza, walizungumza wao kwa wao.
16 Govoreč: Kaj bomo storili tema človekoma? kajti da se je znani čudež po njima zgodil, znano je vsem, kteri prebivajo v Jeruzalemu, in ne moremo utajiti.
Walisema, tutawafanyaje watu hawa? Ni kweli kwamba muujiza wa ajabu umefanyika kupitia wao unajulikana na kila mmoja anayeishi Yerusalemu; hatuwezi kulikataa hilo.
17 Ali da se ne razglasí dalje med ljudstvom, zapretimo jima, naj nobenemu človeku več ne govorita o tem imenu.
Lakini, ili kwamba jambo hili lisienee miongoni mwa watu, hebu tuwaonye wasinene tena kwa mtu yeyote kwa jina hili.
18 In poklicavši ju, zapovedó jima, naj nikoli več ne govorita in učita v ime Jezusovo.
Waliwaita Petro na Yohana ndani na kuwaamuru kamwe wasinene wala kufundisha kwa jina la Yesu.
19 A Peter in Janez odgovarjajoč jim, rečeta: Sodite, je li prav pred Bogom, da bi vas bolj poslušala, nego Boga.
Lakini Petro na Yohana walijibu na kuwaambia, “Kama ni sahihi machoni pa Mungu kuwatii ninyi kuliko Mungu, hukumuni wenyewe.
20 Ne moreva namreč, da tega, kar sva videla in slišala, ne bi govorila.
Maana sisi hatuwezi kuacha kuyanena mambo ambayo tumeyaona na kuyasikia.”
21 Oni pa, zapretivši jima, izpusté ju, ko niso nahajali, kako bi ju kaznovali, za voljo ljudstva, ker so vsi hvalili Boga za to, kar se je zgodilo.
Baada ya kuwaonya sana Petro na Yohana, waliwaacha waende. Hawakuweza kupata sababu yoyote ya kuwaadhibu, kwa sababu watu wote walikuwa wakimsifu Mungu kwa kile kilichokuwa kimetendeka.
22 Imel je namreč več nego štirideset let ta človek, na kterem se je zgodil ta čudež ozdravljenja.
Mtu aliyekuwa amepokea muujiza wa uponyaji alipata kuwa na umri zaidi ya miaka arobaini.
23 Ko so ju pa izpustili, prideta k svojim, in povesta jim, kaj so jima véliki duhovni in starešine rekli.
Baada ya kuwaacha huru, Petro na Yohana walikuja kwa watu wao na kuwataarifu yote ambayo makuhani wakuu na wazee walikuwa wamewaambia.
24 Oni pa, ko so to slišali, povzdignejo ene misli glas k Bogu, in rekó: Gospod, ti Bog, ki si ustvaril nebo in zemljo in morje in vse, kar je v njih;
Walipoyasikia, walipaza sauti zao kwa pamoja kwa Mungu na kusema, “Bwana, wewe uliyeumba mbingu na dunia na bahari na kila kitu ndani yake,
25 Kteri si z ustmi Davida hlapca svojega rekel: "Za kaj so se togotili pogani, in ljudstva izmišljala prazne reči?
wewe ambaye, kwa Roho Mtakatifu, kwa kinywa cha baba yetu Daudi, mtumishi wako, ulisema, “Kwanini watu wa mataifa wamefanya ghasia, na watu wametafakari mambo yasiyofaa?
26 Postavili so se kralji zemlje, in poglavarji so se zbrali vkupej zoper Gospoda, in zoper Kristusa njegovega."
Wafalme wa dunia wamejipanga pamoja, na watawala wamekusanyika kwa pamoja dhidi ya Bwana na dhidi ya masihi wake.”
27 Zbrali so se namreč zares zoper svetega sina tvojega Jezusa, kterega si pomazilil, Herod in Pontijski Pilat s pogani in ljudstvom Izraelovim,
Ni hakika, wote Herode na Pontio Pilato, pamoja na watu wa mataifa na watu wa Israeli, walikusanyika kwa pamoja katika mji huu dhidi ya mtumishi wako mtakatifu Yesu, ambaye ulimpaka mafuta.
28 Da storé, kar je roka tvoja in sklep tvoj sklenil, da naj se zgodí.
Walikusanyika kwa pamoja kufanya yote ambayo mkono wako na mapenzi yako yaliyaamuru tangu awali kabla hayajatokea.
29 In sedaj, Gospod, poglej na njih pretenje, in daj hlapcem svojim, da bodo z vso srčnostjo govorili besedo tvojo,
Sasa, Bwana, yaangalie matisho yao, na ukawajaalie watumishi wako kulinena neno lako kwa ujasiri wote. Ili
30 S tem, da stegneš roko svojo na uzdravljanje, in da se znamenja in čudeži godé po imenu svetega sina tvojega Jezusa.
kwamba unaponyosha mkono wako kuponya, ishara na maajabu viweze kutokea kupitia jina la mtumishi wako mtakatifu Yesu.”
31 In ko so odmolili, potrese se mesto, na kterem so bili zbrani, in vsi se napolnijo Duha svetega, in govorili so besedo Božjo srčno.
Walipomaliza kuomba, eneo ambalo walikusanyika kwa pamoja likatikiswa, na wote wakajazwa na Roho Mtakatifu, na walinena neno la Mungu kwa ujasili.
32 A množica teh, kteri so verovali, bila je enega srca in enega duha; in nihče ni govoril, da je od tega, kar je imel, njegovega kaj, nego vse jim je bilo občno.
Idadi kubwa ya wale walioamini walikuwa na moyo mmoja na roho moja: na hakuna hata mmoja wao aliyesema kwamba chochote alichomiliki kilikuwa cha kwake mwenyewe; badala yake walikuwa na vitu vyote shirika.
33 In z veliko močjó so dajali pričevanje aposteljni za vstajenje Gospoda Jezusa, in milost velika je bila na vseh njih.
Kwa nguvu kubwa mitume walikuwa wakiutangaza ushuhuda wao kuhusu ufufuo wa Bwana Yesu, na neema kubwa ilikuwa juu yao wote.
34 Ni ga bilo namreč ubogega med njimi. Kajti kolikor jih je bilo, kteri so imeli njive ali hiše, prodajali so, in donašali so ceno tega, kar so prodali,
Hapakuwa na mtu yeyote miongoni mwao aliyepungukiwa na mahitaji, kwa sababu watu wote waliokuwa na hati za viwanja au nyumba, waliviuza na kuleta pesa ya vitu waliyokuwa wameuza
35 In pokladali so aposteljnom pred noge; in delilo se je vsakemu, kakor je kdo potreboval.
na kuviweka chini ya miguu ya mitume. Na mgawanyo ulifanywa kwa kila muumini, kulingana na kila mmoja alivyokuwa na hitaji.
36 Jozej pa, kteremu so aposteljni priimek Barnaba dali (kar se tolmači: Sin tolažbe), Levit, iz Cipra po rodu,
Yusufu, mlawi, mtu kutoka Kipro, alipewa jina la Barnabasi na mitume (hiyo ikitafasiriwa, ni mwana wa faraja).
37 Ker je imel njivo, prodal je, in prinesel je ceno, in položil je aposteljnom pred noge.
Akiwa na shamba, aliliuza na akaleta fedha, akaziweka chini ya miguu ya mitume.

< Apostolska dela 4 >