< Псалтирь 34 >

1 Псалом Давиду, внегда измени лице свое пред Авимелехом: и отпусти его, и отиде. Благословлю Господа на всякое время, выну хвала Его во устех моих.
Nitamsifu Yahwe wakati wote, siku zote sifa zake zitakuwa mdomoni mwangu.
2 О Господе похвалится душа моя: да услышат кротцыи и возвеселятся.
Nitamsifu Yahwe! walio onewa wasikie na kufurahi.
3 Возвеличите Господа со мною, и вознесем имя Его вкупе.
Msifuni Yahwe pamoja nami, kwa pamoja tuliinue jina lake.
4 Взысках Господа, и услыша мя и от всех скорбей моих избави мя.
Nilimuomba Yahwe msaada naye akanijibu, akanipa ushindi juu ya hofu yangu yote.
5 Приступите к Нему и просветитеся, и лица ваша не постыдятся.
Wale wanao mtazama yeye wana furaha, na nyuso zao hazina aibu.
6 Сей нищий воззва, и Господь услыша и, и от всех скорбей его спасе и.
Huyu mtu aliye onewa alilia na Yahwe akamsikia na kumuokoa kwenye matatizo yake yote.
7 Ополчится Ангел Господень окрест боящихся Его и избавит их.
Malaika wa Yahwe huweka kambi wakiwazunguka wale wanao muogopa yeye na kuwaokoa.
8 Вкусите и видите, яко благ Господь: блажен муж, иже уповает Нань.
Onjeni muone Yahwe ni mzuri. Amebarikiwa mtu yule ambaye Yahwe ni kimbilio lake.
9 Бойтеся Господа, вси святии Его, яко несть лишения боящымся Его.
Muogopeni Yahwe, ninyi watu watakatifu wake. Hakuna kupungukikwa kwa wale wanao mhofu yeye.
10 Богатии обнищаша и взалкаша: взыскающии же Господа не лишатся всякаго блага.
Simba wadogo wakati mwingine hukosa chakula na kuteseka kwa njaa, bali wale wamtafutao Yahwe hawatapungukiwa chochote kilicho kizuri.
11 Приидите, чада, послушайте мене, страху Господню научу вас.
Njoni, wana, mnisikilize mimi. nitawafundisha ninyi hofu ya Yahwe.
12 Кто есть человек хотяй живот, любяй дни видети благи?
Mtu nani aliyepo ambaye anatamani maisha na anapenda kuwa na siku nyingi, ili kwamba aweze kuona vizuri?
13 Удержи язык твой от зла и устне твои, еже не глаголати льсти.
Hivyo uepushe ulimi wako na uovu na uilinde midomo yako kuongea uongo.
14 Уклонися от зла и сотвори благо: взыщи мира и пожени и.
Uache uovu na utende mema. Uitafute amani na kuiendea amani.
15 Очи Господни на праведныя, и уши Его в молитву их.
Macho ya Yahwe yako kwenye haki na masikio yake huelekea kulia kwao.
16 Лице же Господне на творящыя злая, еже потребити от земли память их.
Uso wa Yahwe uko kinyume na wale watendao uovu, kuikatilia mbali kumbukumbu yao duniani.
17 Воззваша праведнии, и Господь услыша их и от всех скорбей их избави их.
Wenye haki hulia na Yahwe husikia na kuwaokoa kwenye matatizo yao yote.
18 Близ Господь сокрушенных сердцем, и смиренныя духом спасет.
Yahwe yu karibu nao waliovunjika moyo, naye huwaokoa waliogandamizwa rohoni.
19 Многи скорби праведным, и от всех их избавит я Господь.
Mateso ya wenye haki ni mengi, bali Yahwe huwaokoa nayo yote.
20 Хранит Господь вся кости их, ни едина от них сокрушится.
Yeye huitunza mifupa yake yote, hakuna hata mmoja wao utavunjika.
21 Смерть грешников люта, и ненавидящии праведнаго прегрешат.
Uovu utawauwa waovu. Wale wachukiao haki watahukumiwa.
22 Избавит Господь душы раб Своих, и не прегрешат вси уповающии на Него.
Yahwe huokoa maisha ya watumishi wake. Hakuna atakaye hukumiwa hata mmoja atafutaye usalama katika yeye.

< Псалтирь 34 >