< Бытие 9 >

1 И благослови Бог Ноа и сыны его и рече им: раститеся и множитеся, и наполните землю и обладайте ею:
Kisha Mungu akambariki Nuhu na wanawe, na kuwaambia, “Zaeni, mkaongezeke, na muijaze nchi.
2 и страх и трепет ваш будет на всех зверех земных (и на всех скотех земных, ) на всех птицах небесных и на всех движущихся по земли и на всех рыбах морских: в руце вашы вдах (я).
Hofu na utisho wenu vitakuwa juu ya kila mnyama aliye hai juu ya nchi, juu ya kila ndege wa angani, juu ya kila kitu kiendacho chini juu ya ardhi, na juu ya samaki wote wa baharini. Vimetolewa katika mikono yenu.
3 И всякое движущееся, еже есть живо, вам будет в снедь: яко зелие травное дах вам все.
Kila kitu kiendacho kilicho hai kitakuwa chakula kwa ajili yenu. Kama nilivyo wapa mimea, sasa nawapa kila kitu.
4 Точию мяса в крови души да не снесте.
Lakini msile nyama pamoja na uhai wake - yaani damu yake - ndani yake.
5 Крови бо вашей, душ ваших, от руки всякаго зверя изыщу (ея): и от руки человека брата изыщу ея.
Lakini kwa ajili ya damu yenu, uhai uliomo katika damu yenu nitataka malipo. Kutoka katika mkono wa kila mnyama nitaitaka. Kutoka katika mkono wa kila mtu, yaani, kutoka katika mkono wa yule ambaye amemuua ndugu yake, nitataka fidia kwa ajili ya uhai wa mtu huyo.
6 Проливаяй кровь человечу, в ея место его пролиется: яко во образ Божий сотворих человека.
Yeyote amwagaye damu ya mtu, kwa njia ya mtu damu yake itamwagwa, kwa sababu ilikuwa ni katika mfano wa Mungu kwamba Mungu alimuumba mtu.
7 Вы же раститеся и множитеся, и наполните землю, и множитеся на ней.
Na hivyo nanyi zaeni na kuongezeka, sambaeni katika inchi yote na muongezeke juu yake.”
8 И рече Бог Ноеви и сыном его с ним, глаголя:
Kisha Mungu akazungumza na Nuhu na wanae pamoja naye, akisema,
9 се, Аз поставляю завет Мой вам и семени вашему по вас,
“Kwa ajili yangu, sikiliza! Ninakwenda kulithibitisha agano langu pamoja nawe na uzao wenu baada yenu,
10 и всякой души живущей с вами от птиц и от скот и всем зверем земным, елика с вами (суть) от всех изшедших из ковчега:
na kwa kila kiumbe hai kilicho pamoja nawe, pamoja na ndege, mnyama wa kufugwa, na kila kiumbe cha nchi pamoja nawe, kuanzia kwa wote waliotoka kwenye safina, mpaka kwa kila kiumbe hai juu ya nchi.
11 и поставлю завет Мой с вами: и не умрет всяка плоть ктому от воды потопныя, и ктому не будет потоп водный, еже истлити всю землю.
Kwa sababu hii ninalithibitisha agano langu pamoja nanyi, kwamba hapatatokea kuangamizwa kwa mwenye mwili kwa njia ya maji ya gharika. Tena hapatatokea gharika ya kuangamiza nchi.”
12 И рече Господь Бог Ноеви: сие знамение завета, еже Аз даю между Мною и вами, и между всякою душею живою, яже есть с вами, в роды вечныя:
Mungu akasema, “na hii ndiyo ishara ya agano ambalo ninafanya kati yangu na ninyi pamoja na kila kiumbe hai kilicho pamoja nanyi, kwa vizazi vyote vya baadaye:
13 дугу Мою полагаю во облаце, и будет в знамение завета (вечнаго) между Мною и землею.
Nimeweka upinde wangu wa mvua katika wingu, na itakuwa ndiyo ishara ya agano kati yangu na nchi.
14 И будет егда наведу облаки на землю, явится дуга Моя во облаце:
Hata itakuwa nitakapoleta wingu juu ya nchi na upinde wa mvua ukaonekana katika wingu,
15 и помяну завет Мой, иже есть между Мною и вами, и между всякою душею живущею во всякой плоти, и не будет ктому вода в потоп, яко потребити всяку плоть.
ndipo nitakumbuka agano langu, ambalo ni kati yangu na ninyi na kila kiumbe hai cha wote mwenye mwili. Maji hayatafanyika tena gharika kuharibu wote wenye mwili.
16 И будет дуга Моя во облаце: и узрю ю, еже помянути завет вечный между Мною и землею, и между всякою душею живущею во всякой плоти, яже есть на земли.
Upinde wa mvua utakuwa katika mawingu na nitauona, ili kukumbuka agano la milele kati ya Mungu na kila kiumbe hai cha wote wenye mwili ambacho kiko juu ya nchi.”
17 И рече Бог Ноеви: сие знамение завета, егоже положих между Мною и между всякою плотию, яже есть на земли.
Kisha Mungu akamwambia Nuhu, “Hii ni ishara ya agano ambalo nimelithibitisha kati yangu na wenye mwili wote ambao wako juu ya nchi.”
18 Быша же сынове Ноевы изшедшии из ковчега, Сим, Хам, Иафеф: Хам же бяше отец Ханаань.
Wana wa Nuhu ambao walitoka katika safina walikuwa ni Shemu, Hamu, na Yafethi. Na Hamu akamzaa kanaani.
19 Трие сии суть сынове Ноевы: от сих разсеяшася по всей земли.
Watatu hawa walikuwa ndio wana wa Nuhu, na kutokea kwa hawa nchi yote ikajaa watu.
20 И начат Ное человек делатель (быти) земли, и насади виноград:
Nuhu akaanza kuwa mkulima, na akapanda mizabibu.
21 и испи от вина, и упися, и обнажися в дому своем.
Akanywa sehemu ya divai na akalewa. Akawa amelala hemeani uchi.
22 И виде Хам отец Ханаань наготу отца своего, и изшед вон поведа обема братома своима.
Kisha Hamu, baba yake na Kanaani, akaona uchi wa baba yake na akawaambia ndugu zake wawili waliokuwa nje.
23 И вземше сим и Иафеф ризу, возложиша (ю) на обе раме свои, и идоша вспять зряще, и покрыша наготу отца своего: и лице их вспять зря, и наготы отца своего не видеша.
Kwa hiyo Shemu na Yafethi wakachukua kanzu wakaitanda juu ya mabega yao, na wakatembea kinyumenyume na wakaufunika uchi wa baba yao. Nyuso zao zikiwa zimegeuka nyuma upande mwingine, kwa hiyo hawakuona uchi wa baba yao.
24 Истрезвися же Ное от вина, и разуме елика сотвори ему сын его юнейший,
Nuhu alipozinduka kutoka katika ulevi wake, alijua ni jambo gani mtoto wake mdogo amemfanyia.
25 и рече: проклят (буди) Ханаан отрок: раб будет братиям своим.
Hivyo akasema, “Alaaniwe Kanaani. Na awe mtumishi kwa watumishi wa ndugu zake.”
26 И рече: благословен Господь Бог Симов: и будет Ханаан отрок раб ему:
Akasema pia, Yahwe, Mungu wa Shemu, abarikiwe, Kanaani na awe mtumwa wake.
27 да распространит Бог Иафефа, и да вселится в селениих Симовых, и да будет Ханаан раб ему.
Mungu na apanuwe mipaka ya Yafethi, na afanye makazi yake katika hema za Shemu. Kanaani na awe mtumwa wake.”
28 Поживе же Ное по потопе лет триста пятьдесят.
Baada ya gharika, Nuhu aliishi miaka miatatu na hamsini.
29 И быша вси дние Ноевы лет девять сот пятьдесят: и умре.
Siku zote za Nuhu zilikuwa ni miaka mia tisa na hamsini, na kisha alikufa.

< Бытие 9 >