< Псалми 18 >

1 Љубићу Те, Господе, крепости моја,
Nakupenda, Yahwe, nguvu yangu.
2 Господе, Граде мој, Заклоне мој, који се оборити не може, Избавитељу мој, Боже мој, Камена горо, на којој се не бојим зла, Штите мој, Роже спасења мог, Уточиште моје!
Yahwe ni mwamba wangu, ngome yangu, yeye ambaye aniwekae kweye usalama; yeye ni Mungu wangu, mwamba wangu; ninapata kimbilio kwake. Yeye ni ngao yangu, pembe ya wokovu wangu, na ngome yangu.
3 Призивам Господа, коме се клањати ваља, и опраштам се непријатеља својих.
Nitamuita Yahwe kwa sababu anastahili kusifiwa, na nitaokolewa kutoka kwa adui zangu.
4 Обузеше ме смртне болести, и потоци неваљалих људи уплашише ме.
Kamba za mauti zilinizunguka, na mafuriko yakimbiayo yalinielemea.
5 Опколише ме болести паклене, стегоше ме замке смртне. (Sheol h7585)
Kamba za kuzimu zilinizunguka; mitego ya mauti ilininasa. (Sheol h7585)
6 У својој тескоби призвах Господа, и к Богу свом повиках; Он чу из двора свог глас мој, и вика моја дође Му до ушију.
dhiki yangu nilimuita Yahwe; Niliita msaada kwa Mungu. Naye alisikia sauti yangu kutoka hekaluni mwake; kuita kwangu msaada kulienda mpaka uweponi mwake; na kuingia masikioni pake.
7 Затресе се и поколеба се земља, задрмаше се и померише из темеља горе, јер се Он разљути.
Kisha nchi ikatikisika na kutetemeka; misingi ya milima pia ilitetemeka na kutikiswa kwa sababu Mungu alikuwa amekasirika.
8 Подиже се дим од гнева Његовог, из уста Његових огањ, који прождире и живо угљевље одскакаше од Њега.
Moshi ulifuka kutoka kwenye pua zake, na moto mkali ulitokea mdomoni mwake. Makaa yaliwashwa kwa moto huo.
9 Сави небеса и сиђе. Мрак беше под ногама Његовим.
Yeye alizifunua mbingu na alishuka chini, na giza nene lilikuwa chini ya miguu yake.
10 Седе на херувима и подиже се, и полете на крилима ветреним.
Alipanda kwenye kerubi na akaruka; alinyiririka kwenye mabawa ya upepo.
11 Од мрака начини себи кров, сеницу око себе, од мрачних вода, облака ваздушних.
Yahwe alilifanya giza kuwa hema likimzunguka yeye, wingu la mvua zito katika mbingu.
12 Од севања пред Њим кроз облаке Његове удари град и живо угљевље.
Mawe ya barafu na makaa ya moto yalianguka kutoka katika mwangaza kabla yake.
13 Загрме на небесима Господ, и Вишњи пусти глас свој, град и живо угљевље.
Yahwe aliongea katika mbingu! Sauti ya aliye juu ilisikika.
14 Пусти стреле своје, и разметну их; силу муња, и расу их.
Yeye aliifyatua mishale yake na kuwatawanya adui zake; na radi nyingi zenye mwanga alizitawanya katika maeneo tofauti tofauti.
15 И показаше се извори водени, и открише се темељи васиљени од претње Твоје, Господе, од дихања духа гнева Твог.
Ndipo mifereji ya maji ilitokea; misingi ya dunia ikadhihirishwa kwa mlio wa pigo lako, Yahwe kwa sauti ya pumzi ya pua zako.
16 Тада пружи с висине руку, ухвати ме, извуче ме из воде велике.
Yeye alishuka chini kutokea juu; akanishikilia mimi! Akanivuta nje ya maji yafurikayo.
17 Избави ме од непријатеља мог силног и од мојих ненавидника, кад беху јачи од мене.
Aliniokoa kutoka kwa maadui zangu wenye nguvu, kutoka kwa wale ambao walinichukia mimi, kwa kuwa walikuwa na nguvu sana kuliko mimi.
18 Усташе на ме у дан невоље моје, али ми Господ би потпора.
Wao walikuja kinyume na mimi katika siku ile ya dhiki yangu lakini Mungu alikuwa msaada wangu!
19 Изведе ме на пространо место, и избави ме, јер сам Му мио.
Yeye aliniweka huru katika eneo pana la wazi; yeye aliniokoa kwa sababu alipenezwa nami.
20 Даде ми Господ по правди мојој, и за чистоту руку мојих дарива ме.
Yahwe amenitunuku mimi kwa sababu ya haki yangu; yeye amenirejesha mimi kwa sababu mikono yangu ilikuwa misafi.
21 Јер се држах путева Господњих, и не одметнух се Бога свог,
Kwa kuwa nimezitunza njia za Yahwe na sijafanya uovu wa kumgeuka Mungu wangu.
22 Него су сви закони Његови преда мном, и заповести Његове не уклањам од себе.
Kwa kuwa amri zake zote za haki zimekuwa mbele yangu; kama asemavyo, sijaenda kinyume nazo.
23 Бих Му веран, и чувах се од безакоња свог.
Pia nimekuwa sina hatia mbele zake, na nimejiweka mwenyewe mbali na dhambi.
24 Даде ми Господ по правди мојој, по чистоти руку мојих пред очима Његовим.
Hivyo Yahwe amenirejesha kwa sababu ya haki yangu, na kwa sababu mikono yangu ilikuwa safi mbele ya macho yake.
25 Са светима поступаш свето, с човеком верним верно,
Kwa yeyote aliye mwaminifu, jionyeshe wenyewe kuwa mwaminifu; kwa mtu asiye na lawama, jionyeshe mwenyewe kuwa usiye na lawama.
26 С чистим чисто, а с неваљалим насупрот њему.
Kwa yeyote aliye msafi, jionyeshe mwenyewe safi; bali ni mjanja kwa yeyote aliye geuzwa.
27 Јер Ти помажеш људима невољним, а очи поносите понижаваш.
Kwa kuwa wewe huwaokoa watu walio taabishwa, lakini wewe huwashusha chini wale wenye majivuno, yaani macho yaliyo jinua!
28 Ти распаљујеш видело моје; Господ мој просветљује таму моју.
Kwa kuwa wewe huipa mwanga taa yangu; Yahwe Mungu wangu hutia mwanga giza langu.
29 С Тобом разбијам војску, и с Богом својим скачем преко зида.
Kwa kuwa kwa kupitia wewe ninaweza kuruka juu ya kiwazo kilichowekwa; kupitia Mungu ninaweza kuruka juu ya ukuta.
30 Пут је Господњи веран, реч Господња чиста. Он је штит свима који се у Њ уздају.
Kama kwa Mungu: njia yake ni kamilifu. Neno la Yahwe ni safi! Yeye ni ngao kwa yeyote anaye kimbilia katika yeye.
31 Јер ко је Бог осим Господа, и ко је одбрана осим Бога нашег?
Kwa kuwa nani ni Mungu ispokuwa Yahwe? Nani ndiye mwamba ispokuwa Mungu wetu?
32 Овај Бог опасује ме снагом, и чини ми веран пут.
Ni Mungu anitiaye nguvu ndani yangu kama vile mkanda, ambaye humweka mtu mwenye lawama katika njia yake.
33 Даје ми ноге као у јелена, и на висине ставља ме.
Yeye hunifanya miguu yangu kuwa myepesi kama mbawala na kuniweka mahali pa juu!
34 Учи руке моје боју, и мишице моје чини да су лук од бронзе.
Yeye hufunza viganja vyangu kwa ajili ya vita na mikono yangu kupiga upinde wa shaba.
35 Ти ми дајеш штит спасења свог; десница Твоја држи ме, и милост Твоја чини ме велика.
Wewe umenipa mimi ngao ya wokovu. Mkono wako wa kuume umenisaidia, na neema yako imenifanya kuwa mkubwa.
36 Ти шириш корак мој, те се не спотичу ноге моје.
Wewe umetengeneza nafasi pana kwa ajili ya miguu yangu ili miguu yangu isiteleze.
37 Терам непријатеље своје и стижем их, и не враћам се док их не истребим.
Ninawashawishi adui zangu na kuwakamata; nami sikurudi nyuma mpaka walipo haribiwa.
38 Обарам их, и не могу устати, падају под ноге моје.
Niliwashambulia hata hawakuweza kuamka; nao wameangukia chini ya miguu yangu.
39 Јер ме Ти опасујеш снагом за бој, и који устану на ме, обараш их преда мном.
Kwa kuwa unanitia nguvu kama mshipi kwa ajili ya vita; wewe unawaweka chini yangu wale ambao wanainuka kinyume na mimi.
40 Непријатеља мојих плећи Ти ми обраћаш, и потирем ненавиднике своје.
Wewe ulinipa visogo vya maadui zangu; niliwaagamiza wale walio nichukia.
41 Они вичу, али немају помагача, ка Господу, али их Он не слуша.
Wao waliita msaada lakini hakuna aliye wasaidia; walimuita Yahwe, lakini hakuwaitikia.
42 Расипам их као прах по ветру, као блато по улицама газим их.
Niliwapiga wao katika vipande vidogo vidogo kama vile vumbi mbele ya upepo; niliwatupa nje kama udongo mtaani.
43 Ти ме избављаш од буне народне, постављаш ме да сам глава туђим племенима; народ ког не познавах, служи ми.
Wewe uliniokoa mimi kutoka katika migogoro ya watu. wewe umenifanya kichwa juu ya mataifa. Watu ambao sikuwahi kuwafahamu huntumikia.
44 По самом чувењу слушају ме, туђини покорни су ми.
Pindi tu waliposikia kuhusu mimi, wao walinitii; wageni walilazimishwa kunisujudu.
45 Туђини бледе, дрхћу у градовима својим.
Wageni walitoka kwenye ngome yao wakitetemeka.
46 Жив је Господ, и да је благословен бранич мој! Да се узвиси Бог спасења мог,
Yahwe anaishi; mwamba wangu usifiwe. Ainuliwe Mungu wa wokovu wangu.
47 Бог, који ми даје освету, и покорава ми народе,
Yeye ni Mungu ambaye hutelekeza visasi kwa ajili yangu, ambaye huwatiisha mataifa chini yangu.
48 Који ме избавља од непријатеља, подиже ме над оне који устају на ме и од човека жестоког избавља ме!
Nimewekwa huru kutoka kwa adui zangu! wewe uliniinua juu ya wale walioinuka kunyume na mimi! Wewe uliniokoa kutoka kwa watu wenye vurugu.
49 Тога ради хвалим Те, Господе, пред народима, и певам имену Твом,
Kwa hiyo nitakushukuru wewe, Yahwe, kati ya mataifa; Nitaliimbia sifa jina lako!
50 Који славно избављаш цара свог, и чиниш милост помазанику свом Давиду и наслеђу његовом довека.
Mungu hutoa ushindi mkuu kwa mfalme wake, na yeye huonyesha uaminifu wa agano lake kwa mpakwa mafuta wake, kwa Daudi na ukoo wake milele.

< Псалми 18 >