< Dzieje 4 >

1 A gdy to oni mówili do ludu, nadeszli ich kapłani i hetmani kościelni, i Saduceuszowie.
Wakati Petro na Yohana walipokuwa wakizungumza na watu, makuhani na mlinzi wa hekalu na masadukayo waliwaendea.
2 Obrażając się, iż uczyli lud, a opowiadali w Jezusie powstanie od umarłych.
Walikuwa wameudhika sana kwa sababu Petro na Yohana walikuwa wanawafundisha watu kuhusu Yesu na kutangaza juu ya kufufuka kwake kutoka kwa wafu.
3 I wrzucili na nie ręce, a podali je do więzienia aż do jutra; bo już był wieczór.
Waliwakamata na kuwaweka gerezani hadi asubuhi iliyofuata, kwani tayari ilikuwa jioni.
4 A wiele z tych, którzy one słowa słyszeli, uwierzyli; i była liczba mężów około pięciu tysięcy.
Lakini watu wengi waliokuwa wamesikia ujumbe waliamini; na idadi ya wanaume waliokuwa wameamini walikadiliwa kuwa elfu tano.
5 I stało się nazajutrz, że się zebrali przełożeni ich i starsi, i nauczeni w Piśmie w Jeruzalemie,
Hata ilipofika asubuhi siku iliyofuata, kwamba wakuu wao, wazee na waandishi, kwa pamoja walikusanyika Yerusalemu.
6 I Annasz, najwyższy kapłan, i Kaifasz, i Jan, i Aleksander, i ile ich było z rodu najwyższych kapłanów;
Anasi kuhani mkuu alikuwepo, na Kayafa, na Yohana, na Iskanda, na wote waliokuwa ni ndugu wa kuhani mkuu.
7 A postawiwszy je w pośrodku, pytali ich: Którą mocą a któremeście to imieniem uczynili?
Walipokuwa wamewaweka Petro na Yohana katikati yao, waliwauliza, “Kwa uwezo gani, au kwa jina gani mmefanya hili?”
8 Tedy Piotr, będąc pełen Ducha Świętego, rzekł do nich: Przełożeni ludu i starsi Izraelscy!
Kisha, Petro, akiwa amejaa Roho Mtakatifu, akawaambia, “Ninyi wakuu wa watu, na wazee,
9 Ponieważ my dziś mamy być sądzeni dla dobrodziejstwa człowiekowi niemocnemu uczynionego, jakoby on był uzdrowiony;
kama sisi siku ya leo tunahojiwa kuhusu tendo jema lililofanywa kwa mtu huyu mgonjwa - kwa namna gani mtu huyu alifanywa mzima?
10 Niech wam wszystkim wiadomo będzie i wszystkiemu ludowi Izraelskiemu, że w imieniu Jezusa Chrystusa Nazareńskiego, któregoście wy ukrzyżowali, którego Bóg wzbudził od umarłych, przez tego ten stoi przed wami zdrowym.
Hebu lijulikane hilo kwenu na kwa watu wote katika Israel, kwamba kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareti, ambaye mlimsulibisha, ambaye Mungu alimfufua kutoka kwa wafu, ni kwa njia yake kwamba mtu huyu anasimama hapa mbele yenu akiwa mwenye afya.
11 Tenci jest kamień on wzgardzony od was budujących, który się stał głową węgielną.
Yesu Kristo ni jiwe ambalo ninyi wajenzi mlilidharau, lakini ambalo limefanywa kuwa jiwe kuu la pembeni.
12 I nie masz w żadnym innym zbawienia; albowiem nie masz żadnego imienia pod niebem, danego ludziom, przez które byśmy mogli być zbawieni.
Hakuna wokovu katika mtu mwingine awaye yote. Kwa maana hakuna jina jingine chini ya mbingu walilopewa watu, ambalo kwa hilo tunaweza kuokolewa.”
13 Widząc tedy bezpieczność Piotrową i Janową, i zrozumiawszy, iż ludźmi byli nieuczonymi i prostakami, dziwowali się i poznali je, iż byli z Jezusem.
Sasa walipoona ujasiri wa Petro na Yohana, na wakagundua kwamba walikuwa ni watu wakawaida wasio na elimu, walishangaa, wakafahamu kwamba Petro na Yohana wamekuwa pamoja na Yesu.
14 Widząc też onego człowieka z nimi stojącego, który był uzdrowiony, nie mieli co przeciwko temu mówić.
Kwa sababu walimwona yule mtu aliyeponywa amesimama pamoja nao, hawakuwa na kitu cha kusema dhidi ya hili.
15 A rozkazawszy im precz ustąpić z rady, radzili się między sobą,
Lakini walipokuwa wamekwisha kuwaamuru mitume waondoke mbele ya mkutano wa baraza, walizungumza wao kwa wao.
16 Mówiąc: Cóż uczynimy tym ludziom? Bo, że jawny cud przez nie jest uczyniony, to wszystkim mieszkającym w Jeruzalemie wiadomo jest, a nie możemy tego zaprzeć.
Walisema, tutawafanyaje watu hawa? Ni kweli kwamba muujiza wa ajabu umefanyika kupitia wao unajulikana na kila mmoja anayeishi Yerusalemu; hatuwezi kulikataa hilo.
17 Ale aby się to więcej nie rozsławiało między ludźmi, zagroźmy im srodze, aby więcej w tem imieniu żadnemu człowiekowi nie mówili.
Lakini, ili kwamba jambo hili lisienee miongoni mwa watu, hebu tuwaonye wasinene tena kwa mtu yeyote kwa jina hili.
18 A zawoławszy ich, zakazali im, aby koniecznie nie mówili, ani uczyli w imieniu Jezusowem.
Waliwaita Petro na Yohana ndani na kuwaamuru kamwe wasinene wala kufundisha kwa jina la Yesu.
19 Lecz Piotr i Jan odpowiedziawszy rzekli do nich: Jeźliż to sprawiedliwa przed obliczem Bożem, was raczej słuchać niż Boga, rozsądźcie.
Lakini Petro na Yohana walijibu na kuwaambia, “Kama ni sahihi machoni pa Mungu kuwatii ninyi kuliko Mungu, hukumuni wenyewe.
20 Albowiem my nie możemy tego, cośmy widzieli i słyszeli, nie mówić.
Maana sisi hatuwezi kuacha kuyanena mambo ambayo tumeyaona na kuyasikia.”
21 A oni zagroziwszy im, wypuścili je, nic nie znalazłszy, jakoby je skarać dla ludu i wszyscy chwalili Boga za to, co się było stało.
Baada ya kuwaonya sana Petro na Yohana, waliwaacha waende. Hawakuweza kupata sababu yoyote ya kuwaadhibu, kwa sababu watu wote walikuwa wakimsifu Mungu kwa kile kilichokuwa kimetendeka.
22 Bo onemu człowiekowi było więcej niż czterdzieści lat, nad którym się stał ten cud uzdrowienia.
Mtu aliyekuwa amepokea muujiza wa uponyaji alipata kuwa na umri zaidi ya miaka arobaini.
23 A gdy je wypuszczono, przyszli do swoich i oznajmili im, cokolwiek do nich przedniejsi kapłani i starsi mówili.
Baada ya kuwaacha huru, Petro na Yohana walikuja kwa watu wao na kuwataarifu yote ambayo makuhani wakuu na wazee walikuwa wamewaambia.
24 Którzy usłyszawszy to, jednomyślnie podnieśli głos swój ku Bogu i rzekli: Panie! tyś jest Bóg, któryś uczynił niebo i ziemię, i morze i wszystko, co w nich jest:
Walipoyasikia, walipaza sauti zao kwa pamoja kwa Mungu na kusema, “Bwana, wewe uliyeumba mbingu na dunia na bahari na kila kitu ndani yake,
25 Któryś Duchem Świętym przez usta Dawida, sługi swego, powiedział: Przeczże się zburzyli narodowie, a ludzie próżne rzeczy przemyślali?
wewe ambaye, kwa Roho Mtakatifu, kwa kinywa cha baba yetu Daudi, mtumishi wako, ulisema, “Kwanini watu wa mataifa wamefanya ghasia, na watu wametafakari mambo yasiyofaa?
26 Stanęli królowie ziemi i książęta zebrali się wespół przeciwko Panu i przeciwko pomazańcowi jego.
Wafalme wa dunia wamejipanga pamoja, na watawala wamekusanyika kwa pamoja dhidi ya Bwana na dhidi ya masihi wake.”
27 Albowiem się zebrali prawdziwie przeciwko świętemu Synowi twemu Jezusowi, któregoś pomazał, Herod i Poncki Piłat z pogany i z ludem Izraelskim.
Ni hakika, wote Herode na Pontio Pilato, pamoja na watu wa mataifa na watu wa Israeli, walikusanyika kwa pamoja katika mji huu dhidi ya mtumishi wako mtakatifu Yesu, ambaye ulimpaka mafuta.
28 Aby uczynili, cokolwiek ręka twoja i rada twoja przedtem postanowiła, aby się stało.
Walikusanyika kwa pamoja kufanya yote ambayo mkono wako na mapenzi yako yaliyaamuru tangu awali kabla hayajatokea.
29 Przetoż teraz, Panie! wejrzyj na pogróżki ich, a daj sługom twoim ze wszystkiem bezpieczeństwem mówić słowo twoje,
Sasa, Bwana, yaangalie matisho yao, na ukawajaalie watumishi wako kulinena neno lako kwa ujasiri wote. Ili
30 Ściągając rękę twoję ku uzdrawianiu i ku czynieniu znamion i cudów, przez imię świętego Syna twego Jezusa.
kwamba unaponyosha mkono wako kuponya, ishara na maajabu viweze kutokea kupitia jina la mtumishi wako mtakatifu Yesu.”
31 A gdy się oni modlili, zatrząsnęło się ono miejsce, na którem byli zgromadzeni, i napełnieni są wszyscy Duchem Świętym i mówili słowo Boże z bezpieczeństwem.
Walipomaliza kuomba, eneo ambalo walikusanyika kwa pamoja likatikiswa, na wote wakajazwa na Roho Mtakatifu, na walinena neno la Mungu kwa ujasili.
32 A onego mnóstwa wierzących było serce jedno i dusza jedna, a żaden z majętności swoich nie zwał nic swojem własnem, ale mieli wszystkie rzeczy spólne.
Idadi kubwa ya wale walioamini walikuwa na moyo mmoja na roho moja: na hakuna hata mmoja wao aliyesema kwamba chochote alichomiliki kilikuwa cha kwake mwenyewe; badala yake walikuwa na vitu vyote shirika.
33 A wielką mocą Apostołowie dawali świadectwo o zmartwychwstaniu Pana Jezusowem i była wielka łaska nad nimi wszystkimi.
Kwa nguvu kubwa mitume walikuwa wakiutangaza ushuhuda wao kuhusu ufufuo wa Bwana Yesu, na neema kubwa ilikuwa juu yao wote.
34 Bo żadnego nie było między nimi niedostatecznego; gdyż którzykolwiek mieli role albo domy, sprzedawając przynosili pieniądze za to, co posprzedawali,
Hapakuwa na mtu yeyote miongoni mwao aliyepungukiwa na mahitaji, kwa sababu watu wote waliokuwa na hati za viwanja au nyumba, waliviuza na kuleta pesa ya vitu waliyokuwa wameuza
35 I kładli przed nogi apostolskie, i rozdawano to każdemu, ile komu było potrzeba.
na kuviweka chini ya miguu ya mitume. Na mgawanyo ulifanywa kwa kila muumini, kulingana na kila mmoja alivyokuwa na hitaji.
36 Tedy Jozes, który nazwany był od Apostołów Barnabaszem, (co się wykłada: syn pociechy), Lewita, z Cypru rodem,
Yusufu, mlawi, mtu kutoka Kipro, alipewa jina la Barnabasi na mitume (hiyo ikitafasiriwa, ni mwana wa faraja).
37 Mając rolę, sprzedawszy ją, przyniósł pieniądze i położył je u nóg apostolskich.
Akiwa na shamba, aliliuza na akaleta fedha, akaziweka chini ya miguu ya mitume.

< Dzieje 4 >