< Psalm 18 >

1 I KIN pok ong komui Maing, ai kel.
Nakupenda, Yahwe, nguvu yangu.
2 Ieowa ai paip, ai kel, ai saundor ai Kot, ai paipalap, me i kin liki, pere pa i, menkamaur pa i o sile pa i!
Yahwe ni mwamba wangu, ngome yangu, yeye ambaye aniwekae kweye usalama; yeye ni Mungu wangu, mwamba wangu; ninapata kimbilio kwake. Yeye ni ngao yangu, pembe ya wokovu wangu, na ngome yangu.
3 I kin ngidingid ong Ieowa, me kaping en ko ong, o i pan dorela sang ai imwintiti kan.
Nitamuita Yahwe kwa sababu anastahili kusifiwa, na nitaokolewa kutoka kwa adui zangu.
4 I lodi onger sal en mela kan, o pilap en Pileam akan kamasak ia er.
Kamba za mauti zilinizunguka, na mafuriko yakimbiayo yalinielemea.
5 Sal en wasan mela kol ia dier, o sal en mela kaloe ia dier. (Sheol h7585)
Kamba za kuzimu zilinizunguka; mitego ya mauti ilininasa. (Sheol h7585)
6 Ni ai masak i likwir ong Ieowa o weriwer ong ai Kot; I ap kotin ereki ngil ai sang nan tanpas a, o ai likwir lel ong karong a kan.
dhiki yangu nilimuita Yahwe; Niliita msaada kwa Mungu. Naye alisikia sauti yangu kutoka hekaluni mwake; kuita kwangu msaada kulienda mpaka uweponi mwake; na kuingia masikioni pake.
7 Sappa rerer o mokidedar, o pason en nana kan ititekok o rerer, ni a kotin ongiongidar.
Kisha nchi ikatikisika na kutetemeka; misingi ya milima pia ilitetemeka na kutikiswa kwa sababu Mungu alikuwa amekasirika.
8 Atiniai koda sang nan silang i, o kisiniai kelail sang nan au a, ap kareda liol.
Moshi ulifuka kutoka kwenye pua zake, na moto mkali ulitokea mdomoni mwake. Makaa yaliwashwa kwa moto huo.
9 O a kotikidier nanlang o kotidido, o rotorot impan aluwilu a kan.
Yeye alizifunua mbingu na alishuka chini, na giza nene lilikuwa chini ya miguu yake.
10 O a kotikot pon Kerup amen o kotin pirwei, o a kotin dake pa en ang.
Alipanda kwenye kerubi na akaruka; alinyiririka kwenye mabawa ya upepo.
11 Tanpas a im pwal iei rotorot, o katau laud, o tapok rotorot, kapil pena i.
Yahwe alilifanya giza kuwa hema likimzunguka yeye, wingu la mvua zito katika mbingu.
12 Lingan me mi mo a, kamueit pasang tapok kan iang akel o liol.
Mawe ya barafu na makaa ya moto yalianguka kutoka katika mwangaza kabla yake.
13 O Ieowa kotin wiadar nansapwe nanlang, o me Lapalapia kotin poronelar kapit i iang akel o liol.
Yahwe aliongea katika mbingu! Sauti ya aliye juu ilisikika.
14 A kotin kasik wei sapwilim a kanang en kasik katieu, o kotin kamueit irail pasang. A kotin wiadar liol toto o kamasak irail adar.
Yeye aliifyatua mishale yake na kuwatawanya adui zake; na radi nyingi zenye mwanga alizitawanya katika maeneo tofauti tofauti.
15 Al en pil akan ap sansaladar, o pason en sappa weiweidar ki ar ongiong Maing, mon ang en silang omui.
Ndipo mifereji ya maji ilitokea; misingi ya dunia ikadhihirishwa kwa mlio wa pigo lako, Yahwe kwa sauti ya pumzi ya pua zako.
16 A kotikidier lim a sang nan wasa ileile, a kotin kol ia di o kotin api ia dar sang nan pil kalaimun akan.
Yeye alishuka chini kutokea juu; akanishikilia mimi! Akanivuta nje ya maji yafurikayo.
17 A kotin dore ia la sang ai imwintiti kelail akan, sang ir, me kailong kin ia, ir me i sota itar ong.
Aliniokoa kutoka kwa maadui zangu wenye nguvu, kutoka kwa wale ambao walinichukia mimi, kwa kuwa walikuwa na nguvu sana kuliko mimi.
18 Irail kaloe ia dier ni ai ran apwal, a Ieowa kotin wialar sauas pa i.
Wao walikuja kinyume na mimi katika siku ile ya dhiki yangu lakini Mungu alikuwa msaada wangu!
19 O a kotin kalua ia wasan saladok, a kotin kamaio ia da, aki a kotin kupukupura ia.
Yeye aliniweka huru katika eneo pana la wazi; yeye aliniokoa kwa sababu alipenezwa nami.
20 Ieowa kin kotin sauasa ia duen ai pung, a kotin katingi ong ia duen makelekel en pa i kan.
Yahwe amenitunuku mimi kwa sababu ya haki yangu; yeye amenirejesha mimi kwa sababu mikono yangu ilikuwa misafi.
21 Pwe i kin weweid nani al en Ieowa, o i sota kin katiwo ong ai Kot.
Kwa kuwa nimezitunza njia za Yahwe na sijafanya uovu wa kumgeuka Mungu wangu.
22 Pwe a masan akan mi mo i, o i sota pan kase sang ia a kusoned akan.
Kwa kuwa amri zake zote za haki zimekuwa mbele yangu; kama asemavyo, sijaenda kinyume nazo.
23 Pwe ngai unsokalar mon silang i o suedeki ai sapung.
Pia nimekuwa sina hatia mbele zake, na nimejiweka mwenyewe mbali na dhambi.
24 O Ieowa kotin katingi ong ia duen ai pung, o duen makelekel en pa i kan mon silang i.
Hivyo Yahwe amenirejesha kwa sababu ya haki yangu, na kwa sababu mikono yangu ilikuwa safi mbele ya macho yake.
25 Komui me kalangan ong me mau kan, o lelapok ong me lelapok kan,
Kwa yeyote aliye mwaminifu, jionyeshe wenyewe kuwa mwaminifu; kwa mtu asiye na lawama, jionyeshe mwenyewe kuwa usiye na lawama.
26 O makelekel ren me makelekel akan, o sapung ren me sapung kan.
Kwa yeyote aliye msafi, jionyeshe mwenyewe safi; bali ni mjanja kwa yeyote aliye geuzwa.
27 Pwe kom kin kotin dorela aramas luet akan, ap kadukiedi mas en me aklapalap akan.
Kwa kuwa wewe huwaokoa watu walio taabishwa, lakini wewe huwashusha chini wale wenye majivuno, yaani macho yaliyo jinua!
28 Pwe kom kin kotin kamaraini ai lamp, Ieowa ai Kot kin kamaraini ai rotorot.
Kwa kuwa wewe huipa mwanga taa yangu; Yahwe Mungu wangu hutia mwanga giza langu.
29 Pwe ni ai iang komui i kak kaloedi karis en saunpei kan, o ni ai iang ai Kot, i kak luswei pon kel takai.
Kwa kuwa kwa kupitia wewe ninaweza kuruka juu ya kiwazo kilichowekwa; kupitia Mungu ninaweza kuruka juu ya ukuta.
30 Al en Kot me unsokala; masan en Ieowa me makelekel. I pere pan karos, me liki i.
Kama kwa Mungu: njia yake ni kamilifu. Neno la Yahwe ni safi! Yeye ni ngao kwa yeyote anaye kimbilia katika yeye.
31 Pwe ia amen Kot impan Ieowa, de ia paip eu impan atail Kot?
Kwa kuwa nani ni Mungu ispokuwa Yahwe? Nani ndiye mwamba ispokuwa Mungu wetu?
32 Iei Kot, me kotin aude kin ia manaman, o kaunsokala al ai.
Ni Mungu anitiaye nguvu ndani yangu kama vile mkanda, ambaye humweka mtu mwenye lawama katika njia yake.
33 A kin kotin wiai ong nä i kan dueta nä en tia, o kotin kasapwil ia dang wasa ileile.
Yeye hunifanya miguu yangu kuwa myepesi kama mbawala na kuniweka mahali pa juu!
34 A kotin padaki ong pa i kan tiak en mauin o, pwen kak ong kaonopada kasik katieu mata.
Yeye hufunza viganja vyangu kwa ajili ya vita na mikono yangu kupiga upinde wa shaba.
35 Kom kotiki ong ia pere pan maur omui, o lim omui pali maun kamana ia da, o omui opampap me kasapwil ia da.
Wewe umenipa mimi ngao ya wokovu. Mkono wako wa kuume umenisaidia, na neema yako imenifanya kuwa mkubwa.
36 Kom kotin kaonopadar al, me i pan weweid ia, pwe nä i kan ender krisedi.
Wewe umetengeneza nafasi pana kwa ajili ya miguu yangu ili miguu yangu isiteleze.
37 I pan tang wong ai imwintiti kan o kono irail edi, o i sota pan puredo, lao karos lodier.
Ninawashawishi adui zangu na kuwakamata; nami sikurudi nyuma mpaka walipo haribiwa.
38 I pan kamor irail pasang, re sota pan kak palian ia, o re pan pupedi ong pan nä i kan.
Niliwashambulia hata hawakuweza kuamka; nao wameangukia chini ya miguu yangu.
39 Kom kak kamana kin ia omui manaman ong ni pei; Kom kak kasedi ong pan nä i kan karos me palian ia.
Kwa kuwa unanitia nguvu kama mshipi kwa ajili ya vita; wewe unawaweka chini yangu wale ambao wanainuka kinyume na mimi.
40 Kom kin kotin kaloedi ong ia ai imwintiti kan, pwen kawela, me kailong kin ia.
Wewe ulinipa visogo vya maadui zangu; niliwaagamiza wale walio nichukia.
41 Re kin likelikwir, a sota sauas parail ren Ieowa, a sota kotin sapeng ir.
Wao waliita msaada lakini hakuna aliye wasaidia; walimuita Yahwe, lakini hakuwaitikia.
42 I pan suk irail pasang dueta pwel par nan kisiniang; i pan kase ir ala dueta pwel samin sang nani al o.
Niliwapiga wao katika vipande vidogo vidogo kama vile vumbi mbele ya upepo; niliwatupa nje kama udongo mtaani.
43 Kom kin kotin dore ia sang ren akamai en aramas, o kom kotin kasapwil ia dang men liki kan; o wei eu me i sasa kin upa ong ia.
Wewe uliniokoa mimi kutoka katika migogoro ya watu. wewe umenifanya kichwa juu ya mataifa. Watu ambao sikuwahi kuwafahamu huntumikia.
44 Ni ar ronger, re peiki ong ia er, o nain men wai kan peikiong ia ni lingkaping.
Pindi tu waliposikia kuhusu mimi, wao walinitii; wageni walilazimishwa kunisujudu.
45 Nain men wai kan poridier o rerer o pwarado sang nan ar im kalaimun akan.
Wageni walitoka kwenye ngome yao wakitetemeka.
46 Ieowa kotin ieias; kaping ong ai paipalap; o kaping ong Kot ai saundor.
Yahwe anaishi; mwamba wangu usifiwe. Ainuliwe Mungu wa wokovu wangu.
47 Kot me kotin depuk ong ai imwintiti kan, o a kotin kaloedi ong ia ai imwintiti kan;
Yeye ni Mungu ambaye hutelekeza visasi kwa ajili yangu, ambaye huwatiisha mataifa chini yangu.
48 Kom kotin dore ia la sang ai imwintiti kan, o kom kotin kasapwil ia dang ir, me palian ia. Kom kin kotin sauasa ia ong me morsued ong ia.
Nimewekwa huru kutoka kwa adui zangu! wewe uliniinua juu ya wale walioinuka kunyume na mimi! Wewe uliniokoa kutoka kwa watu wenye vurugu.
49 I me i men danke komui, Maing Ieowa, nan pung en men liki kan o kauleki duen mar omui,
Kwa hiyo nitakushukuru wewe, Yahwe, kati ya mataifa; Nitaliimbia sifa jina lako!
50 Komui me kotin kamaurada melel sapwilim a nanmarki o a kotin sauasa mau sapwilim a Dawid keiedier o kadaudok a kokolata.
Mungu hutoa ushindi mkuu kwa mfalme wake, na yeye huonyesha uaminifu wa agano lake kwa mpakwa mafuta wake, kwa Daudi na ukoo wake milele.

< Psalm 18 >