< صَفَنیا 1 >

پادشاه یهودا، بر صفنیا ابن کوشی ابن جدلیاابن امریا ابن حزقیا نازل شد. ۱ 1
Hili ni neno la Yahwe ambalo lilikuja kwa Sefania mwana wa Kushi mwana wa Gedalia mwana wa Amaria mwana Hezekia, katika siku za Yosia mwana wa Amoni, mfalme wa Yuda. “
خداوند می‌گوید که همه‌چیزها را از روی زمین بالکل هلاک خواهم ساخت. ۲ 2
Nitaangamiza kabisa kila kitu kutoka usoni mwa dunia - hili ni tamko la Bwana mwenyewe.
انسان و بهایم را هلاک می‌سازم. مرغان هوا و ماهیان دریا وسنگهای مصادم را با شریران هلاک می‌سازم. وانسان را از روی زمین منقطع می‌نمایم. قول خداوند این است. ۳ 3
Nitamwangamiza mtu na mnyama; Nitawaangamiza ndege wa mbinguni na samaki wa baharini, uharibifu pamoja na waovu. Hivyo nitamfutilia mbali mtu kutoka uso wa dunia - hili ni tamko la Bwana mwenyewe.
و دست خود را بر یهودا و برجمیع سکنه اورشلیم دراز می‌نمایم. و بقیه بعل واسمهای موبدان و کاهنان را از این مکان منقطع می‌سازم. ۴ 4
Nitafika kwa mkono wangu juu ya Yuda na wote wenyeji wa Yerusalemu. Nitafutilia mbali kila mabaki ya Baali kutoka sehemu hii na majina ya watu waabuduo sanamu miongoni mwa makuhani,
و آنانی را که لشکر آسمان را بر بامهامی پرستند، و آن پرستندگان را که به یهوه قسم می‌خورند و آنانی را که به ملکوم سوگندمی خورند، ۵ 5
watu ambao juu ya nyumba huabudu miili ya mbinguni, na watu ambao huabudu na kuapa kwa Yahwe bali ambao pia huapa kwa mfalme wao.
و آنانی را که از پیروی یهوه مرتدشده‌اند، و آنانی را که خداوند را نمی طلبند و از اومسالت نمی نمایند. ۶ 6
Nitawafutilia mbali pia wale ambao wamegeuka nyuma kutoka kumfuata Yahwe, wale ambao pia humtafuta Yahwe pasipo kuuliza ulinzi wake.
به حضور خداوند یهوه خاموش باش، زیراکه روز خداوند نزدیک است، چونکه خداوندقربانی‌ای مهیا کرده است و دعوت‌شدگان خود راتقدیس نموده است. ۷ 7
Uwe kimya mbele ya Bwana Yahwe! Kwa kuwa siku ya Yahwe ni karibu, Yahwe ameandaa dhabihu na amewatenga wageni wake.
و در روز قربانی خداوندواقع خواهد شد که من بر سروران و پسران پادشاه و همه آنانی که لباس بیگانه می‌پوشند عقوبت خواهم رسانید. ۸ 8
“Itakuja katika siku ya dhabihu ya Bwana, hivyo nitawapiga wakuu na wana wa mfalme, na kila mmoja aliyevikwa mavazi ya kigeni.
و در آن روز بر همه آنانی که بر آستانه می‌جهند عقوبت خواهم رسانید و بر آنانی که خانه خداوند خود را از ظلم و فریب پرمی سازند. ۹ 9
Katika siku hiyo nitawapiga wote wale ambao huruka juu ya kizingiti, wale ambao hujaza nyumba ya bwana wao kwa vurugu na udanganyifu.
و خداوند می‌گوید که در آن روزصدای نعره‌ای از دروازه ماهی و ولوله‌ای از محله دوم و شکستگی عظیمی از تلها مسموع خواهدشد. ۱۰ 10
Itakuwa katika siku ile - hili ni tangazo la Yahwe - kwamba kilio cha huzuni kitakuja kutoka kwenye mlango wa samaki, ikipiga yowe kutoka Wilaya ya Pili, na sauti ya kishindo kikuu kutoka vilimani.
‌ای ساکنان مکتیش ولوله نمایید زیرا که تمامی قوم کنعان تلف شده و همه آنانی که نقره رابرمی دارند منقطع گردیده‌اند. ۱۱ 11
Pigeni yowe, wenyeji wa Soko la Wilaya, kwa wote wafanyabiashara watakuwa wameharibiwa, wote wale ambao hupima fedha watakuwa wamefutiliwa mbali.
و در آنوقت اورشلیم را به چراغها تفتیش خواهم نمود و برآنانی که بر دردهای خود نشسته‌اند و در دلهای خود می‌گویند خداوند نه نیکویی می‌کند و نه بدی، عقوبت خواهم رسانید. ۱۲ 12
Itakuwa katika siku ile nitaitafuta Yerusalemu kwa taa na kuwapiga wanaume ambao watakuwa wamekaa kwenye mvinyo wao na kusema mioyoni mwao, 'Yahwe hatafanya chochote, ama kizuri au kiovu.'.
بنابراین، دولت ایشان تاراج و خانه های ایشان خراب خواهدشد؛ و خانه‌ها بنا خواهند نمود، اما در آنها ساکن نخواهند شد و تاکستانها غرس خواهند کرد، اماشراب آنها را نخواهند نوشید. ۱۳ 13
Mali zao zitakuja kuporwa, na nyumba zao zitakuwa zimetelekezwa kwa maangamizi! Watajenga nyumba lakini hawataishi humo, na kupanda mizabibu lakini hawatakunywa mvinyo wake.
روز عظیم خداوند نزدیک است، نزدیک است و بزودی هرچه تمام تر می‌رسد. آواز روزخداوند مسموع است و مرد زورآور در آن به تلخی فریاد برخواهد آورد. ۱۴ 14
Siku kubwa ya Yahwe ni karibu, karibu na inaharakisha upesi! Sauti ya siku ya Yahwe itakuwa ya kilio cha uchungu wa kishujaa!
آن روز، روزغضب است، روز تنگی و اضطراب، روز خرابی وویرانی، روز تاریکی و ظلمت، روز ابرها و ظلمت غلیظ، ۱۵ 15
Siku hiyo itakuwa siku ya ghadabu, siku ya huzuni na uchungu, siku ya dhoruba na maangamizi, siku ya giza na utusitusi, siku ya mawingu na giza nene.
روز کرنا و هنگامه جنگ به ضدشهرهای حصاردار و به ضد برجهای بلند. ۱۶ 16
Itakuwa siku ya parapanda na kengele dhidi ya ngome mijini na buruji ndefu.
و مردمان را چنان به تنگ می‌آورم که کورانه راه خواهند رفت زیرا که به خداوند گناه ورزیده‌اند. پس خون ایشان مثل غبار و گوشت ایشان مانندسرگین ریخته خواهد شد. ۱۷ 17
Hivyo nitaleta dhiki juu ya wanadamu, kwa hiyo watatembea karibu kama wanaume vipofu tangu walipofanya dhambi dhidi ya Yahwe. Damu yao itamwagwa kama vumbi, na sehemu zao za ndani kama kinyesi.
در روز غضب خداوند نه نقره و نه طلای ایشان ایشان را تواندرهانید و تمامی جهان از آتش غیرت او سوخته خواهدشد، زیرا که بر تمامی ساکنان جهان هلاکتی هولناک وارد خواهد آورد. ۱۸ 18
Wala fedha zao wala dhahabu zao hazitaweza kuwaokoa juu ya ghadhabu ya Yahwe. Ndani ya moto wa wivu wake dunia yote itateketezwa, hivyo ataleta ukamilifu, miwisho wa kutisha kwa wote wakaao duniani.”

< صَفَنیا 1 >