< زکریا 5 >
و باز چشمان خود را برافراشته، نگریستم و طوماری پران دیدم. | ۱ 1 |
Kisha nikageuka na kuinua macho yangu, nami nikaona, tazama, gombo lirukalo!
و او مرا گفت: «چه چیز میبینی؟» گفتم: «طوماری پران میبینم که طولش بیست ذراع و عرضش ده ذراع میباشد.» | ۲ 2 |
Malaika akaniuliza, “Unaona nini?” Nikajibu, “Ninaona gombo lirukalo, urefu wake dhiraa ishirini na upana wake dhiraa kumi.”
او مرا گفت: «این است آن لعنتی که بر روی تمامی جهان بیرون میرود زیرا که از این طرف هردزد موافق آن منقطع خواهد شد و از آن طرف هرکه سوگند خورد موافق آن منقطع خواهد گردید. | ۳ 3 |
Ndipo aliponiambia, “Hii ni laana iendayo juu ya uso wa nchi yote, kwani tangu sasa kila mwivi ataondolewa kulingana na lisemavyo upande mmoja, wakati kila aapaye kiapo cha uongo ataondolewa kulingana na lisemavyo upande mwingine, kwa kadili ya maneno yake.
یهوه صبایوت میگوید: من آن را بیرون خواهم فرستاد و به خانه دزد و به خانه هرکه به اسم من قسم دروغ خورد داخل خواهد شد و در میان خانهاش نزیل شده، آن را با چوبهایش وسنگهایش منهدم خواهد ساخت.» | ۴ 4 |
“Nitalituma - asema Yahwe wa majeshi - hivyo litaingia nyumbani mwa mwivi na nyumbani mwa aapaye kwa uongo kwa jina langu. Litasalia nyumbani mwake na kuteketeza mbao na mawe yake.”
پس فرشتهای که با من تکلم مینمود بیرون آمده، مرا گفت: «چشمان خود را برافراشته ببین که اینکه بیرون میرود چیست؟» | ۵ 5 |
Ndipo malaika aliyekuwa akisema nami alipoenda nje na kuniambia, “Inua macho yako uone kinachokuja!”
گفتم: «این چیست؟» او جواب داد: «این است آن ایفایی که بیرون میرود و گفت نمایش ایشان در تمامی جهان این است.» | ۶ 6 |
Nikasema, “Ni nini hiki?” Akasema, “Hiki ni kikapu kilicho na efa ijayo. Huu ni uovu wao katika nchi yote.”
و اینک وزنهای از سرب برداشته شد. و زنی در میان ایفا نشسته بود. | ۷ 7 |
Kisha mfuniko wa risasi ukainuliwa kutoka ndani ya kikapu na kulikuwa na mwanamke chini yake amekaa ndani yake!
و او گفت: «این شرارت است.» پس وی را در میان ایفا انداخت و آن سنگ سرب را بر دهنهاش نهاد. | ۸ 8 |
Malaika akasema, “Huu ni uovu!” na akamtupa tena kikapuni, na kurusha mfuniko wa risasi mlango pake.
پس چشمان خود رابرافراشته، نگریستم و اینک دو زن بیرون آمدند وباد در بالهای ایشان بود و بالهای ایشان مثل بالهای لق لق بود و ایفا را به میان زمین و آسمان برداشتند. | ۹ 9 |
Nilipoinua macho nikaona wanawake wawili wakija kwangu, na upepo ulikuwa ndani ya mabawa yao - walikuwa na mabawa kama mabawa ya korongo. Wakainua kikapu kati ya mbingu na nchi.
پس به فرشتهای که با من تکلم مینمودگفتم: «اینها ایفا را کجا میبرند؟» | ۱۰ 10 |
Hivyo nikamwuliza malaika aliyesema nami, “Wanapeleka wapi kikapu?”
او مرا جواب داد: «تا خانهای در زمین شنعار برای وی بنا نمایند و چون آن مهیا شودآنگاه او در آنجا بر پایه خود بر قرار خواهد شد.» | ۱۱ 11 |
Akaniambia, “Wanakwenda kujengea hekalu katika nchi ya Shinari kwa ajili yake, hekalu litakapokuwa tayari, kikapu kitawekwa kwenye msingi ulioandaliwa kwa ajili yake.”