< مزامیر 91 >

آنکه در ستر حضرت اعلی نشسته است، زیر سایه قادرمطلق ساکن خواهد بود. ۱ 1
Yeye aishiye katika makazi ya Aliye Juu atakaa katika uvuli wa mwenyezi.
درباره خداوند می‌گویم که او ملجاو قلعه من است و خدای من که بر او توکل دارم. ۲ 2
Nami nitasema kuhusu Yahwe, “Yeye ni kimbilio langu na ngome yangu, Mungu wangu, ambaye niaamini katika yeye.”
زیرا که او تو را از دام صیاد خواهد رهانید و ازوبای خبیث. ۳ 3
Kwa maana yeye atakuokoa dhidi ya mtego wa mwindaji na dhidi ya pigo liletalo mauti.
به پرهای خود تو را خواهدپوشانید و زیر بالهایش پناه خواهی گرفت. راستی او تو را مجن و سپر خواهد بود. ۴ 4
Yeye atakufunika kwa mbawa zake, na chini ya mbawa zake utapata kimbilio. Uaminifu wake ni ngao na ulinzi.
از خوفی درشب نخواهی ترسید و نه از تیری که در روزمی پرد. ۵ 5
Nawe hautaogopeshwa na vitisho wakati wa usiku, wala mishale ipaayo kwa siku,
و نه از وبایی که در تاریکی می‌خرامد ونه از طاعونی که وقت ظهر فساد می‌کند. ۶ 6
wala pigo lizungukalo gizani, wala ugonjwa ujao wakati wa mchana.
هزارنفر به‌جانب تو خواهند افتاد و ده هزار به‌دست راست تو. لیکن نزد تو نخواهد رسید. ۷ 7
Maelfu waweza kuangukia upande wako na makumi elfu mkono wako wa kuume, lakini uovu hauwezi kukupata.
فقط به چشمان خود خواهی نگریست و پاداش شریران را خواهی دید. ۸ 8
Wewe utatazama tu na kuona hukumu ya waovu.
زیرا گفتی تو‌ای خداوندملجای من هستی و حضرت اعلی را ماوای خویش گردانیده‌ای. ۹ 9
Kwa kuwa Yahwe ni kimbilio langu! Umfanye Aliye Juu kuwa kimbilio lako pia.
هیچ بدی بر تو واقع نخواهد شد و بلایی نزد خیمه تو نخواهد رسید. ۱۰ 10
Hakuna uovu utakao kushinda wewe; mateso hayatakuja karibu na nyumba yako.
زیرا که فرشتگان خود را درباره تو امر خواهدفرمود تا در تمامی راههایت تو را حفظ نمایند. ۱۱ 11
Maana yeye atawaelekeza malaika moja kwa moja kukulinda wewe, na kukuwekea ulinzi katika njia zako zote.
تو را بر دستهای خود برخواهند داشت، مباداپای خود را به سنگ بزنی. ۱۲ 12
Nao watakuinua juu kwa mikono yao ili usiweze kujigonga mguu wako kwenye jiwe.
بر شیر و افعی پای خواهی نهاد؛ شیربچه و اژدها را پایمال خواهی کرد. ۱۳ 13
Utawaangamiza simba na nyoka chini ya miguu yako; utawakanyaga wana-simba na nyoka.
«چونکه به من رغبت دارد او را خواهم رهانید و چونکه به اسم من عارف است او راسرافراز خواهم ساخت. ۱۴ 14
Kwa sababu amejitoa kwangu, nitamuokoa. Nitamlinda kwa sababu yeye ni mwaminifu kwangu.
چون مرا خواند او رااجابت خواهم کرد. من در تنگی با او خواهم بود واو را نجات داده، معزز خواهم ساخت. ۱۵ 15
Aniitapo, nitamjibu. Katika shida nitakuwa naye; nitampatia ushindi na nitamuheshimu.
به طول ایام او را سیر می‌گردانم و نجات خویش را بدونشان خواهم داد.» ۱۶ 16
Nitamtosheleza kwa maisha malefu na kumuonesha wokovu wangu.

< مزامیر 91 >