< مزامیر 143 >

مزمور داود ای خداوند دعای مرا بشنو و به تضرع من گوش بده! در امانت وعدالت خویش مرا اجابت فرما! ۱ 1
Zaburi ya Daudi. Ee Bwana, sikia sala yangu, sikiliza kilio changu unihurumie; katika uaminifu na haki yako njoo unisaidie.
و بر بنده خودبه محاکمه برمیا. زیرا زنده‌ای نیست که به حضورتو عادل شمرده شود. ۲ 2
Usimhukumu mtumishi wako, kwa kuwa hakuna mtu anayeishi aliye mwenye haki mbele zako.
زیرا که دشمن بر جان من جفا کرده، حیات مرا به زمین کوبیده است و مرا درظلمت ساکن گردانیده، مثل آنانی که مدتی مرده باشند. ۳ 3
Adui hunifuatilia, hunipondaponda chini; hunifanya niishi gizani kama wale waliokufa zamani.
پس روح من در من مدهوش شده، و دلم در اندرونم متحیر گردیده است. ۴ 4
Kwa hiyo roho yangu inazimia ndani yangu, moyo wangu ndani yangu unakata tamaa.
ایام قدیم را به یاد می‌آورم. در همه اعمال توتفکر نموده، در کارهای دست تو تامل می‌کنم. ۵ 5
Nakumbuka siku za zamani; natafakari juu ya kazi zako zote, naangalia juu ya kazi ambazo mikono yako imezifanya.
دستهای خود را بسوی تو دراز می‌کنم. جان من مثل زمین خشک، تشنه تو است، سلاه. ۶ 6
Nanyoosha mikono yangu kwako, nafsi yangu inakuonea kiu kama ardhi kame.
‌ای خداوند، بزودی مرا اجابت فرما زیرا روح من کاهیده شده است. روی خود را از من مپوشان، مبادا مثل فروروندگان به هاویه بشوم. ۷ 7
Ee Bwana, unijibu haraka, roho yangu inazimia. Usinifiche uso wako, ama sivyo nitafanana na wale washukao shimoni.
بامدادان رحمت خود را به من بشنوان زیرا که بر تو توکل دارم. طریقی را که برآن بروم، مرا بیاموز زیرا نزدتو جان خود را برمی افرازم. ۸ 8
Asubuhi uniletee neno la upendo wako usiokoma, kwa kuwa nimeweka tumaini langu kwako. Nionyeshe njia nitakayoiendea, kwa kuwa kwako nainua nafsi yangu.
‌ای خداوند مرا از دشمنانم برهان زیرا که نزدتو پناه برده‌ام. ۹ 9
Ee Bwana, uniokoe na adui zangu, kwa kuwa nimejificha kwako.
مرا تعلیم ده تا اراده تو را بجاآورم زیرا خدای من تو هستی. روح مهربان تو مرادر زمین هموار هدایت بنماید. ۱۰ 10
Nifundishe kufanya mapenzi yako, kwa maana wewe ndiwe Mungu wangu, Roho wako mwema na aniongoze katika nchi tambarare.
به‌خاطر نام خود‌ای خداوند مرا زنده ساز. به‌خاطر عدالت خویش جان مرا از تنگی برهان. ۱۱ 11
Ee Bwana, kwa ajili ya jina lako, hifadhi maisha yangu, kwa haki yako nitoe katika taabu.
و به‌خاطر رحمت خود، دشمنانم را منقطع ساز. و همه مخالفان جان مرا هلاک کن زیرا که من بنده توهستم. ۱۲ 12
Kwa upendo wako usiokoma, nyamazisha adui zangu; waangamize watesi wangu wote, kwa kuwa mimi ni mtumishi wako.

< مزامیر 143 >