< مزامیر 127 >

سرود درجات از سلیمان اگر خداوند خانه را بنا نکند، بنایانش زحمت بی‌فایده می‌کشند. اگر خداوند شهر را پاسبانی نکند، پاسبانان بی‌فایده پاسبانی می‌کنند. ۱ 1
Yahwe asipoijenga nyumba, waijengao wafanya kazi bure. Yahwe asipoulinda mji, aulindaye afanya kazi bure.
بی‌فایده است که شماصبح زود برمی خیزید و شب دیر می‌خوابید و نان مشقت را می‌خورید. همچنان محبوبان خویش را خواب می‌بخشد. ۲ 2
Ni kazi bure kwa wewe unayeamka mapema, na kulala kwa kuchelewa, au kula mkate kwa kuufanyia kazi ngumu, maana Yahwe huwapa chakula awapendao hata wawapo usingizini.
اینک پسران میراث ازجانب خداوند می‌باشند و ثمره رحم، اجرتی ازاوست. ۳ 3
Tazama, wana ni urithi kutoka kwa Yahwe, uzao wa tumbo ni thawabu kutoka kwake.
مثل تیرها در دست مرد زور آور، همچنان هستند پسران جوانی. ۴ 4
Kama mishale mkononi mwa shujaa, ndivyo walivyo wana wa ujanani.
خوشابحال کسی‌که ترکش خود را از ایشان پر کرده است. خجل نخواهند شد بلکه با دشمنان، در دروازه سخن خواهند راند. ۵ 5
Ni namna gani alivyo barikiwa mtu ambaye amelijaza podo lake hivyo. Hata aibishwa pindi atakapo kabiliana na adui zake katika lango.

< مزامیر 127 >