< امثال 8 >
آیا حکمت ندا نمی کند، و فطانت آوازخود را بلند نمی نماید؟ | ۱ 1 |
Je hekima haiti? Je ufahamu hapazi sauti yake?
بهسر مکان های بلند، به کناره راه، در میان طریقها میایستد. | ۲ 2 |
Juu ya kilima kando ya barabara, kwenye njia panda, hekima anasimama.
بهجانب دروازهها به دهنه شهر، نزد مدخل دروازهها صدا میزند. | ۳ 3 |
Kando ya njia ya kuingilia mjini, karibu na milango ya mji, anaita kwa sauti.
که شما راای مردان میخوانم و آواز من به بنی آدم است. | ۴ 4 |
Watu, ninawaita ninyi na ninapaza sauti yangu kwa wana wa wanadamu.
ای جاهلان زیرکی را بفهمید وای احمقان عقل رادرک نمایید. | ۵ 5 |
Ninyi wajinga, jifunzeni hekima, na ninyi mnaochukia maarifa, lazima mjipatieni moyo wa ufahamu.
بشنوید زیرا که به امور عالیه تکلم مینمایم و گشادن لبهایم استقامت است. | ۶ 6 |
Sikiliza na mimi nitasema mambo mazuri na nifumbuapo midomo yangu nitaongea haki.
دهانم به راستی تنطق میکند و لبهایم شرارت را مکروه میدارد. | ۷ 7 |
Maana kinywa changu hunena uaminifu na midomo yangu huchukia uovu.
همه سخنان دهانم برحق است و درآنها هیچچیز کج یا معوج نیست. | ۸ 8 |
Maneno ya kinywa changu yote ni haki; hakuna kilichogeuzwa wala kupotoshwa.
تمامی آنهانزد مرد فهیم واضح است و نزد یابندگان معرفت مستقیم است. | ۹ 9 |
Maneno yangu yote yamenyooka kwa yule mwenye kuelewa; maneno yangu ni haki kwa wale wanaotafuta maarifa.
تادیب مرا قبول کنید و نه نقره را، و معرفت را بیشتر از طلای خالص. | ۱۰ 10 |
Chagua fundisho langu badala ya fedha na maarifa kuliko dhahabu safi.
زیرا که حکمت از لعلها بهتر است، و جمیع نفایس را به او برابر نتوان کرد. | ۱۱ 11 |
Maana mimi, hekima ni bora kuliko vito; hakuna unachokitamani kinaweza kulinganishwa na mimi.
من حکمتم و در زیرکی سکونت دارم، و معرفت تدبیر را یافتهام. | ۱۲ 12 |
Mimi, hekima, naishi kwa utaratibu, na ninamiliki maarifa na busara.
ترس خداوند، مکروه داشتن بدی است. غرور و تکبر وراه بد و دهان دروغگو را مکروه میدارم. | ۱۳ 13 |
Hofu ya Mungu ni kuchukia uovu- nachukia majivuno na kiburi, njia ya uovu, na kauli iliyopotoka- hivyo ninavichukia.
مشورت و حکمت کامل از آن من است. من فهم هستم و قوت از آن من است. | ۱۴ 14 |
Ninaushauri mzuri na hekima sahihi; mimi ni busara; nguvu zipo kwangu.
به من پادشاهان سلطنت میکنند، و داوران به عدالت فتوا میدهند. | ۱۵ 15 |
Kwa njia yangu wafalme hutawala- pia na waungwana, na wote ambao hutawala kwa haki.
به من سروران حکمرانی مینمایند و شریفان و جمیع داوران جهان. | ۱۶ 16 |
Kwa njia yangu wafalme hutawala na waungwana na wote wanaotawala kwa haki.
من دوست میدارم آنانی را که مرا دوست میدارند. وهرکه مرا به جد و جهد بطلبد مرا خواهد یافت. | ۱۷ 17 |
Nawapenda wale wanaonipenda, na wale wanaonitafuta kwa bidii, wataniona.
دولت و جلال با من است. توانگری جاودانی وعدالت. | ۱۸ 18 |
Kwangu kunautajiri na heshima, utajiri wa kudumu na haki.
ثمره من از طلا و زر ناب بهتر است، وحاصل من از نقره خالص. | ۱۹ 19 |
Tunda langu ni bora kuliko dhahabu, bora hata kuliko dhahabu safi.
در طریق عدالت میخرامم، در میان راههای انصاف، | ۲۰ 20 |
Ninazalisha kilicho bora kuliko fedha safi. Natembea katika njia ya haki,
تا مال حقیقی را نصیب محبان خود گردانم، وخزینه های ایشان را مملو سازم. | ۲۱ 21 |
katika mapito ambayo huelekea kwenye haki, ili niwape urithi wale wanaonipenda na kuzijaza hazina zao.
خداوند مرا مبداء طریق خود داشت، قبل از اعمال خویش از ازل. | ۲۲ 22 |
Yehova aliniumba tokea mwanzo- mwazoni mwa matendo yake ya nyakati za kale.
من از ازل برقرار بودم، از ابتدا پیش از بودن جهان. | ۲۳ 23 |
Tokea enzi za kale niliwekwa katika nafasi- tokea kwanza, tokea mwanzo wa dunia.
هنگامی که لجه هانبود من مولود شدم، وقتی که چشمه های پر ازآب وجود نداشت. | ۲۴ 24 |
Kabla ya bahari, mimi nilizaliwa- kabla ya kuwepo chemchemi zenye maji tele.
قبل از آنگاه کوهها برپاشود، پیش از تلها مولود گردیدم. | ۲۵ 25 |
Kabla ya milima na vilima kuwekwa, mimi nilizaliwa.
چون زمین وصحراها را هنوز نساخته بود، و نه اول غبار ربع مسکون را. | ۲۶ 26 |
Nilizaliwa kabla ya Yehova hajaiumba dunia wala makonde, hata mavumbi ya kwanza katika dunia.
وقتی که او آسمان را مستحکم ساخت من آنجا بودم، و هنگامی که دایره را برسطح لجه قرار داد. | ۲۷ 27 |
Nilikuwepo alipoziimarisha mbingu, wakati alipochora mstari katika sura ya kilindi.
وقتی که افلاک را بالااستوار کرد، و چشمه های لجه را استوار گردانید. | ۲۸ 28 |
Nilikuwepo alipoimarisha anga la juu na wakati wa kutengeneza kina cha chemchemi.
چون به دریا حد قرار داد، تا آبها از فرمان اوتجاوز نکنند، و زمانی که بنیاد زمین را نهاد. | ۲۹ 29 |
Nilikuwepo alipotengeneza mipaka ya bahari, ili maji yasisambae kuvuka pale alipoyaamuru, na wakati anaamuru misingi ya dunia sehemu ya kukaa.
آنگاه نزد او معمار بودم، و روزبروز شادی مینمودم، و همیشه به حضور او اهتزاز میکردم. | ۳۰ 30 |
Nilikuwa kando yake, kama fundistadi mkuu, na mimi nilikuwa furaha yake siku kwa siku, nikifurahi mbele zake daima.
و اهتزاز من در آبادی زمین وی، و شادی من بابنی آدم میبود. | ۳۱ 31 |
Nilikuwa nikifurahi katika dunia yake yote na furaha yangu ilikuwa kwa wana wa wanadamu.
پس الانای پسران مرا بشنوید، وخوشابحال آنانی که طریقهای مرا نگاه دارند. | ۳۲ 32 |
Na sasa, wanangu, nisikilizeni, maana wale wazishikao njia zangu watakuwa na furaha.
تادیب را بشنوید و حکیم باشید، و آن را ردمنمایید. | ۳۳ 33 |
Sikilizeni fundisho langu na mpate hekima; wala msilipuuze.
خوشابحال کسیکه مرا بشنود، و هرروز نزد درهای من دیده بانی کند، و باهوهای دروازه های مرا محافظت نماید. | ۳۴ 34 |
Anisikilizaye atakuwa na furaha- kila siku akitazama katika malango yangu, akinisubiri pembeni mwa milango ya masikani yangu.
زیرا هرکه مرایابد حیات را تحصیل کند، و رضامندی خداوندرا حاصل نماید. | ۳۵ 35 |
Maana yeyote anionaye mimi, anapata uzima, naye atapata kibali kwa Yehova.
و اما کسیکه مرا خطا کند، بهجان خود ضرر رساند، و هرکه مرا دشمن دارد، موت را دوست دارد. | ۳۶ 36 |
Na yeyote asiyeniona mimi, hujiumiza mwenyewe, wote wanaonichukia hupenda mauti.