< نحمیا 8 >

و تمامی، قوم مثل یک مرد در سعه پیش دروازه آب جمع شدند و به عزرای کاتب گفتند که کتاب تورات موسی را که خداوند به اسرائیل امر فرموده بود، بیاورد. ۱ 1
watu wote wakakusanyika kama mtu mmoja kwenye uwanja mbele ya Lango la Maji. Wakamwambia Ezra mwandishi alete Kitabu cha Sheria ya Mose, ambacho Bwana aliamuru kwa ajili ya Israeli.
و عزرای کاهن، تورات را در روز اول ماه هفتم به حضور جماعت از مردان و زنان و همه آنانی که می‌توانستند بشنوند و بفهمند، آورد. ۲ 2
Basi katika siku ya kwanza ya mwezi wa saba, kuhani Ezra akaleta Sheria mbele ya kusanyiko, ambamo walikuwamo wanaume, wanawake na watu wote walioweza kufahamu.
و آن را در سعه پیش دروازه آب از روشنایی صبح تا نصف روز، درحضور مردان و زنان و هر‌که می‌توانست بفهمدخواند و تمامی قوم به کتاب تورات گوش فراگرفتند. ۳ 3
Akaisoma kwa sauti kubwa tangu mapambazuko mpaka adhuhuri, akiwa ameuelekea uwanja uliokuwa mbele ya Lango la Maji mbele ya wanaume, wanawake na wengine ambao waliweza kufahamu. Watu wote wakasikiliza kwa makini kile Kitabu cha Sheria.
و عزرای کاتب بر منبر چوبی که به جهت اینکار ساخته بودند، ایستاد و به پهلویش از دست راستش متتیا و شمع و عنایا و اوریا وحلقیا و معسیا ایستادند و از دست چپش، فدایا ومیشائیل و ملکیا و حاشوم و حشبدانه و زکریا ومشلام. ۴ 4
Mwandishi Ezra alikuwa amesimama juu ya jukwaa la miti lililojengwa kwa kusudi hilo. Karibu naye upande wa kuume alisimama Matithia, Shema, Anaya, Uria, Hilkia na Maaseya. Upande wake wa kushoto walikuwepo Pedaya, Mishaeli, Malkiya, Hashumu, Hashbadani, Zekaria na Meshulamu.
و عزرا کتاب را در نظر تمامی قوم گشودزیرا که او بالای تمامی قوم بود و چون آن راگشود، تمامی قوم ایستادند. ۵ 5
Ezra akakifungua kile kitabu. Watu wote waliweza kumwona kwa sababu alikuwa amesimama juu zaidi, naye alipokifungua watu wote wakasimama.
و عزرا، یهوه خدای عظیم را متبارک خواند و تمامی قوم دستهای خود را برافراشته، در جواب گفتند: «آمین، آمین!» و رکوع نموده، و رو به زمین نهاده، خداوند را سجده نمودند. ۶ 6
Ezra akamsifu Bwana, Mungu mkuu, nao watu wote wakainua mikono yao na kuitikia, “Amen! Amen!” Kisha wakasujudu na kumwabudu Bwana hali nyuso zao zikigusa ardhi.
و یشوع و بانی وشربیا و یامین و عقوب و شبتای و هودیا و معسیاو قلیطا و عزریا و یوزاباد و حنان و فلایا و لاویان، تورات را برای قوم بیان می‌کردند و قوم، در جای خود ایستاده بودند. ۷ 7
Watu wakiwa wamesimama pale, Walawi wafuatao waliwafunza ile Sheria: Yeshua, Bani, Sherebia, Yamini, Akubu, Shabethai, Hodia, Maaseya, Kelita, Azaria, Yozabadi, Hanani na Pelaya.
پس کتاب تورات خدا را به صدای روشن خواندند و تفسیر کردند تا آنچه را که می‌خواندند، بفهمند. ۸ 8
Walisoma kutoka kile Kitabu cha Sheria ya Mungu, wakiifafanua na kuwapa maelezo ili watu waweze kufahamu kile kilichokuwa kikisomwa.
و نحمیا که ترشاتا باشد وعزرای کاهن و کاتب و لاویانی که قوم رامی فهمانیدند، به تمامی قوم گفتند: «امروز برای یهوه خدای شما روز مقدس است. پس نوحه گری منمایید و گریه مکنید.» زیرا تمامی قوم، چون کلام تورات را شنیدند گریستند. ۹ 9
Ndipo Nehemia aliyekuwa mtawala, Ezra kuhani na mwandishi, pamoja na Walawi waliokuwa wakiwafundisha watu wakawaambia wote, “Siku hii ni takatifu kwa Bwana Mungu wenu. Msiomboleze wala msilie.” Kwa kuwa watu wote walikuwa wakilia walipokuwa wakisikiliza maneno ya ile Sheria.
پس به ایشان گفت: «بروید و خوراکهای لطیف بخورید و شربتها بنوشید و نزد هر‌که چیزی برای او مهیا نیست حصه‌ها بفرستید، زیراکه امروز، برای خداوند ما روز مقدس است، پس محزون نباشید زیرا که سرور خداوند، قوت شمااست.» ۱۰ 10
Nehemia akasema, “Nendeni mkafurahie chakula kizuri na vinywaji vitamu, na mpeleke sehemu kwa wale ambao hawana chochote cha kula. Siku hii ni takatifu kwa Bwana. Msihuzunike, kwa kuwa furaha ya Bwana ni nguvu zenu.”
و لاویان تمامی قوم را ساکت ساختندو گفتند: «ساکت باشید زیرا که امروز روز مقدس است. پس محزون نباشید.» ۱۱ 11
Walawi wakawatuliza watu wote wakisema, “Kuweni watulivu, kwa kuwa hii ni siku takatifu. Msihuzunike.”
پس تمامی قوم رفته، اکل و شرب نمودند و حصه‌ها فرستادند وشادی عظیم نمودند زیرا کلامی را که به ایشان تعلیم داده بودند فهمیدند. ۱۲ 12
Kisha watu wote wakaondoka kwenda kula na kunywa, na kupeana sehemu ya chakula, na wakaadhimisha kwa furaha kubwa, kwa sababu sasa walifahamu maneno yale waliyokuwa wameelezwa.
و در روز دوم روسای آبای تمامی قوم وکاهنان و لاویان نزد عزرای کاتب جمع شدند، تاکلام تورات را اصغا نمایند. ۱۳ 13
Katika siku ya pili ya mwezi, wakuu wa mbari zote, pamoja na makuhani na Walawi, walikusanyika wakimzunguka Ezra mwandishi ili wapate kusikiliza kwa makini maneno ya Sheria.
و در تورات چنین نوشته یافتند که خداوند به واسطه موسی‌امرفرموده بود که بنی‌اسرائیل در عید ماه هفتم، درسایبانها ساکن بشوند. ۱۴ 14
Wakakuta imeandikwa katika ile Sheria, ambayo Bwana aliiamuru kupitia kwa Mose, kwamba Waisraeli walipaswa kukaa katika vibanda wakati wa sikukuu ya mwezi wa saba,
و در تمامی شهرهای خود و در اورشلیم اعلان نمایند و ندا دهند که به کوهها بیرون رفته، شاخه های زیتون و شاخه های زیتون بری و شاخه های آس و شاخه های نخل وشاخه های درختان کشن بیاورند و سایه بانها، به نهجی که مکتوب است بسازند. ۱۵ 15
na kwamba walipaswa kutangaza neno hili na kulieneza katika miji yao na katika Yerusalemu wakisema: “Enendeni katika nchi ya mlima na kuleta matawi kutoka miti ya mizeituni, mizeituni mwitu, mihadasi, mitende na miti ya kivuli, ili kutengeneza vibanda,” kama ilivyoandikwa.
پس قوم بیرون رفتند و هر کدام بر پشت بام خانه خود و در حیاط خود و در صحنهای خانه خدا و در سعه دروازه آب و در سعه دروازه افرایم، سایبانها برای خود ساختند. ۱۶ 16
Basi watu wakaenda na kuleta matawi, nao wakajijengea vibanda juu ya paa za nyumba zao, katika nyua zao, katika nyua za nyumba ya Mungu, na katika uwanja karibu na Lango la Maji na uwanja wa Lango la Efraimu.
و تمامی جماعتی که از اسیری برگشته بودند، سایبانهاساختند و در سایبانها ساکن شدند، زیرا که از ایام یوشع بن نون تا آن روز بنی‌اسرائیل چنین نکرده بودند. پس شادی بسیار عظیمی رخ نمود. ۱۷ 17
Jamii yote ya watu waliorudi kutoka utumwani wakajenga vibanda na kuishi ndani yake. Tangu wakati wa Yoshua mwana wa Nuni mpaka siku ile, Waisraeli hawakuwahi kuiadhimisha namna hii. Furaha yao ilikuwa kubwa sana.
وهر روز از روز اول تا روز آخر، کتاب تورات خدارا می‌خواند و هفت روز عید را نگاه داشتند. و در روز هشتم، محفل مقدس برحسب قانون برپا شد. ۱۸ 18
Siku baada ya siku, kuanzia siku ya kwanza hadi ya mwisho, Ezra alisoma kutoka kwenye kile Kitabu cha Sheria ya Mungu. Wakaiadhimisha sikukuu ile kwa siku saba, nayo siku ya nane, kufuatana na maagizo, kulikuwa na kusanyiko maalum.

< نحمیا 8 >