< ناحوم 3 >

وای بر شهر خون ریز که تمامش از دروغ وقتل مملو است و غارت از آن دورنمی شود! ۱ 1
Ole kwa mji uliojaa damu! Wote umejaa uongo na mali za wizi; wahanga wapo kwake daima.
آواز تازیانه‌ها و صدای غرغر چرخهاو جهیدن اسبان و جستن ارابه‌ها. ۲ 2
Lakini sasa kunasauti ya mijeledi na sauti za kugongesha matairi, farasi wakicheza, na magari ya vita yanaruka ruka.
سواران هجوم می‌آورند و شمشیرها براق و نیزه‌ها لامع می‌باشدو کثرت مجروحان و فراوانی مقتولان و لاشها راانتها نیست. بر لاشهای یکدیگر می‌افتند. ۳ 3
Kuna wapanda farasi wanashambulia, Upanga unang'ara, mikuki inametameta, marundo ya maiti, mafungu makubwa ya miili; hakuna ukomo wa miili, washambuliaji wanajikwaa juu yake.
ازکثرت زنای زانیه خوش منظر که صاحب سحرهااست و امت‌ها را به زناهای خود و قبایل را به‌جادوگریهای خویش می‌فروشد. ۴ 4
Hii inatokea kwa sababu ya matendo ya tamaa ya kahaba mzuri, mzoefu wa uchawi, mwenye kuuza taifa kwa umalaya wake, na watu kwa njia ya matendo yake ya kichawi.
اینک یهوه صبایوت می‌گوید: «من به ضد تو هستم ودامنهایت را بر روی تو منکشف ساخته، عورت تو را بر امت‌ها و رسوایی تو را بر مملکت‌ها ظاهرخواهم ساخت. ۵ 5
“Tazama, mimi nipo kinyume na wewe- hili ni neno la Yehova wa majeshi- sketi yako nitaiinua juu ya uso wako na kuzionyesha sehemu zako za siri kwa mataifa, aibu yako kwa falme.
و نجاسات بر تو ریخته تو راذلیل خواهم ساخت و تو را عبرت خواهم گردانید. ۶ 6
Nitarusha uchafu wa kuchukiza na kukufanya uwe mbaya sana; nitakufanya uwe mtu wa kutazamwa na kila mmoja.
و واقع خواهد شد که هر‌که تو را بیند ازتو فرار کرده، خواهد گفت: نینوا ویران شده است! کیست که برای وی ماتم گیرد و از کجا برای توتعزیه کنندگان بطلبم؟» ۷ 7
Itakuwa kwamba kila mmoja anayekutazama atakukimbia na kusema, “Ninawi ameharibika; ni nani ataomboleza kwa ajili yake?' Ni wapi nitampata mtu anayeweza kukufariji?”
آیا تو از نوآمون بهتر هستی که در میان نهرهاساکن بوده، آبها او را احاطه می‌داشت که دریاحصار او و بحرها دیوار او می‌بود؟ ۸ 8
Ninawi, je wewe ni bora kuliko Noamoni, uliojengwa juu ya Mto Naili, uliokuwa umezungukwa na maji, ambao ulinzi wake ilikuwa bahari, ambao ukuta wake ilikuwa bahari yenyewe?
حبش ومصر قوتش می‌بودند و آن انتها نداشت، فوط ولوبیم از معاونت کنندگان تو می‌بودند. ۹ 9
Ethiopia na Misri zilikuwa nguvu zake, na mwisho wake haukuwepo; Putu na Libya walikuwa rafiki zake.
معهذاجلای وطن شده و به اسیری رفته است و اطفالش نیز بر سر هر کوچه کوبیده شده‌اند و بر شرفایش قرعه انداخته‌اند و جمیع بزرگانش به زنجیرهابسته شده‌اند. ۱۰ 10
Lakini Noamoni alichukuliwa; alikwenda kwenye mateka; watoto wake wadogo walivunjwa vipande vipande katika kila makao makuu ya mtaa; adui zake walipiga kura kwa watu wake wenye heshima na wakuu wake wote walifungwa minyororo.
پس تو نیز مست شده، خویشتن را پنهان خواهی کرد و ملجایی به‌سبب دشمن خواهی جست. ۱۱ 11
Wewe pia utalewa; utajaribu kujificha, na utatafuta makimbilio kutoka kwa adui yako.
جمیع قلعه هایت به درختان انجیر با نوبرها مشابه خواهد بود که چون تکانیده شود به دهان خورنده می‌افتد. ۱۲ 12
Ngome zako zote zitakuwa kama mitini yenye tini zilizoiva mapema: kama zikitikiswa, zitaangukia kwenye kimywa cha mlaji.
اینک اهل تو دراندرونت زنان می‌باشند. دروازه های زمینت برای دشمنانت بالکل گشاده شده، آتش پشت بندهایت را می‌سوزاند. ۱۳ 13
Tazama, watu miongoni mwenu ni wanawake; malango ya nchi yako yamefunguliwa sana kwa ajili ya adui zako; moto umeharibu bawaba zake.
برای محاصره ات آب بیاور. قلعه های خودرا مستحکم ساز. به گل داخل شو و ملاط را پا بزن و کوره آجر پزی را مرمت نما. ۱۴ 14
Nenda ukachote maji kwenye boma iliyozingirwa; ziimarishe ngome zako; nenda kwenye udongo na kandamiza matope; finyanga kwa ajili ya matofali.
در آنجا آتش تو را خواهد سوزانید و شمشیر تو را منقطع ساخته، تو را مثل کرم خواهد خورد، خویشتن رامثل کرم کثیر کن و مثل ملخ بی‌شمار گردان. ۱۵ 15
Moto utakuteketeza pale, na upanga utakuangamiza. Utateketezwa kama nzige wachanga wanavyoteketeza kila kitu. Ninyi wenyewe mjitengeneze kuwa wengi kama nzige wachanga, na wengi kama nzinge waliopevuka.
تاجرانت را از ستارگان آسمان زیادتر کردی. مثل کرمها تاراج می‌کنند و می‌پرند. ۱۶ 16
Umezidisha wafanyabiashara wako zaidi kuliko nyota mbinguni; lakini wapo kama tunutu: wanapora nchi na kisha kuruka kwenda mbali.
تاجداران تو مانند ملخهایند و سردارانت مانند انبوه جراداند که در روز سرد بر دیوارها فرود می‌آیند، اماچون آفتاب گرم شود می‌پرند و جای ایشان معلوم نیست که کجاست. ۱۷ 17
Wafalme wenu wapo wengi kama zinge, na wakuu wenu wa majeshi ni kama kundi la wadudu wenye kuweka kambi katika ukuta wakati wa baridi. Lakini jua linapowaka wanaruka kwenda mbali ambako hakuna anayepajua.
‌ای پادشاه آشورشبانانت به خواب رفته و شرفایت خوابیده‌اند وقوم تو بر کوهها پراکنده شده، کسی نیست که ایشان را جمع کند. ۱۸ 18
Mfalme wa Ashuru, wachungaji wako wamelala; watawala wako wamejilaza chini kupumzika. Watu wako wametawanyika juu ya milima, na hakuna hata mmoja wa kuwakusanya.
برای شکستگی تو التیامی نیست و جراحت تو علاج نمی پذیرد و هر‌که آوازه تو را می‌شنود بر تو دستک می‌زند، زیراکیست که شرارت تو بر او علی الدوام واردنمی آمد؟ ۱۹ 19
Hakuna uponyaji unaowezekana kwa ajili ya vidonda vyako. Vidonda vyako ni vikubwa. Wanaosikia habari juu yako watapiga makofi kwa furaha juu yako. Ni nani aliyejiepusha kwa uovu wako wa daima?

< ناحوم 3 >