< ملاکی 1 >
Tamko la neno la Bwana kwa Israeki kwa mkono wa Malaki.
خداوند میگوید که شما را دوست داشتهام. اما شما میگویید: چگونه ما را دوست داشتهای؟ آیا عیسو برادر یعقوب نبود و خداوند میگویدکه یعقوب را دوست داشتم، | ۲ 2 |
“Nilikupenda, “asema Bwana. Lakini unasema, “kwa jinsi gani ulitupenda?” Esau siyo ndugu yake Yakobo?” asema Bwana. “Na bado nampenda Yakobo,
و از عیسو نفرت نمودم و کوههای او را ویران و میراث وی رانصیب شغالهای بیابان گردانیدم. | ۳ 3 |
lakini nimemchukia Esau. nimeifanya milima yake kuwa ukiwa, na nimepafanya urithi wake kuwa makao ya mbweha wa jangwani.”
چونکه ادوم میگوید: منهدم شدهایم اما خواهیم برگشت ومخروبهها را بنا خواهیم نمود. یهوه صبایوت چنین میفرماید: ایشان بنا خواهند نمود اما من منهدم خواهم ساخت و ایشان را بهسرحدشرارت و به قومی که خداوند بر ایشان تا به ابدغضبناک میباشد مسمی خواهند ساخت. | ۴ 4 |
Kama Edomu husema, “Tumepigwa, lakini tutarudi na kujenga palipoharibiwa; “Bwana wa Majeshi asama hivi, “Watajenga lakini nitaiangusha chini; na wanaume watawaita 'Nchi ya uovu', na 'Watu ambao ambao Mungu ana hasira nao milele.”'
وچون چشمان شما این را بیند خواهید گفت: خداوند از حدود اسرائیل متعظم باد! | ۵ 5 |
kwa macho yenu mtaona hili, na mtasema, “Bwana ni mkuu mbele ya mipaka ya Israel.”
پسر، پدر خود و غلام، آقای خویش رااحترام مینماید. پس اگر من پدر هستم احترام من کجا است؟ و اگر من آقا هستم هیبت من کجااست؟ یهوه صبایوت به شما تکلم میکند. ای کاهنانی که اسم مرا حقیر میشمارید و میگویید چگونه اسم تو را حقیر شمردهایم؟ | ۶ 6 |
mtoto amtiibaba yake, na mtumwa amtii bwana wake. ikiwa mimi, ni baba, iko wapi heshima yangu? na kama mimi ni bwana, iko wapi heshima yangu? Bwana wa majeshi asema hivi kwenu, makuhani, mnaodharau jina langu. lakini mnasema, 'tumeridharauje jina lako?
نان نجس برمذبح من میگذرانید و میگویید چگونه تو رابی حرمت نمودهایم؟ از اینکه میگویید خوان خداوند محقر است. | ۷ 7 |
kwa kutoa mikate iliyonajisi madhabahuni kwangu. Na mnasema kuwa, 'Tumekuradhau kwa namna gani?' Kwa kusema hivyomeza ya Bwana imedharauliwa.
و چون کور را برای قربانی میگذرانید، آیا قبیح نیست؟ و چون لنگ یا بیماررا میگذرانید، آیا قبیح نیست؟ آن را به حاکم خود هدیه بگذران و آیا او از تو راضی خواهدشد یا تو را مقبول خواهد داشت؟ قول یهوه صبایوت این است. | ۸ 8 |
Mkitoa sadaka ya wanyama vipofu, hiyo siyo dhambi? na kama mkitoa vilema na wagonjwa, hiyo siyo dhambi? pelekeni hili kwa liwali; atawakubali au atainua nyuso zetu?” asema Bwana wa Majeshi.
و الان از خدا مسالت نما تابر ما ترحم نماید. یهوه صبایوت میگوید این ازدست شما واقع شده است، پس آیا هیچ کدام ازشما را مستجاب خواهد فرمود؟ | ۹ 9 |
Na sasa, mnajaribu kutafuta neema ya Mungu, ili kwamba awe mwema kwetu. “Na aina gani ya sadaka kwa sehemu yenu, ataziinua nyuso zenu? asema Bwana wa Majeshi.
کاش که یکی از شما میبود که درها راببندد تا آتش بر مذبح من بیجا نیفروزید. یهوه صبایوت میگوید: در شما هیچ خوشی ندارم وهیچ هدیه از دست شما قبول نخواهم کرد. | ۱۰ 10 |
Kama kungekuwa na mtu ambaye angefunga lango la Hekalu, ili kwamba kusewe na mto madhabahuni bure! lakini sina radhi na ninyi, “asema Bwana wa majeshi, “na sitaikubali sadaka yeyote kutoka katika mikono yenu.
زیرا که از مطلع آفتاب تا مغربش اسم من درمیان امتها عظیم خواهد بود؛ و بخور و هدیه طاهر در هر جا به اسم من گذرانیده خواهد شد، زیرا یهوه صبایوت میگوید که اسم من در میان امتها عظیم خواهد بود. و بخور و هدیه طاهر درهر جا به اسم من گذرانیده خواهد شد، زیرا یهوه صبایوت میگوید که اسم من در میان امت هاعظیم خواهد بود. | ۱۱ 11 |
Kutoka mawio ya jua mpaka machweo jina langu litakuwa kuu katikati ya mataifa; katika kila sehemu uvumba utatolewa katika jina langu, na pia sadaka safi. Kwa sababu jina langu likuwa kuu sana katikatik ya mataif,” asema Bwana wa majeshi.
اما شما آن را بیحرمت میسازید چونکه میگویید که خوان خداوند نجس است و ثمره آن یعنی طعامش محقر است. | ۱۲ 12 |
“lakini ninyi mnachafua mnaposema meza ya Bwana mnainajisi, na matunda yake, na chakula chake kudharauka.
و یهوه صبایوت میفرماید که شما میگوییداینک این چه زحمت است و آن را اهانت میکنیدو چون (حیوانات ) دریده شده و لنگ و بیمار راآورده، آنها را برای هدیه میگذرانید آیا من آنهارا از دست شما قبول خواهم کرد؟ قول خداونداین است. | ۱۳ 13 |
Na ninyi pia mwasema, 'jambo hili limetuchosha, nanyi mnalidharau, “asema Bwana wa majeshi. “Mmerudisha kilichokuwa kimechukuliwa na wanyama wa mwitu au vilema au walio wagonjwa; na ndicho mnaleta kuwa sadaka zenu! Je naweza kuikubali hii mikononi mwenu?” asema Bwana.
پس ملعون باد هرکه فریب دهد و باآنکه نرینهای در گله خود دارد معیوبی برای خداوند نذر کرده، آن را ذبح نماید. زیرا که یهوه صبایوت میگوید: من پادشاه عظیم میباشم واسم من در میان امتها مهیب خواهد بود. | ۱۴ 14 |
Alaniwe alye mdanganyifu, ambaye anaye mnyama dume katika kundi lake ana akaahidi kunitolea, lakini bado anatoa kwangu, mimi Bwana, ambayo ni kiujanja ujanja; kwa kuwa mimi ni mfalme mkuu,” asema Bwana wa Majeshi, “na jina langu litaogopwa katika mataifa.”