< ایّوب 18 >

پس بلدد شوحی در جواب گفت: ۱ 1
Bildadi Mshuhi akajibu:
«تابه کی برای سخنان، دامها می‌گسترانید؟ تفکر کنید و بعد از آن تکلم خواهیم نمود. ۲ 2
“Je, ni lini utafika mwisho wa maneno haya? Uwe mwenye busara, nasi ndipo tutakapoweza kuongea.
چرا مثل بهایم شمرده شویم؟ و در نظر شما نجس نماییم؟ ۳ 3
Kwa nini sisi tunafikiriwa kama wanyama, na kuonekana wajinga machoni pako?
‌ای که در غضب خود خویشتن را پاره می‌کنی، آیا به‌خاطر تو زمین متروک شود، یاصخره از جای خود منتقل گردد؟ ۴ 4
Wewe unayejirarua mwenyewe vipande vipande katika hasira yako, je, dunia iachwe kwa ajili yako wewe? Au ni lazima miamba iondolewe mahali pake?
البته روشنایی شریران خاموش خواهد شد، و شعله آتش ایشان نور نخواهد داد. ۵ 5
“Taa ya mwovu imezimwa, nao mwali wa moto wake umezimika.
در خیمه اوروشنایی به تاریکی مبدل می‌گردد، و چراغش براو خاموش خواهد شد. ۶ 6
Mwanga hemani mwake umekuwa giza; taa iliyo karibu naye imezimika.
قدمهای قوتش تنگ می‌شود. و مشورت خودش او را به زیر خواهدافکند. ۷ 7
Nguvu za hatua zake zimedhoofishwa; shauri lake baya litamwangusha.
زیرا به پایهای خود در دام خواهد افتاد، و به روی تله‌ها راه خواهد رفت. ۸ 8
Miguu yake imemsukumia kwenye wavu, naye anatangatanga kwenye matundu ya wavu.
تله پاشنه او راخواهد گرفت. و دام، او را به زور نگاه خواهدداشت. ۹ 9
Tanzi litamkamata kwenye kisigino; mtego utamshikilia kwa nguvu.
دام برایش در زمین پنهان شده است، وتله برایش در راه. ۱۰ 10
Kitanzi kimefichwa ardhini kwa ajili yake; mtego uko kwenye njia yake.
ترسها از هر طرف او راهراسان می‌کند، و به او چسبیده، وی رامی گریزاند. ۱۱ 11
Vitisho vimemtia hofu kila upande, na adui zake humwandama kila hatua.
شقاوت، برای او گرسنه است، وذلت، برای لغزیدن او حاضر است. ۱۲ 12
Janga linamwonea shauku; maafa yako tayari kwa ajili yake aangukapo.
اعضای جسد او را می‌خورد. نخست زاده موت، جسد اورا می‌خورد. ۱۳ 13
Nayo yatakula sehemu ya ngozi yake; mzaliwa wa kwanza wa mauti atakula maungo yake.
آنچه بر آن اعتماد می‌داشت، ازخیمه او ربوده می‌شود، و خود او نزد پادشاه ترسها رانده می‌گردد. ۱۴ 14
Atangʼolewa kutoka usalama wa hema lake, na kupelekwa kwa mfalme wa vitisho.
کسانی که از وی نباشنددر خیمه او ساکن می‌گردند، و گوگرد بر مسکن اوپاشیده می‌شود. ۱۵ 15
Moto utakaa katika hema lake; moto wa kiberiti utamwagwa juu ya makao yake.
ریشه هایش از زیرمی خشکد، و شاخه‌اش از بالا بریده خواهد شد. ۱۶ 16
Mizizi yake chini itakauka na matawi yake juu yatanyauka.
یادگار او از زمین نابود می‌گردد، و در کوچه هااسم نخواهد داشت. ۱۷ 17
Kumbukumbu lake litatoweka katika dunia, wala hatakuwa na jina katika nchi.
از روشنایی به تاریکی رانده می‌شود. و او را از ربع مسکون خواهندگریزانید. ۱۸ 18
Ameondolewa nuruni na kusukumiwa gizani, naye amefukuzwa mbali atoke duniani.
او را در میان قومش نه اولاد و نه ذریت خواهد بود، و در ماوای او کسی باقی نخواهد ماند. ۱۹ 19
Hana mtoto wala mzao miongoni mwa watu wake, wala aliyenusurika mahali alipoishi.
متاخرین از روزگارش متحیر خواهند شد، چنانکه بر متقدمین، ترس مستولی شده بود. ۲۰ 20
Watu wa magharibi watashangaa yaliyompata; watu wa mashariki watapatwa na hofu.
به درستی که مسکن های شریران چنین می‌باشد، و مکان کسی‌که خدا رانمی شناسد مثل این است.» ۲۱ 21
Hakika ndivyo yalivyo makao ya mtu mwovu; ndivyo palivyo mahali pake mtu asiyemjua Mungu.”

< ایّوب 18 >