< ایّوب 17 >
«روح من تلف شده، و روزهایم تمام گردیده، و قبر برای من حاضر است. | ۱ 1 |
Roho yangu imemezwa, na siku zangu zimekwisha; kaburi lipo tayari kwa ajili yangu mimi.
به درستی که استهزاکنندگان نزد منند، و چشم من در منازعت ایشان دائم میماند. | ۲ 2 |
Hakika kuna wenye mzaha pamoja nami; ni lazima daima jicho langu litazame kukasirisha kwao.
الان گرو بده و به جهت من نزد خود ضامن باش. والا کیست که به من دست دهد؟ | ۳ 3 |
Nipe sasa ahadi, uwe uthibitisho kwangu mimi pamoja na wewe mwenyewe; nani mwingine yuko pale ambaye atanisaidia mimi?
چونکه دل ایشان را از حکمت منع کردهای، بنابراین ایشان را بلند نخواهی ساخت. | ۴ 4 |
Kwa kuwa wewe Mungu umemeitunza mioyo yao kutoka katika ufahamu; kwa hiyo, wewe hautawaheshimisha wao juu yangu mimi.
کسیکه دوستان خود را به تاراج تسلیم کند، چشمان فرزندانش تار خواهد شد. | ۵ 5 |
Yeye ambaye huwapinga rafiki zake hadharani, kwa ajili ya tuzo, macho ya watoto wake yatashindwa kuona.
مرا نزدامتها مثل ساخته است، و مثل کسیکه بر رویش آب دهان اندازند شدهام. | ۶ 6 |
Lakini amenifanya mimi kuwa neno la kuzungumziwa na watu; wao wananitemea mate katika uso wangu mimi.
چشم من از غصه کاهیده شده است، و تمامی اعضایم مثل سایه گردیده. | ۷ 7 |
Jicho langu pia halioni vizuri kwa sababu ya huzuni; sehemu zangu zote za mwili ni nyembamba kama vivuli.
راستان بهسبب این، حیران میمانند وصالحان خویشتن را بر ریاکاران برمی انگیزانند. | ۸ 8 |
Watu wanyoofu watapendezwa na hiki; mtu asiye na hatia atajitia yeye mwenyewe juu ya kushindana dhidi ya watu wasiomcha Mungu.
لیکن مرد عادل به طریق خود متمسک میشود، و کسیکه دست پاک دارد، در قوت ترقی خواهدنمود. | ۹ 9 |
Mtu mwenye haki ataendelea katika njia yake; yeye ambaye ana mikono iliyo safi ataendelea kuwa mwenye nguvu zaidi na zaidi.
«اما همه شما برگشته، الان بیایید و در میان شما حکیمی نخواهم یافت. | ۱۰ 10 |
Lakini kama ilivyo kwenu ninyi nyote, njooni sasa; Mimi sitampata mtu mwenye hekima miongoni mwenu ninyi.
روزهای من گذشته، و قصدهای من و فکرهای دلم منقطع شده است. | ۱۱ 11 |
Siku zangu zimepita; mipango yangu imenyamazishwa na hivyo ni matumaini ya moyo wangu.
شب را به روز تبدیل میکنند و باوجود تاریکی میگویند روشنایی نزدیک است. | ۱۲ 12 |
Watu hawa, wenye kukejeli, badili usiku kuwa mchana; mchana uko karibu kuwa giza.
وقتی که امید دارم هاویه خانه من میباشد، وبستر خود را در تاریکی میگسترانم، (Sheol ) | ۱۳ 13 |
Tangu mimi nitazame katika Kuzimu kama nyumbani kwangu; tangu Mimi nimetandaza kiti changu katika giza; (Sheol )
و به هلاکت میگویم تو پدر من هستی و به کرم که تومادر و خواهر من میباشی. | ۱۴ 14 |
tangu Mimi nimesema na shimo 'Wewe ni baba yangu,' na kwa funza, 'Wewe ni mama yangu au dada yangu;
پس امید من کجااست؟ و کیست که امید مرا خواهد دید؟ | ۱۵ 15 |
liko wapi tena tumaini langu? Kama kwa tumaini langu, nani awezaye kuona chochote?
تابندهای هاویه فرو میرود، هنگامی که با هم درخاک نزول (نماییم ).» (Sheol ) | ۱۶ 16 |
Tumaini litakwenda pamoja na mimi katika milango ya Kuzimu wakati sisi tutakapokwenda katika mavumbi? (Sheol )