< ایّوب 17 >

«روح من تلف شده، و روزهایم تمام گردیده، و قبر برای من حاضر است. ۱ 1
Roho yangu imemezwa, na siku zangu zimekwisha; kaburi lipo tayari kwa ajili yangu mimi.
به درستی که استهزاکنندگان نزد منند، و چشم من در منازعت ایشان دائم می‌ماند. ۲ 2
Hakika kuna wenye mzaha pamoja nami; ni lazima daima jicho langu litazame kukasirisha kwao.
الان گرو بده و به جهت من نزد خود ضامن باش. والا کیست که به من دست دهد؟ ۳ 3
Nipe sasa ahadi, uwe uthibitisho kwangu mimi pamoja na wewe mwenyewe; nani mwingine yuko pale ambaye atanisaidia mimi?
چونکه دل ایشان را از حکمت منع کرده‌ای، بنابراین ایشان را بلند نخواهی ساخت. ۴ 4
Kwa kuwa wewe Mungu umemeitunza mioyo yao kutoka katika ufahamu; kwa hiyo, wewe hautawaheshimisha wao juu yangu mimi.
کسی‌که دوستان خود را به تاراج تسلیم کند، چشمان فرزندانش تار خواهد شد. ۵ 5
Yeye ambaye huwapinga rafiki zake hadharani, kwa ajili ya tuzo, macho ya watoto wake yatashindwa kuona.
مرا نزدامت‌ها مثل ساخته است، و مثل کسی‌که بر رویش آب دهان اندازند شده‌ام. ۶ 6
Lakini amenifanya mimi kuwa neno la kuzungumziwa na watu; wao wananitemea mate katika uso wangu mimi.
چشم من از غصه کاهیده شده است، و تمامی اعضایم مثل سایه گردیده. ۷ 7
Jicho langu pia halioni vizuri kwa sababu ya huzuni; sehemu zangu zote za mwili ni nyembamba kama vivuli.
راستان به‌سبب این، حیران می‌مانند وصالحان خویشتن را بر ریاکاران برمی انگیزانند. ۸ 8
Watu wanyoofu watapendezwa na hiki; mtu asiye na hatia atajitia yeye mwenyewe juu ya kushindana dhidi ya watu wasiomcha Mungu.
لیکن مرد عادل به طریق خود متمسک می‌شود، و کسی‌که دست پاک دارد، در قوت ترقی خواهدنمود. ۹ 9
Mtu mwenye haki ataendelea katika njia yake; yeye ambaye ana mikono iliyo safi ataendelea kuwa mwenye nguvu zaidi na zaidi.
«اما همه شما برگشته، الان بیایید و در میان شما حکیمی نخواهم یافت. ۱۰ 10
Lakini kama ilivyo kwenu ninyi nyote, njooni sasa; Mimi sitampata mtu mwenye hekima miongoni mwenu ninyi.
روزهای من گذشته، و قصدهای من و فکرهای دلم منقطع شده است. ۱۱ 11
Siku zangu zimepita; mipango yangu imenyamazishwa na hivyo ni matumaini ya moyo wangu.
شب را به روز تبدیل می‌کنند و باوجود تاریکی می‌گویند روشنایی نزدیک است. ۱۲ 12
Watu hawa, wenye kukejeli, badili usiku kuwa mchana; mchana uko karibu kuwa giza.
وقتی که امید دارم هاویه خانه من می‌باشد، وبستر خود را در تاریکی می‌گسترانم، (Sheol h7585) ۱۳ 13
Tangu mimi nitazame katika Kuzimu kama nyumbani kwangu; tangu Mimi nimetandaza kiti changu katika giza; (Sheol h7585)
و به هلاکت می‌گویم تو پدر من هستی و به کرم که تومادر و خواهر من می‌باشی. ۱۴ 14
tangu Mimi nimesema na shimo 'Wewe ni baba yangu,' na kwa funza, 'Wewe ni mama yangu au dada yangu;
پس امید من کجااست؟ و کیست که امید مرا خواهد دید؟ ۱۵ 15
liko wapi tena tumaini langu? Kama kwa tumaini langu, nani awezaye kuona chochote?
تابندهای هاویه فرو می‌رود، هنگامی که با هم درخاک نزول (نماییم ).» (Sheol h7585) ۱۶ 16
Tumaini litakwenda pamoja na mimi katika milango ya Kuzimu wakati sisi tutakapokwenda katika mavumbi? (Sheol h7585)

< ایّوب 17 >