< پیدایش 12 >

و خداوند به ابرام گفت: «از ولایت خود، و از مولد خویش و از خانه پدرخود بسوی زمینی که به تو نشان دهم بیرون شو، ۱ 1
Kisha Yahwe akamwambia Abram, “Nenda utoke katika nchi yako, na toka kwa ndugu zako, na kwa jamaa za baba yako, uende katika nchi nitakayo kuonesha.
و از تو امتی عظیم پیدا کنم و تو را برکت دهم، ونام تو را بزرگ سازم، و تو برکت خواهی بود. ۲ 2
Nitakufanya uwe taifa kubwa, na nitakubariki na kulifanya jinalako kuwa kubwa, na utafanyika baraka.
وبرکت دهم به آنانی که تو را مبارک خوانند، ولعنت کنم به آنکه تو را ملعون خواند. و از توجمیع قبایل جهان برکت خواهند یافت.» ۳ 3
Nitawabariki wakubarikio, lakini asiye kuheshimu nita mlaani. Kupitia kwako familia zote za nchi zitabarikiwa.
پس ابرام، چنانکه خداوند بدو فرموده بود، روانه شد. و لوط همراه وی رفت. و ابرام هفتاد و پنج ساله بود، هنگامی که از حران بیرون آمد. ۴ 4
Kwa hiyo Abram akaondoka kama vile Yahwe alivyo mwambia kufanya, na Lutu akaenda pamoja naye. Abram alikuwa na miaka sabini na mitano wakati alipotoka Harani.
و ابرام زن خود سارای، و برادرزاده خود لوط، و همه اموال اندوخته خود را با اشخاصی که در حران پیداکرده بودند، برداشته، به عزیمت زمین کنعان بیرون شدند، و به زمین کنعان داخل شدند. ۵ 5
Abram akamchukua Sarai mkewe, Lutu, mtoto wa ndugu yake, na vyote walivyomiliki ambavyo wamevikusanya, na watu ambao wamewapata wakiwa huko Harani. Wakatoka kwenda katika nchi ya Kanaani, wakafika nchi ya Kanaani.
وابرام در زمین می‌گشت تا مکان شکیم تا بلوطستان موره. و در آنوقت کنعانیان در آن زمین بودند. ۶ 6
Abram akapitia katikati ya nchi hadi Shekemu, hadi mwaloni wa More. Wakati huo wakanaani waliishi katika nchi hiyo.
وخداوند بر ابرام ظاهر شده، گفت: «به ذریت تو این زمین را می‌بخشم.» و در آنجا مذبحی برای خداوند که بر وی ظاهر شد، بنا نمود. ۷ 7
Yahwe akamtokea Abram, na kusema, “Nitawapa uzao wako nchi hii.” Kwa hiyo Abram akamjengea madhabahu, Yahwe ambaye alimtokea.
پس، ازآنجا به کوهی که به شرقی بیت ئیل است، کوچ کرده، خیمه خود را برپا نمود. و بیت ئیل بطرف غربی و عای بطرف شرقی آن بود. و در آنجامذبحی برای خداوند بنا نمود و نام یهوه را خواند. ۸ 8
Kutoka pale akaenda kwenye nchi ya mlima mashariki mwa Betheli, ambapo alipiga hema yake, magaribi kukiwa na Betheli na mashariki kukiwa na mji wa Ai. Akajenga madhabahu ya Yahwe pale na kuliitia jina la Yahwe.
و ابرام طی مراحل و منازل کرده، به سمت جنوب کوچید. ۹ 9
Kisha Abram akaendelea kusafiri, akielekea upande wa Negebu.
و قحطی در آن زمین شد، و ابرام به مصرفرود آمد تا در آنجا بسر برد، زیرا که قحط درزمین شدت می‌کرد. ۱۰ 10
Kulikuwa na njaa katika nchi, kwa hiyo Abram akaenda kukaa Misri, kwa kuwa njaa ilikua kali katika nchi.
و واقع شد که چون نزدیک به ورود مصر شد، به زن خود سارای گفت: «اینک می‌دانم که تو زن نیکومنظر هستی. ۱۱ 11
Wakati alipokaribia kuingia Misri, akamwambia Sarai mkewe, “tazama, najua kuwa wewe ni mwanamke mzuri.
همانا چون اهل مصر تو را بینند، گویند: “این زوجه اوست.” پس مرا بکشند و تو را زنده نگاه دارند. ۱۲ 12
Wamisri watakapokuona watasema, huyu ni mke wake, na wataniua mimi, lakini watakuacha wewe hai.
پس بگو که تو خواهر من هستی تا به‌خاطر تو برای من خیریت شود و جانم بسبب توزنده ماند.» ۱۳ 13
Hivyo wewe sema kuwa ni dada yangu, ili kwamba niwe salama kwa sababu yako, na kumba maisha yangu yatasalimika kwa sababu yako.”
و به مجرد ورود ابرام به مصر، اهل مصر آن زن را دیدند که بسیار خوش منظر است. ۱۴ 14
Ikawa kwamba Abram alipoingia Misri, Wamisri wakaona kwamba Sarai ni mzuri sana.
و امرای فرعون او را دیدند، و او را درحضور فرعون ستودند. پس وی را به خانه فرعون در‌آوردند. ۱۵ 15
Wakuu wa Farao wakamuona, na kumsifia kwa Farao, na huyu mwanamke akachukuliwa kupelekwa nyumbani mwa Farao.
و بخاطر وی با ابرام احسان نمود، و او صاحب میشها و گاوان وحماران و غلامان و کنیزان و ماده الاغان وشتران شد. ۱۶ 16
Farao akamtendea kwa wema Abram kwa ajili yake, na akampatia kondoo, maksai, punda waume watumishi wa kiume, watumishi wa kike, punda wake, na ngamia.
و خداوند فرعون و اهل خانه اورا بسبب سارای، زوجه ابرام به بلایای سخت مبتلا ساخت. ۱۷ 17
Kisha Yahwe akampiga Farao na nyumba yake kwa mapigo makuu kwa sababau ya Sarai, mke wa Abram.
و فرعون ابرام را خوانده، گفت: «این چیست که به من کردی؟ چرا مرا خبرندادی که او زوجه توست؟ ۱۸ 18
Farao akamwita Abram na kusema, “Nini hiki ambacho umenifanyia? Kwa nini hukuniambia kuwa alikuwa mke wako?
چرا گفتی: اوخواهر منست، که او را به زنی گرفتم؟ و الان، اینک زوجه تو. او را برداشته، روانه شو!» ۱۹ 19
Kwa nini ulisema, 'ni dada yangu; na mimi nikamchukua kuwa mke wangu? Sasa kwa sababu hiyo huyu hapa mke wako. Mchukue na uende zako.”
آنگاه فرعون در خصوص وی، کسان خود راامر فرمود تا او را با زوجه‌اش و تمام مایملکش روانه نمودند. ۲۰ 20
Kisha Farao akatoa amri kwa watu wake kuhusiana naye, na wakamuondoa, yeye pamoja na mke wake na vyote alivyokuwa navyo.

< پیدایش 12 >