< تثنیه 19 >

وقتی که خدایت این امتها را که یهوه، خدایت، زمین ایشان را به تو می‌دهدمنقطع سازد، و تو وارث ایشان شده، در شهرها وخانه های ایشان ساکن شوی، ۱ 1
Wakati Yahwe Mungu wenu anayafutilia mbali mataifa, yale ambayo Yahwe Mungu wenu anawapa nchi yao, na wakati mnakuja kwao na kuishi katika miji yao na nyumba,
پس سه شهر رابرای خود در میان زمینی که یهوه، خدایت، به جهت ملکیت به تو می‌دهد، جدا کن. ۲ 2
mnapaswa kuchagua miji mitatu kwa ajili yenu katikati mwa nchi yenu ambayo Yahwe Mungu anawapa kuimiliki.
شاهراه رابرای خود درست کن، و حدود زمین خود را که یهوه خدایت برای تو تقسیم می‌کند، سه قسمت کن، تا هر قاتلی در آنجا فرار کند. ۳ 3
Mnapaswa kujenga barabara na kugawa mipaka ya nchi yenu katika maeneo matatu, nchi ambayo Yahwe Mungu wenu anafanya kuimiliki, ili kwamba kila mmoja anayeua mtu mwingine apate kukimbia hapo.
و این است حکم قاتلی که به آنجا فرار کرده، زنده ماند، هر‌که همسایه خود را نادانسته بکشد، و قبل از آن از او بغض نداشت. ۴ 4
Hii ni sheria kwa ajili ya mtu anayeua mwingine na anayekimbilia huko kuishi: yeyote auae jirani yake bila kujua, na hapo awali hakumchukia-
مثل کسی‌که باهمسایه خود برای بریدن درخت در جنگل برود، و دستش برای قطع نمودن درخت تبر را بلند کند، و آهن از دسته بیرون رفته، به همسایه‌اش بخوردتا بمیرد، پس به یکی از آن شهرها فرار کرده، زنده ماند. ۵ 5
kama wakati mtu aingiapo katika msitu pamoja na jirani yake kukata kuni, na mkono wake ukata mti chini kwa shoka, na kichwa uteleza kutoka kwenye mpini na kumpiga jirani yake mpaka akafa- basi mtu huyu anapaswa kukimbilia katika moja ya miji hii na kuishi.
مبادا ولی خون وقتی که دلش گرم است قاتل را تعاقب کند، و به‌سبب مسافت راه به وی رسیده، او را بکشد، و او مستوجب موت نباشد، چونکه او را پیشتر بغض نداشت. ۶ 6
Vinginevyo damu ya mlipiza kisasi atamfuata yeye aliyetoa uhai, na kwa hasira kali anampita kwa sababu ilikuwa safari ndefu. Na anampiga na kumuua, ijapokuwa mtu huyo akustahili kufa; na hata akustahili adhabu ya kifo kwa sababu hakumchukia jirani yake kabla hili halijatokea.
از این جهت من تو را امر فرموده، گفتم برای خود سه شهر جداکن. ۷ 7
Basi sasa ninakuamuru kuchagua miji mitatu kwa ajili yako.
و اگر یهوه، خدایت، حدود تو را به طوری که به پدرانت قسم خورده است وسیع گرداند، وتمامی زمین را به تو عطا فرماید، که به دادن آن به پدرانت وعده داده است، ۸ 8
Kama Yahwe Mungu wenu apanua mipaka yenu, kama alivyoapa kwa mababu zenu kufanya, na kuwapa nchi yote ambayo amewaahadia kuwapa mababu zenu;
و اگر تمامی این اوامررا که من امروز به تو می‌فرمایم نگاه داشته، بجا آوری که یهوه خدای خود را دوست داشته، به طریقهای او دائم سلوک نمایی، آنگاه سه شهردیگر بر این سه برای خود مزید کن. ۹ 9
kama mnazishika amri hizi zote kuzifanya, ambazo ninakuamuru leo- amri za kumpenda Yahwe Mungu wenu na daima kutembea katika njia zake, basi mnapaswa kuongeza miji mitatu zaidi kwa ajili yenu, isipokuwa ile mitatu.
تا خون بی‌گناه در زمینی که یهوه خدایت برای ملکیت به تو می‌دهد، ریخته نشود، و خون بر گردن تونباشد. ۱۰ 10
Fanya hivi ili kwamba damu isiyo na hatia isimwangwe katikati ya nchi ambayo Yahwe Mungu wenu anawapa kwa ajili ya urithi, ili kwamba pasiwepo hatia ya damu kwenu.
لیکن اگر کسی همسایه خود را بغض داشته، در کمین او باشد و بر او برخاسته، او راضرب مهلک بزند که بمیرد، و به یکی از این شهرها فرار کند، ۱۱ 11
Lakini kama yeyote anamchukia jirani yake, uongo unamsubiri, uinuka dhidi yake, na majeraha ya kufa kwake ili kwamba anakufa, na kama basi anakimbia katika moja ya miji hii-
آنگاه مشایخ شهرش فرستاده، او را از آنجا بگیرند، و او را به‌دست ولی خون تسلیم کنند، تا کشته شود. ۱۲ 12
basi wazee wa mji wake wanapaswa kumtoa na kumrudisha toka huko, na kumkabizi katika mkono wa ndugu mhusika, ili kwamba amuue.
چشم تو بر اوترحم نکند، تا خون بی‌گناهی را از اسرائیل دورکنی، و برای تو نیکو باشد. ۱۳ 13
Jicho lako halipaswi kumuonea huruma; badala yake; unapaswa kuondoa hatia ya damu kutoka Israel, ili kwamba iwe vizuri kwako.
حد همسایه خود را که پیشینیان گذاشته‌اند، در ملک تو که به‌دست تو خواهد آمد، در زمینی که یهوه خدایت برای تصرفش به تومی دهد، منتقل مساز. ۱۴ 14
Haupaswi kuondoa alama ya jirani yako ambayo wameweka katika eneo muda mrefu, katika urithi wako ambao utarithi, katika nchi ambayo Yahwe Mungu wako anakupa kumiliki.
یک شاهد بر کسی برنخیزد، به هر تقصیر وهر گناه از جمیع گناهانی که کرده باشد، به گواهی دو شاهد یا به گواهی سه شاهد هر امری ثابت شود. ۱۵ 15
Shahidi moja peke hapaswi kuinuka dhidi ya mtu kwa ajili ya uovu wowote, au kwa ajili ya dhambi yoyote, katika jambo lolote ambalo amefanya dhambi; kwa kinywa cha mashahidi wawili, au kwa kinywa cha mashahidi watatu, kunapaswa jambo lolote lilithibitishwe.
اگر شاهد کاذبی بر کسی برخاسته، به معصیتش شهادت دهد، ۱۶ 16
Kama ushuhuda wa mtu asiye na haki anainua dhidi ya mtu yeyote kushuhudia dhidi yake kwa mambo mabaya.
آنگاه هر دو شخصی که منازعه در میان ایشان است، به حضور خداوندو به حضور کاهنان و داورانی که در آن زمان باشند، حاضر شوند. ۱۷ 17
Basi watu wote wawili, mmoja kati ya yule utata upo, anapaswa kusimama mbele ya Yahwe, mbele ya makuhani na waamuzi ambao wanatumika siku hizo.
و داوران، نیکو تفحص نمایند، و اینک اگر شاهد، شاهد کاذب است و بربرادر خود شهادت دروغ داده باشد، ۱۸ 18
Waamuzi wanapaswa kuchunguza kwa uangalifu; ona, kama ushahidi ni ushahidi wa uongo na umeshuhudiwa kwa uongo dhidi ya ndugu yake,
پس به طوری که او خواست با برادر خود عمل نماید با او همان طور رفتار نمایند، تا بدی را از میان خوددور نمایی. ۱۹ 19
basi unapaswa kufanya kwake, kama alivyokusudia kufanya kwa ndugu yake, na utaondoa uovu kutoka miongoni mwenu.
و چون بقیه مردمان بشنوند، خواهند ترسید، و بعد از آن مثل این کار زشت درمیان شما نخواهند کرد. ۲۰ 20
Basi wale wanaobaki watasikia na kuogopa, na kuanzia hapo na kuendelea hawatafanya tena aina ya ouvu miongoni mwao.
و چشم تو ترحم نکند، جان به عوض جان، و چشم به عوض چشم، و دندان به عوض دندان، و دست به عوض دست و پا به عوض پا. ۲۱ 21
Macho yako hapaswi kuona huruma; maisha yatalipa kwa maisha, jicho kwa jicho, jino kwa jino, mkono kwa mkono, mguu kwa mguu.

< تثنیه 19 >