< Mathiu 8 >

1 Jisu kong nawa dat khoom raaha di, miloong ah heh lilih ih roong phankhoom rumta.
Wakati Yesu aliposhuka chini kutoka mlimani, umati mkubwa ulimfuata.
2 Eno engam wasiit heh jiinni thok taha, heh lakuh di kottong ano, Jisu suh baatta, “Chuupha, an ih jen tenthet hang bah, ngah ah saasiit weehang.’’
Tazama, mkoma alikuja na kusujudu mbele yake, akasema, “Bwana, ikiwa uko tayari, unaweza kunifanya niwe safi”.
3 Jisu ih heh lak ah janghaat ano taajota. Eno liita “Ngah ih saasiit et ha.” “Sa uh!” Erah jengta damdam mih ah laan de ruh eta.
Yesu akanyoosha mkono wake na kumgusa, akasema, “Niko tayari. Uwe msafi.” Hapo hapo alitakaswa ukoma wake.
4 Eno Jisu ih heh suh baatta, “Boichaat uh! O suh uh nak baat uh, erah nang ih bah phangla romwah re nah wang uno heh ih toomhuk soksam ho; erah dowa ih ba an ede etu ih warep ih jat ho, eno Moses ih baatta jun ih an khosa lakkot ah koh ih wan uh.”
Yesu akamwambia, “Angalia kwamba usiseme kwa mtu yeyote. Shika njia yako, na jioneshe mwenyewe kwa kuhani na utoe zawadi ambayo Musa aliagiza, kwa ajili ya ushuhuda kwao”
5 Jisu Kapernum hadaang ni wang adi, Roman hate Apit nawa saahaap wasiit chomui ra taha eno heh lasih joh damdi baatta:
Wakati Yesu alipofika Kapernaumu, Jemedari akaja kwake akamuuliza
6 “Chuupha, nga laksuh ah nok ni emoh uh lami moh ih satla.”
akisema, “Bwana, mtumishi wangu amelala nyumbani amepooza na ana maumivu ya kutisha.”
7 “Jisu ih ngaakbaatta, Ngah ih deesiit ih raahang.”
Yesu akamwambia, “Nitakuja na kumponya”.
8 “Apit nawa saahaap rah ih liita, emah tah angka, Chuupha.” “Ngah ih an nga nok nah jen poon theethe tah angkang. An aadoh jeng udoh ju de ruh eah.
Jemedari akajibu na kumwambia, “Bwana, mimi si wathamani hata uje na kuingia ndani ya dari yangu, sema neno tu na mtumishi wangu ataponywa.
9 Ngah, uh, esiit nga saahaap lathong ni tonglang, eno ngah di uh sipaahi loong nga lalih ni eje. Ngah ih, ‘Kah uh!’ et baat ang bah ekaat eah; ‘Wang ho!’ ih poon ang bah uh heh wang eha erah damdoh nga laksuh asuh, ‘Arah re uh!’ ih baat ang bah heh re eah.”
Kwa kuwa mimi pia ni mtu niliye na mamlaka, na ninao askari walio chini yangu. Nikisema kwa huyu “Nenda' na huenda, na kwa mwingine 'Njoo' na yeye huja, na kwa mtumishi wangu, 'Fanya hivi,' na yeye anafanya hivyo”
10 Jisu ih erah chaat ano paatja eta, eno heh dam dowa miloong asuh baat rumta, “Ngah ih baat rumhala, Ngah ih Ijirel hani arah wah tuungmaangla likhiik maani uh tataat tupkang.
Wakati Yesu aliposikia haya, alishangazwa na kuwaambia wale waliokuwa wakimfuata, “Kweli ninawaambia, Sijapata kuona mtu mwenye imani kama huyu katika Israel.
11 Ngah ih amiitiit baat rumhala warep mina saadong saanop nawa thok haano Abraham, Isak nyia Jaakob loong damdoh Rangmong hasong nah sadung thengnah roongtong ah.
Ninawambieni, wengi watakuja kutoka mashariki na magharibi, wataketi katika meza pamoja na Abrahimu, Isaka, na Yakobo, katika ufame wa mbinguni.
12 Enoothong o mina erah Hasong adoh wangjih taat angte loong ah laamang nah dok haatkaat ah, erah doh neng ih neng pha ah phak ano huung rum ah.”
Lakini watoto wa ufalme watatupwa katika giza la nje, ambapo kutakuwa na kilio na kusaga meno.”
13 Eno Jisu ih saahaap asuh baatta, “An nok nah kah uh, eno marah raang ih an tuungmaang laalomlu rah elang eah, eno erah baatta damdam saahaap laksuh ah laan de ruh eta.
Yesu akamwambia Jemadari, “Nenda! Kama ulivyokwisha amini, na itendeke hivyo kwako”. Na mtumishi aliponywa katika saa hiyo.
14 Jisu Pitar nok ni wangta, eno erah ni Pitar hopnuh ah sokwi ih sat arah tup wangta.
Wakati Yesu alipofika kwenye nyumba ya Petro, alimwona mama mkwe wake na Petro amelala akiwa mgonjwa wa homa.
15 Eno Jisu ih heh lak adi taajoh damdam ih heh khoisat ah laan de ruh eta, eno saat ano Jisu suh phak asat roong sokboita.
Yesu akamgusa mkono wake, na homa yake ikamwacha. kisha akaamka akaanza kumhudumia.
16 Rangja ko ih hoon damdam, warep ih chiithih laakhah pan ang arah Jisu jiinni thoksiit rum taha. Eno Jisu ih erah chiithih laakhah loong ah heh jengkhaap nawa ih dokphan rumta eno khoisatte loong ah de ih rumta.
Na ilipofika jioni, watu wakamletea Yesu wengi waliotawaliwa na pepo. Akawafukuza pepo na wale walio wagonjwa akawaponya.
17 Heh ih erah loong ah khowah Isaia ih banbaatta ah amiisak toom ang raaha ih reeta, Khowah Isaia ih amet baatta: “Heh teeteewah ih seng khoisat toonhui ano deesiit tahe.”
Kwa jinsi hii yalitimia yale yaliyo kwisha kunenwa na Isaya nabii, “Yeye mwenyewe alichukua magonjwa yetu na alibeba maradhi yetu”
18 Jisu ih miloong ih kookchap halang ih jat ano, heliphante loong suh juungsitum saangko adoh daan kaat suh baat rumta.
Kisha Yesu alipoliona kusanyiko limemzunguka, alitoa maelekezo ya kwenda upande mwingine wa Bahari ya Galilaya.
19 Hootthe nyootte Jisu jiinni thok ano baatta, “Nyootte,” “Ngah an maanah kah uh erah doh roong ra suh banban ih tonglang.”
Kisha mwandishi akaja kwake na kumwambia, “Mwalimu, nitakufuata popote utakapoenda.”
20 Jisu ih ngaakbaatta, “Maaut loong di neng luung jeela, phih awoh di neng tep jeela, enoothong Mina Sah adi bah heh khowi theng taan uh tajeeka.”
Yesu akamwambia, “Mbweha wana mashimo, na ndege wa angani wana viota, lakini mwana wa Adamu hana sehemu ya kulaza kichwa chake.”
21 Heliphante dowa wasiit ih liita, “Chuupha, Jaakhoh ngah ih sengwah mang ah chaak beng wang ang.”
Mwanafunzi mwingine akamwambia, “Bwana, niruhusu kwanza niende kumzika baba yangu.”
22 “Jisu ih ngaakbaatta, Nga lih thong phanhang etekte ih neng mang ah neng bengbeng et ah.”
Lakini Yesu akamwambia, “Nifuate, na uwaache wafu wazike wafu wao.”
23 Jisu ah khoonkhuung ni duungtong wang kano heliphante loong anep roongtong wang rumta.
Yesu alipoingia kwenye mtumbwi, wanafunzi wake wakamfuata mtumbwini.
24 Eno baphuk ih juungsitum adi pong ah pong ra haano, khoonkhuung ah elekmot nanah angta. Jisu ah erah tokdi emokjup eta.
Tazama, ikainuka dhoruba kuu juu ya bahari, kiasi kwamba mtumbwi ulifunikwa na mawimbi. Lakini Yesu alikuwa amelala.
25 Heliphante loong ah heh reeni karum ano saatsiit rumta. Eno neng ih li rumta, “Pang weehe, Teesu!” “Seng ah etek nanah angli!”
Wanafunzi wakaja kwake na kumwamsha wakisema, “Bwana, tuokoe sisi, tunaelekea kufa!”
26 “Sen erathan mame choolan?” Jisu ih ngaak li rumta. “Sen tuungmaang ah amasah uh laje mameela. Eno heh ah saat ano pong aphaat asuh baatta, erah damdam pong aphaat ah laan semruh eta.
Yesu akawaambia, “kwa nini mnaogopa, ninyi wenye imani ndogo?” Ndipo akaamka na kuukemea upepo na bahari. Kisha kukawa na utulivu mkuu,
27 Eno warep paatja rumta. “Arah tumjaat mih ah?” neng ih liita. “Pong aphaat ih nep heh jeng chaat ha!”
wanaume wakashikwa na mshangao wakasema, “Huyu mtu niwa namna gani, kwamba hata pepo na bahari vinamtii yeye?”
28 Jisu Gadara hadaang juungsitum saang ni thok adi, erah di mih wanyi mangrut nawa wang nyu arah chomuita. Erah wanyi sak adi micho miphaan Juungbaan pan ang nyuuta eno erah lam adi o uh takah naan khoom rumta.
Wakati Yesu alipokuwa amekuja upande mwingine wa nchi ya Magadala, wanaume wawili waliotawaliwa na pepo walikutana naye. Walikuwa wakitokea makaburini na walikuwa wakifanya vurugu sana, kiasi kwamba hakuna msafiri angeweza kupita njia ile.
29 Erah damdam nyi ah riinghuung nyu ano li nyuuta, “Rangte Sah an ih, sek tumjih et chung hali tih? Saapoot rook maangliika doh chamthuk suh tam raahalu?”
Tazama, walipaza sauti na kusema, “Tuna nini cha kufanya kwako, mwana wa Mungu? Umekuja hapa kututesa kabla ya wakati kufika?”
30 Wakjook rumta dowa ih neng ah haloot ni tah angta.
Sasa kundi kubwa la nguruwe lilikuwa likichunga, hapakuwa mbali sana walipokuwa,
31 Erah thoih chiithih laakhah loong ih Jisu lasih ah joh rum ano li rumta, “An ih seng ah edokphan jaatjaat et he bah therah wak loong sak adoh nopkaat thuk weehe.”
pepo waliendelea kulalamika kwa Yesu na kusema. “Ikiwa utatuamuru kutoka, tupeleke kwenye kundi la nguruwe.”
32 “Kah an,’ Jisu ih baatta; eno laathih loong ah wak sak loong adi nop karumta. Eno wak loong ah juungsitum kaang ko ih soon karum ano juung adi chum lupdat karumta.
Yesu akawaambia, “Nendeni!” Pepo wakawatoka na kwenda kwa nguruwe. Na tazama, kundi lote likashuka kutoka mlimani kuteremkia baharini na lote likafia majini.
33 Eno wak riimte loong ah hadaang ko ih soonwang rum ano, emok wanyi sak nawa chiithih laakhah loong dokphanta tiit ah mirep suh baatwan rumta.
Wanaume waliokuwa wakichunga nguruwe walikimbia. Na walipoenda mjini wakaelezea kila kitu, hususani kilichotokea kwa wanaume waliotawaliwa na mapepo.
34 Eno samthung dowa miloong ah Jisu jiinni chomui wang rum ano, neng juungkhuung dowa dokkhoom raangtaan ih heh lasih joh karumta.
Tazama, mji mzima ukaja kukutana na Yesu. Walipomwona, walimsihi aondoke kwenye mkoa wao.

< Mathiu 8 >