< Joda 1 >

1 I Joda, fetrek’oro’ Iesoà Norizañey naho rahalahi’ Iakobe, Ho amo nikanjieñe, nambahan’ Añahare Rae naho tambozoreñe am’ Iesoà Norizañeio.
Mimi Yuda, mtumishi wa Yesu Kristo, ndugu yake Yakobo, nawaandikia ninyi mlioitwa na Mungu na ambao mnaishi katika upendo wa Mungu Baba, na katika ulinzi wa Yesu Kristo.
2 Ampitoaboreñe ama’ areo ty fitretrezañe naho ty fañanintsiñe vaho ty fikokoañe.
Nawatakieni huruma, amani na upendo kwa wingi.
3 Ry roañetse, nilozoheko sokitse i fandrombahañe itraofañey, fe inao ty nataoko: hàmake hañosik’ anahareo himane i fatokisañe natoro amo noro’eo indraike nahahenekey.
Ndugu wapenzi, wakati nimo katika jitihada ya kuwaandikieni juu ya ule wokovu tunaoshiriki sote, nimeona lazima ya kuwaandikieni na kuwahimizeni mwendelee kupigana kwa ajili ya imani ambayo Mungu amewajalia watu wake mara moja tu kwa wakati wote.
4 Amy te ao t’indaty nitsifitse añetake, ie nipatereñe haehae ty fàtse hizò iareo, ie tsy mañaon-Kake, mamotetse ty hasoan’ Añaharen-tika ho an-kaloloañe vaho mitety Iehovà Andrianañahare tsi-roe-tsi-telo naho i Talèntika, Iesoà Norizañey.
Maana watu wasiomcha Mungu wamepata kujiingiza kwa siri miongoni mwetu, watu ambao, kwa faida ya maisha yao mabaya, wanaupotosha ujumbe wa neema ya Mungu wetu na kumkana Yesu Kristo aliye peke yake kiongozi na Bwana wetu. Maandiko Matakatifu yalikwisha bashiri tangu awali hukumu inayowangojea watu hao.
5 Te haniahy anahareo raho, toe hene nifohi’ areo hey, te ie rinomba’ i Talè ondaty an-tane’ Egipte añeo, le nimongore’e o tsi-niatoo,
Nataka kuwakumbusheni mambo fulani ambayo mmekwisha yajua: kumbukeni jinsi Bwana alivyowaokoa watu wa Israeli na kuwatoa katika nchi ya Misri, lakini baadaye aliwaangamiza wale ambao hawakuamini.
6 naho nitambozore’e an-drohy tsy modo am-pimoromoroñañe ao ampara’ i zaka amy andro jabajabaiy o anjely tsy nitañe ty nañorizañe iareo naho nifary i toe’ iareo do’ey; (aïdios g126)
Na, malaika ambao hawakuridhika na cheo chao, wakayaacha makao yao ya asili, Mungu amewafunga gizani kwa minyororo ya milele wahukumiwe Siku ile kuu. (aïdios g126)
7 hambañe amy Sodoma naho i Gomora naho o rova nañohokeo, ie nivalijere an-karapiloañe nipay nofotse faly, vaho nanoeñe fandrazañañe, nafàtse ho lovilovieñe añ’afo ao kitro katroke. (aiōnios g166)
Kumbukeni pia Sodoma na Gomora, na miji ya kandokando yake; wenyeji wake walifanya kama wale malaika; walifanya uzinzi na mambo yaliyo kinyume cha maumbile, wakapewa hukumu ya moto wa milele, iwe onyo kwa watu wote. (aiōnios g166)
8 Toe manahake izay iretiañe, ie mame­taveta sandriñe amo anofisa’ iareoo, mañarinje mpanandily, vaho mañinje o amam-bolonahetseo.
Hivyo ndivyo pia walivyo watu hawa. ndoto zao huwaongoza katika kuichafua miili yao wenyewe, kuyadharau mamlaka ya Mungu na kuvitukana viumbe vitukufu vya huko juu.
9 Fa ndra i Mikaela, talèn’ anjely, ie nifañotak’ amy mpañìnjey t’ie nifandietse amy fañòva’ i Mosèy, tsy nahavany hanisý aze añ’ endake, fa nanao ty hoe: Hitrevoha’ t‘i Talè!
Hata Mikaeli, malaika mkuu, hakufanya hivyo. Katika ule ubishi kati yake na Ibilisi waliobishana juu ya mwili wa Mose, Mikaeli hakuthubutu kumhukumu Ibilisi kwa matusi; ila alisema: “Bwana mwenyewe na akukaripie.”
10 Fe mañìnje o raha tsy apota’e ondaty retiañe, naho o raha nifohi’e boak’ an-trokeo, hoe biby tsy mi­tsakore, zay ty mahamomoke iareo.
Lakini watu hawa hutukana chochote wasichokielewa; mambo yaleyale wanayoyajua kwa silika kama vile wanyama wanayoyajua ndiyo yanayowaangamiza.
11 Hankàñe am’iareo! Ie nitsile an-dala’ i Kaina naho nifatrifatry nipay tambe ami’ty fandilara’ i Balama vaho miro­tsak’ ami’ty fiola’ i Kòra.
Ole wao! Watu hao wamefuata mwenendo uleule wa Kaini. Kwa ajili ya fedha, wamejiingiza katika mkosi uleule wa Baalamu. Wameasi kama Kora alivyoasi na wameangamizwa kama yeye alivyoangamizwa.
12 Ie vato-haran-driake mietak’ amo sabadidam-pikokoa’ areoo mitrao-pikama tsy aman-kembañe; tea haneñe avao; rahoñe tsy aman-drano, ahofahofan-tioke; hatae an-tsaramanty tsy mamoa, indroe mate, nombotañe reke-bahatse;
Kwa makelele yao yasiyo na adabu, watu hao ni kama madoa machafu katika mikutano yenu ya karamu ya Bwana. Hujipendelea wao wenyewe tu, na wako kama mawingu yanayopeperushwa huko na huko na upepo bila ya kuleta mvua. Wao ni kama miti isiyozaa matunda hata wakati wa majira yake, wamekufa kabisa.
13 onjan-driake mivalitaboake mandoa voren-kameñarañe; vasiañe mirererere nañajàñe ieñe mimoromoroñe zafezanake. (aiōn g165)
Watu hao ni kama mawimbi makali ya bahari, na matendo yao ya aibu yanaonekana dhahiri kama vile mapovu ya mawimbi. Wao ni kama nyota zinazotangatanga, ambao Mungu amewawekea mahali pao milele katika giza kuu. (aiōn g165)
14 Ie ondaty nitokie’ i Enoke, faha-fito’ i Dameo, ami’ty hoe: Heheke, mitotsak’ etoa t’i Talè aman’ aleale’ o noro’eo,
Henoki, ambaye ni babu wa saba tangu Adamu, alibashiri hivi juu ya watu hawa: “Sikilizeni! Bwana atakuja pamoja na maelfu ya malaika wake watakatifu
15 hametsake zaka amy ze he’e, hañameloke ze tsi-aman-Kàke ty amo sata tsi-aman-Kàke nitoloñe’ iareoo an-kaloloañeo, naho o tambaimbaiñe nanoe’ i mpanan-kakeo tsi-aman-Kàke rezay ama’eo.
kutoa hukumu juu ya binadamu wote, kuwahukumu wote kwa ajili ya matendo yao yote maovu waliyotenda na kwa ajili ya maneno yote mabaya ambayo watu waovu walimkashifu nayo.”
16 Mpiñeoñeoñe iereo, mpaniñetiñe; mañorike o drao tsi-voka’eo; mivolam-pirengevohañe o vava’eo, mitsiriry laharañe, hañaramamoa’e.
Watu hawa wananung'unika daima na kuwalaumu watu wengine. Hufuata tamaa zao mbaya, hujigamba na kuwasifu watu wengine mno kusudi wafaulu katika mipango yao.
17 Ie amy zao, ry rañetse, tiahio i saon­tsy nente’ o Firàhe’ i Talèntika Iesoà Norizañeio taoloy;
Lakini ninyi wapenzi wangu, kumbukeni yale mliyoambiwa hapo awali ni mitume wa Bwana wetu Yesu Kristo.
18 ie nitaroñe ty hoe: An-tsà honka’e, le hitoandratoandra an-kadrao tsy aman-Kàke o mpanivetìveo.
Waliwaambieni: “Siku za mwisho zitakapofika, watatokea watu watakaowadhihaki ninyi, watu wafuatao tamaa zao mbaya.”
19 Ie mpampiriaria—mpaño­rike ty draon-troke, tsy amañ’Arofo.
Hao ndio watu wanaosababisha mafarakano, watu wanaotawaliwa na tamaa zao za kidunia, watu wasio na Roho wa Mungu.
20 F’inahareo, ry rañetse, ie mitomambao am-patokisañe miavake do’e naho mitalaho añamy Arofo-Masiñey,
Lakini ninyi, wapenzi wangu, endeleeni kujijenga kikamilifu katika imani yenu takatifu. Salini kwa nguvu ya Roho Mtakatifu,
21 tambozoro i fikokoan’ Añaharey, itamao ty fiferenaiña’ i Talèntika Iesoà Norizañey minday haveloñe nainai’ey. (aiōnios g166)
na kubaki katika upendo wa Mungu, mkiwa mnamngojea Bwana wetu Yesu Kristo awapeni uzima wa milele kwa huruma yake. (aiōnios g166)
22 Rambeso an-tretrè o ila’e mihañahañao.
Muwe na huruma kwa watu walio na mashaka;
23 Rombaho ty ila’e, isintono boak’ añ’ afo ao, ferenaiño an-kahembañañe ka o ila’eo, le hejeo ndra ty sikiñe nileore’ o nofotseo.
waokoeni kwa kuwanyakua kutoka motoni; na kwa wengine muwe na huruma pamoja na hofu, lakini chukieni hata mavazi yao ambayo yamechafuliwa na tamaa zao mbaya.
24 Aa le ho amy mahatañ’ anahareo tsy hitsikapy naho mahafitroatse anahareo ho tsy aman-kandra, an-kafaleam-bey mb’ añatrefan’ enge’e mb’eo,
Kwake yeye awezaye kuwalinda msije mkaanguka, na kuwaleta ninyi bila hatia mpaka mbele ya utukufu wake,
25 Ho aman’ Añahare tokañe mahihitse, Mpandrombak’ antikañe, ty engeñe naho volonahetse, fifeheañe vaho haozarañe, taolo’ ze sa, henaneo vaho nainai’e donia. Amena. (aiōn g165)
kwake yeye aliye peke yake Mungu, Mkombozi wetu, uwe utukufu, ukuu, nguvu na mamlaka kwa njia ya Kristo Bwana wetu, tangu zama zote, sasa na hata milele! Amina. (aiōn g165)

< Joda 1 >