< Psalmi 18 >

1 Dziedātāju vadonim, Dāvida, Tā Kunga kalpa, dziesma. Šīs dziesmas vārdus viņš runājis uz To Kungu, kad Tas Kungs viņu bija izglābis no visu ienaidnieku rokas un no Saula rokas; tad viņš sacīja: No sirds dziļuma es Tevi mīlēju, Kungs, mans stiprums.
Nakupenda, Yahwe, nguvu yangu.
2 Tas Kungs ir mans akmens kalns, mana pils un mans glābējs, mans stiprais Dievs, mans patvērums, uz ko es paļaujos, manas priekšturamās bruņas un mans pestīšanas rags un mans augstais palīgs.
Yahwe ni mwamba wangu, ngome yangu, yeye ambaye aniwekae kweye usalama; yeye ni Mungu wangu, mwamba wangu; ninapata kimbilio kwake. Yeye ni ngao yangu, pembe ya wokovu wangu, na ngome yangu.
3 Es piesaukšu To Kungu, kas teicams, tad es tapšu atpestīts no saviem ienaidniekiem.
Nitamuita Yahwe kwa sababu anastahili kusifiwa, na nitaokolewa kutoka kwa adui zangu.
4 Nāves saites ap mani tinās, un Beliala(iznīcības) upes mani izbiedēja.
Kamba za mauti zilinizunguka, na mafuriko yakimbiayo yalinielemea.
5 Elles saites mani apņēma, un nāves valgi mani pārvarēja. (Sheol h7585)
Kamba za kuzimu zilinizunguka; mitego ya mauti ilininasa. (Sheol h7585)
6 Savās bēdās es piesaucu To Kungu un kliedzu uz savu Dievu, tad Viņš klausīja manu balsi no Sava nama, un mana brēkšana Viņa priekšā nāca Viņa ausīs.
dhiki yangu nilimuita Yahwe; Niliita msaada kwa Mungu. Naye alisikia sauti yangu kutoka hekaluni mwake; kuita kwangu msaada kulienda mpaka uweponi mwake; na kuingia masikioni pake.
7 Zeme tapa kustināta un drebēja, un kalnu pamati trīcēja un kustējās, kad Viņš apskaitās.
Kisha nchi ikatikisika na kutetemeka; misingi ya milima pia ilitetemeka na kutikiswa kwa sababu Mungu alikuwa amekasirika.
8 Dūmi uzkāpa no Viņa nāsīm, un rijoša uguns no Viņa mutes, zibeņi no Viņa iedegās.
Moshi ulifuka kutoka kwenye pua zake, na moto mkali ulitokea mdomoni mwake. Makaa yaliwashwa kwa moto huo.
9 Viņš nolaida debesis un nokāpa, un tumsa bija apakš Viņa kājām.
Yeye alizifunua mbingu na alishuka chini, na giza nene lilikuwa chini ya miguu yake.
10 Un Viņš brauca uz ķeruba un skrēja, Viņš skrēja ātri uz vēja spārniem.
Alipanda kwenye kerubi na akaruka; alinyiririka kwenye mabawa ya upepo.
11 Viņš lika tumsību Sev par apsegu, Viņa dzīvoklis ap Viņu bija ūdeņu tumsība un biezi padebeši.
Yahwe alilifanya giza kuwa hema likimzunguka yeye, wingu la mvua zito katika mbingu.
12 No spožuma Viņa priekšā šķēlās Viņa padebeši ar krusu un degošiem zibeņiem.
Mawe ya barafu na makaa ya moto yalianguka kutoka katika mwangaza kabla yake.
13 Tas Kungs lika pērkoniem rībēt no debesīm, un tas Visuaugstais pacēla Savu balsi, krusu un degošus zibeņus.
Yahwe aliongea katika mbingu! Sauti ya aliye juu ilisikika.
14 Un Viņš meta Savas bultas un tos izklīdināja, un daudz zibeņus un tos iztrūcināja.
Yeye aliifyatua mishale yake na kuwatawanya adui zake; na radi nyingi zenye mwanga alizitawanya katika maeneo tofauti tofauti.
15 Un ūdeņu dziļumi rādījās un zemes pamati tapa atklāti no Tavas bāršanās, - ak Kungs, no Tavu nāšu dvašas pūšanas.
Ndipo mifereji ya maji ilitokea; misingi ya dunia ikadhihirishwa kwa mlio wa pigo lako, Yahwe kwa sauti ya pumzi ya pua zako.
16 Viņš izstiepa roku no augstības un ņēma mani, Viņš mani izvilka no lieliem ūdeņiem.
Yeye alishuka chini kutokea juu; akanishikilia mimi! Akanivuta nje ya maji yafurikayo.
17 Viņš mani atpestīja no mana stiprā ienaidnieka un no maniem nīdētājiem, jo tie bija jo vareni ne kā es.
Aliniokoa kutoka kwa maadui zangu wenye nguvu, kutoka kwa wale ambao walinichukia mimi, kwa kuwa walikuwa na nguvu sana kuliko mimi.
18 Tie cēlās pret mani manā bēdu laikā; bet Tas Kungs bija mans patvērums.
Wao walikuja kinyume na mimi katika siku ile ya dhiki yangu lakini Mungu alikuwa msaada wangu!
19 Un Viņš mani izveda klajumā, Viņš mani izrāva, jo Viņam bija labs prāts uz mani.
Yeye aliniweka huru katika eneo pana la wazi; yeye aliniokoa kwa sababu alipenezwa nami.
20 Tas Kungs man atmaksā pēc manas taisnības, pēc manu roku šķīstības Viņš man atdod.
Yahwe amenitunuku mimi kwa sababu ya haki yangu; yeye amenirejesha mimi kwa sababu mikono yangu ilikuwa misafi.
21 Jo es esmu sargājis Tā Kunga ceļus, un neesmu atkāpies no sava Dieva.
Kwa kuwa nimezitunza njia za Yahwe na sijafanya uovu wa kumgeuka Mungu wangu.
22 Jo visas Viņa tiesas ir manā priekšā, un Viņa likumus es nelieku nost no sevis.
Kwa kuwa amri zake zote za haki zimekuwa mbele yangu; kama asemavyo, sijaenda kinyume nazo.
23 Bet es esmu bezvainīgs Viņa priekšā un sargos no grēkiem.
Pia nimekuwa sina hatia mbele zake, na nimejiweka mwenyewe mbali na dhambi.
24 Un Tas Kungs man atdos pēc manas taisnības, pēc manu roku šķīstības priekš Viņa acīm.
Hivyo Yahwe amenirejesha kwa sababu ya haki yangu, na kwa sababu mikono yangu ilikuwa safi mbele ya macho yake.
25 Pie tiem svētiem Tu rādies svēts un pie tiem sirdsskaidriem Tu rādies skaidrs.
Kwa yeyote aliye mwaminifu, jionyeshe wenyewe kuwa mwaminifu; kwa mtu asiye na lawama, jionyeshe mwenyewe kuwa usiye na lawama.
26 Pie tiem šķīstiem Tu rādies šķīsts, un pie tiem pārvērstiem (un pretdabiskiem) Tu pārvērties (un maldini).
Kwa yeyote aliye msafi, jionyeshe mwenyewe safi; bali ni mjanja kwa yeyote aliye geuzwa.
27 Jo bēdīgus ļaudis Tu atpestī un lepnas acis Tu pazemo.
Kwa kuwa wewe huwaokoa watu walio taabishwa, lakini wewe huwashusha chini wale wenye majivuno, yaani macho yaliyo jinua!
28 Jo Tu apgaismo manu spīdekli; Tas Kungs, mans Dievs, dara gaišu manu tumsību.
Kwa kuwa wewe huipa mwanga taa yangu; Yahwe Mungu wangu hutia mwanga giza langu.
29 Jo ar Tevi es varu sadauzīt kara spēku, un ar savu Dievu es varu lēkt pār mūriem.
Kwa kuwa kwa kupitia wewe ninaweza kuruka juu ya kiwazo kilichowekwa; kupitia Mungu ninaweza kuruka juu ya ukuta.
30 Tā stiprā Dieva ceļš ir bezvainīgs, Tā Kunga valoda ir šķīsta, Viņš ir par priekšturamām bruņām visiem, kas uz Viņu paļaujas.
Kama kwa Mungu: njia yake ni kamilifu. Neno la Yahwe ni safi! Yeye ni ngao kwa yeyote anaye kimbilia katika yeye.
31 Jo kur ir kāds Dievs kā vien Tas Kungs? Un kur ir kāds patvērums kā vien mūsu Dievs?
Kwa kuwa nani ni Mungu ispokuwa Yahwe? Nani ndiye mwamba ispokuwa Mungu wetu?
32 Dievs, tas mani apjož ar spēku un dara manus ceļus bezvainīgus.
Ni Mungu anitiaye nguvu ndani yangu kama vile mkanda, ambaye humweka mtu mwenye lawama katika njia yake.
33 Viņš man kājas dara kā stirnām, un mani uzceļ manā augstā vietā.
Yeye hunifanya miguu yangu kuwa myepesi kama mbawala na kuniweka mahali pa juu!
34 Viņš manu roku māca karot, tā ka mans elkonis uzvelk vara stopus.
Yeye hufunza viganja vyangu kwa ajili ya vita na mikono yangu kupiga upinde wa shaba.
35 Un Tu man dod Savas pestīšanas priekšturamās bruņas, un Tava labā roka mani satur, un Tava laipnība mani paaugstina.
Wewe umenipa mimi ngao ya wokovu. Mkono wako wa kuume umenisaidia, na neema yako imenifanya kuwa mkubwa.
36 Maniem soļiem Tu esi darījis platu ceļu apakš manis, ka mani krimšļi nav slīdējuši.
Wewe umetengeneza nafasi pana kwa ajili ya miguu yangu ili miguu yangu isiteleze.
37 Es dzīšos pakaļ saviem ienaidniekiem un tos panākšu, un negriezīšos atpakaļ, kamēr tos būšu izdeldējis.
Ninawashawishi adui zangu na kuwakamata; nami sikurudi nyuma mpaka walipo haribiwa.
38 Es tos sadauzīšu, ka tie nevarēs celties, tiem jākrīt apakš manām kājām.
Niliwashambulia hata hawakuweza kuamka; nao wameangukia chini ya miguu yangu.
39 Jo Tu mani apjozīsi ar spēku uz karu, Tu nospiedīsi apakš manis, kas pret mani ceļas.
Kwa kuwa unanitia nguvu kama mshipi kwa ajili ya vita; wewe unawaweka chini yangu wale ambao wanainuka kinyume na mimi.
40 Tu maniem ienaidniekiem liksi bēgt manā priekšā, un savus nīdētājus es iznīcināšu.
Wewe ulinipa visogo vya maadui zangu; niliwaagamiza wale walio nichukia.
41 Tie brēks, bet glābēja nav, uz To Kungu, bet Viņš tiem neatbild.
Wao waliita msaada lakini hakuna aliye wasaidia; walimuita Yahwe, lakini hakuwaitikia.
42 Es tos sagrūdīšu kā pīšļus vēja priekšā, un tos izārdīšu kā dubļus uz ielām.
Niliwapiga wao katika vipande vidogo vidogo kama vile vumbi mbele ya upepo; niliwatupa nje kama udongo mtaani.
43 Tu mani izglābsi no ļaužu ķildām, Tu mani iecelsi tautām par galvu; ļaudis, ko es nepazinu, man kalpos.
Wewe uliniokoa mimi kutoka katika migogoro ya watu. wewe umenifanya kichwa juu ya mataifa. Watu ambao sikuwahi kuwafahamu huntumikia.
44 Tie man klausīs ar paklausīgām ausīm, svešnieku bērni manā priekšā mīlīgi rādīsies.
Pindi tu waliposikia kuhusu mimi, wao walinitii; wageni walilazimishwa kunisujudu.
45 Svešinieku bērni nonīks un drebēdami izies no savām pilīm.
Wageni walitoka kwenye ngome yao wakitetemeka.
46 Tas Kungs ir dzīvs, un slavēts lai ir mans patvērums, un augsti slavēts lai ir Dievs, mans Pestītājs.
Yahwe anaishi; mwamba wangu usifiwe. Ainuliwe Mungu wa wokovu wangu.
47 Tas stiprais Dievs, kas man dod atriebšanu, un tautas nomet apakš manis;
Yeye ni Mungu ambaye hutelekeza visasi kwa ajili yangu, ambaye huwatiisha mataifa chini yangu.
48 Kas mani izrauj no maniem ienaidniekiem; Tu mani paaugstini pār tiem, kas pret mani ceļas, Tu mani izglāb no varas darītājiem.
Nimewekwa huru kutoka kwa adui zangu! wewe uliniinua juu ya wale walioinuka kunyume na mimi! Wewe uliniokoa kutoka kwa watu wenye vurugu.
49 Tāpēc, ak Kungs, es Tevi gribu slavēt starp tautām un dziedāt Tavam vārdam,
Kwa hiyo nitakushukuru wewe, Yahwe, kati ya mataifa; Nitaliimbia sifa jina lako!
50 Jo Tu glābi Savu ķēniņu ar lielu glābšanu, un parādi žēlastību Savam svaidītam, Dāvidam un viņa dzimumam mūžīgi.
Mungu hutoa ushindi mkuu kwa mfalme wake, na yeye huonyesha uaminifu wa agano lake kwa mpakwa mafuta wake, kwa Daudi na ukoo wake milele.

< Psalmi 18 >