< Jūdas Vēstule 1 >

1 Jūda, Jēzus Kristus kalps un Jēkaba brālis, tiem aicinātiem, kas iekš Dieva Tā Tēva svētīti un iekš Jēzus Kristus pasargāti.
Mimi Yuda, mtumishi wa Yesu Kristo, ndugu yake Yakobo, nawaandikia ninyi mlioitwa na Mungu na ambao mnaishi katika upendo wa Mungu Baba, na katika ulinzi wa Yesu Kristo.
2 Žēlastība lai ir jums un miers un mīlestība papilnam.
Nawatakieni huruma, amani na upendo kwa wingi.
3 Mīļie, no visas sirds rūpējoties jums rakstīt par to pestīšanu, kas mums visiem ir kopā, man vajadzēja jums rakstīt un lūgt, lai jūs cīnāties par to ticību, kas vienreiz tiem svētiem ir dota.
Ndugu wapenzi, wakati nimo katika jitihada ya kuwaandikieni juu ya ule wokovu tunaoshiriki sote, nimeona lazima ya kuwaandikieni na kuwahimizeni mwendelee kupigana kwa ajili ya imani ambayo Mungu amewajalia watu wake mara moja tu kwa wakati wote.
4 Jo kādi cilvēki ielavījušies, kas rakstos sen papriekš nozīmēti uz šo sodību, bezdievīgi, kas mūsu Dieva žēlastību pārvērš bezkaunībā un aizliedz to vienīgo valdītāju Dievu un mūsu Kungu Jēzu Kristu.
Maana watu wasiomcha Mungu wamepata kujiingiza kwa siri miongoni mwetu, watu ambao, kwa faida ya maisha yao mabaya, wanaupotosha ujumbe wa neema ya Mungu wetu na kumkana Yesu Kristo aliye peke yake kiongozi na Bwana wetu. Maandiko Matakatifu yalikwisha bashiri tangu awali hukumu inayowangojea watu hao.
5 Bet es jums, kas visu jau zināt, gribu atgādināt, ka Tas Kungs tos ļaudis no Ēģiptes zemes vienreiz pestījis, pēc tos neticīgos ir nomaitājis;
Nataka kuwakumbusheni mambo fulani ambayo mmekwisha yajua: kumbukeni jinsi Bwana alivyowaokoa watu wa Israeli na kuwatoa katika nchi ya Misri, lakini baadaye aliwaangamiza wale ambao hawakuamini.
6 Un tos eņģeļus, kas savu augsto kārtu nav sargājuši, bet savu dzīvokli atstājuši, Viņš ar mūžīgām saitēm ir paturējis apakš tumsības uz tās lielās dienas sodu. (aïdios g126)
Na, malaika ambao hawakuridhika na cheo chao, wakayaacha makao yao ya asili, Mungu amewafunga gizani kwa minyororo ya milele wahukumiwe Siku ile kuu. (aïdios g126)
7 Tā kā Sodoma un Gomora un tās apkārtējās pilsētas, kas tāpat kā viņas maucībai bija padevušās un citai miesai gājušas pakaļ, ir noliktas par mūžīgu uguns priekšzīmi, sodību ciezdamas. (aiōnios g166)
Kumbukeni pia Sodoma na Gomora, na miji ya kandokando yake; wenyeji wake walifanya kama wale malaika; walifanya uzinzi na mambo yaliyo kinyume cha maumbile, wakapewa hukumu ya moto wa milele, iwe onyo kwa watu wote. (aiōnios g166)
8 Tāpat arī šie sapņotāji apgāna miesu un nicina virsības un zaimo augstības.
Hivyo ndivyo pia walivyo watu hawa. ndoto zao huwaongoza katika kuichafua miili yao wenyewe, kuyadharau mamlaka ya Mungu na kuvitukana viumbe vitukufu vya huko juu.
9 Bet Miķelis, tas lielais eņģelis, kad tas cīnījās ar velnu, un tam pretī runāja par Mozus miesām, neuzdrīkstējās zaimošanas tiesu pret to spriest, bet sacīja: lai Tas Kungs tevi soda.
Hata Mikaeli, malaika mkuu, hakufanya hivyo. Katika ule ubishi kati yake na Ibilisi waliobishana juu ya mwili wa Mose, Mikaeli hakuthubutu kumhukumu Ibilisi kwa matusi; ila alisema: “Bwana mwenyewe na akukaripie.”
10 Bet šie zaimo, ko tie neprot; bet ko tie pēc dabas prot, tā kā bezprātīgie zvēri, iekš tā tie iet postā.
Lakini watu hawa hutukana chochote wasichokielewa; mambo yaleyale wanayoyajua kwa silika kama vile wanyama wanayoyajua ndiyo yanayowaangamiza.
11 Ak vai, tiem, jo tie ir gājuši uz Kaina ceļu, un peļņas dēļ iegāzušies Bileāma alošanā un ir nomaitāti Koraha pretī runāšanā.
Ole wao! Watu hao wamefuata mwenendo uleule wa Kaini. Kwa ajili ya fedha, wamejiingiza katika mkosi uleule wa Baalamu. Wameasi kama Kora alivyoasi na wameangamizwa kama yeye alivyoangamizwa.
12 Šie ir tie gānekļi pie jūsu mīlestības mielastiem, kopā plītēdami un bez bijāšanas barodamies, padebeši bez ūdens, vēju mētāti, kaili, neauglīgi, divkārt nomiruši, izsakņoti koki,
Kwa makelele yao yasiyo na adabu, watu hao ni kama madoa machafu katika mikutano yenu ya karamu ya Bwana. Hujipendelea wao wenyewe tu, na wako kama mawingu yanayopeperushwa huko na huko na upepo bila ya kuleta mvua. Wao ni kama miti isiyozaa matunda hata wakati wa majira yake, wamekufa kabisa.
13 Bargi jūras viļņi, kas savu pašu kaunu putās izgāž; nomaldījušās zvaigznes, kam tā visdziļākā tumsība top uzglabāta mūžīgi. (aiōn g165)
Watu hao ni kama mawimbi makali ya bahari, na matendo yao ya aibu yanaonekana dhahiri kama vile mapovu ya mawimbi. Wao ni kama nyota zinazotangatanga, ambao Mungu amewawekea mahali pao milele katika giza kuu. (aiōn g165)
14 Bet par šiem arīdzan Enohs, tas septītais no Ādama, sludinājis sacīdams: redzi, Tas Kungs nāks ar Saviem daudz tūkstošiem svētiem,
Henoki, ambaye ni babu wa saba tangu Adamu, alibashiri hivi juu ya watu hawa: “Sikilizeni! Bwana atakuja pamoja na maelfu ya malaika wake watakatifu
15 Tiesu turēt par visiem, visus bezdievīgos starp tiem pārmācīt par visiem viņu bezdievīgiem darbiem, ko tie bezdievīgie darījuši, un par visiem negantiem vārdiem, ko tie bezdievīgie grēcinieki pret Viņu runājuši.
kutoa hukumu juu ya binadamu wote, kuwahukumu wote kwa ajili ya matendo yao yote maovu waliyotenda na kwa ajili ya maneno yote mabaya ambayo watu waovu walimkashifu nayo.”
16 Šie ir kurnētāji un skundētāji, staigādami pēc savām kārībām un viņu mute runā lepnus vārdus, un tie apbrīno cilvēku augstību pelņas dēļ.
Watu hawa wananung'unika daima na kuwalaumu watu wengine. Hufuata tamaa zao mbaya, hujigamba na kuwasifu watu wengine mno kusudi wafaulu katika mipango yao.
17 Bet jūs, mīļie, pieminiet tos vārdus, kas jums ir papriekš sacīti no mūsu Kunga Jēzus Kristus apustuļiem.
Lakini ninyi wapenzi wangu, kumbukeni yale mliyoambiwa hapo awali ni mitume wa Bwana wetu Yesu Kristo.
18 Ka tie jums ir sacījuši, ka pēdējos laikos būs smējēji, pēc savām bezdievīgām kārībām staigādami.
Waliwaambieni: “Siku za mwisho zitakapofika, watatokea watu watakaowadhihaki ninyi, watu wafuatao tamaa zao mbaya.”
19 Šie ir tie, kas ceļ šķiras, miesīgi cilvēki, kam gara nav.
Hao ndio watu wanaosababisha mafarakano, watu wanaotawaliwa na tamaa zao za kidunia, watu wasio na Roho wa Mungu.
20 Bet jūs, mīļie, uztaisāties savā vissvētākā ticībā, iekš Tā Svētā Gara lūgdamies.
Lakini ninyi, wapenzi wangu, endeleeni kujijenga kikamilifu katika imani yenu takatifu. Salini kwa nguvu ya Roho Mtakatifu,
21 Turaties iekš Dieva mīlestības, gaidīdami mūsu Kunga Jēzus Kristus apžēlošanu uz mūžīgu dzīvošanu. (aiōnios g166)
na kubaki katika upendo wa Mungu, mkiwa mnamngojea Bwana wetu Yesu Kristo awapeni uzima wa milele kwa huruma yake. (aiōnios g166)
22 Un citus pārmāciet, kas ir šaubīgi,
Muwe na huruma kwa watu walio na mashaka;
23 Un citus izglābiet, tos no uguns izraudami, un par citiem apžēlojaties ar bijāšanu, ienīdēdami arīdzan tās no miesas apgānītās drēbes.
waokoeni kwa kuwanyakua kutoka motoni; na kwa wengine muwe na huruma pamoja na hofu, lakini chukieni hata mavazi yao ambayo yamechafuliwa na tamaa zao mbaya.
24 Bet Tam, kas ir spēcīgs jūs pasargāt, ka neklūpat, un Savas godības priekšā bezvainīgus stādīt ar līksmību,
Kwake yeye awezaye kuwalinda msije mkaanguka, na kuwaleta ninyi bila hatia mpaka mbele ya utukufu wake,
25 Tam vienam gudram Dievam, mūsu Pestītājam, lai ir gods un augsta slava, spēks un vara, tagad un mūžīgi mūžam! Āmen. (aiōn g165)
kwake yeye aliye peke yake Mungu, Mkombozi wetu, uwe utukufu, ukuu, nguvu na mamlaka kwa njia ya Kristo Bwana wetu, tangu zama zote, sasa na hata milele! Amina. (aiōn g165)

< Jūdas Vēstule 1 >