< Dagiti Salmo 18 >

1 Ay-ayatenka, O Yahweh, a pagtaudan iti pigsak.
Nakupenda, Yahwe, nguvu yangu.
2 Ni Yahweh ti dakkel a batok, ti sarikedkedko, ti mangiyeg kaniak iti pannakasalaknib; isuna ti Diosko, ti dakkel a batok; Agkamangak kenkuana. Isuna ti kalasagko, ti sara ti pannakaisalakanko, ken ti natibker a pagkamangak.
Yahwe ni mwamba wangu, ngome yangu, yeye ambaye aniwekae kweye usalama; yeye ni Mungu wangu, mwamba wangu; ninapata kimbilio kwake. Yeye ni ngao yangu, pembe ya wokovu wangu, na ngome yangu.
3 Umawagak kenni Yahweh a maikari a mapadayawan, ket maisalakanakto manipud kadagiti kabusorko.
Nitamuita Yahwe kwa sababu anastahili kusifiwa, na nitaokolewa kutoka kwa adui zangu.
4 Pinulipulannak dagiti tali ni patay, ket linipusnak ti naapres a danum ti pannakadadael.
Kamba za mauti zilinizunguka, na mafuriko yakimbiayo yalinielemea.
5 Naipulipul kaniak dagiti tali ti sheol; napalab-oganak iti silo ni patay. (Sheol h7585)
Kamba za kuzimu zilinizunguka; mitego ya mauti ilininasa. (Sheol h7585)
6 Iti pannakariribukko, immawagak kenni Yahweh; nagpatulongak iti Diosko. Nangngegna ti timekko manipud iti templona; nakadanon iti presensiana ti panagpatulongko; dimmanon daytoy kadagiti lapayagna.
dhiki yangu nilimuita Yahwe; Niliita msaada kwa Mungu. Naye alisikia sauti yangu kutoka hekaluni mwake; kuita kwangu msaada kulienda mpaka uweponi mwake; na kuingia masikioni pake.
7 Kalpasanna, nagun-gon ken nadayeg ti daga; nadayeg pay ken nagungon dagiti pundasion dagiti banbantay gapu ta nakaunget ti Dios.
Kisha nchi ikatikisika na kutetemeka; misingi ya milima pia ilitetemeka na kutikiswa kwa sababu Mungu alikuwa amekasirika.
8 Rimmuar ti asuk manipud iti agongna, ken gumilgil-ayab nga apuy ti rimuar iti ngiwatna. Dimmarang dagiti beggang gapu iti daytoy.
Moshi ulifuka kutoka kwenye pua zake, na moto mkali ulitokea mdomoni mwake. Makaa yaliwashwa kwa moto huo.
9 Linukatanna dagiti langit ket bimmaba, ken adda napuskol a sipnget iti sakaananna.
Yeye alizifunua mbingu na alishuka chini, na giza nene lilikuwa chini ya miguu yake.
10 Nakasakay isuna iti maysa a kerubim ket timmayab; nagpangato isuna kadagiti payyak ti angin.
Alipanda kwenye kerubi na akaruka; alinyiririka kwenye mabawa ya upepo.
11 Pinagbalinna ti sipnget nga abbongna, napuskol nga ulep a napno iti danum iti tangatang.
Yahwe alilifanya giza kuwa hema likimzunguka yeye, wingu la mvua zito katika mbingu.
12 Manipud iti kimat iti sangoananna, nagtinnag dagiti uraro ken beggang.
Mawe ya barafu na makaa ya moto yalianguka kutoka katika mwangaza kabla yake.
13 Naggurruod ni Yahweh kadagiti langlangit! Nagpukkaw ti Kangangatoan ket nangibaon kadagiti uraro ken kimat. Imbiatna dagiti panana ket nawara dagiti kabusorna;
Yahwe aliongea katika mbingu! Sauti ya aliye juu ilisikika.
14 adu a kimat ti nangwarawara kadakuada.
Yeye aliifyatua mishale yake na kuwatawanya adui zake; na radi nyingi zenye mwanga alizitawanya katika maeneo tofauti tofauti.
15 Kalpasanna, nagparang dagiti pagayusan ti danum; nawaknitan dagiti pundasion ti lubong iti pukkawmo a makigubat, Yahweh— iti napigsa nga anges dagiti agongmo.
Ndipo mifereji ya maji ilitokea; misingi ya dunia ikadhihirishwa kwa mlio wa pigo lako, Yahwe kwa sauti ya pumzi ya pua zako.
16 Inggaw-atna manipud ngato; iniggamannak! Ginuyodnak manipud iti naapres a danum.
Yeye alishuka chini kutokea juu; akanishikilia mimi! Akanivuta nje ya maji yafurikayo.
17 Inispalnak manipud iti napigsa a kabusorko, manipud kadagiti gumurgura kaniak, ta napigsada unay para kaniak.
Aliniokoa kutoka kwa maadui zangu wenye nguvu, kutoka kwa wale ambao walinichukia mimi, kwa kuwa walikuwa na nguvu sana kuliko mimi.
18 Immayda a maibusor kaniak iti aldaw ti pannakariribukko ngem ni Yahweh ti saranayko!
Wao walikuja kinyume na mimi katika siku ile ya dhiki yangu lakini Mungu alikuwa msaada wangu!
19 Winayawayaannak iti nalawa a nawaya a lugar; insalakannak gapu ta naay-ayo isuna kaniak.
Yeye aliniweka huru katika eneo pana la wazi; yeye aliniokoa kwa sababu alipenezwa nami.
20 Ginun-gonaannak ni Yahweh gapu iti kinalintegko; pinabaronak gapu ta nadalus dagiti imak.
Yahwe amenitunuku mimi kwa sababu ya haki yangu; yeye amenirejesha mimi kwa sababu mikono yangu ilikuwa misafi.
21 Ta sinalimetmetak dagiti dalan ni Yahweh ken saanak a sidadangkes a timmallikud iti Diosko.
Kwa kuwa nimezitunza njia za Yahwe na sijafanya uovu wa kumgeuka Mungu wangu.
22 Ta adda idin iti sangoanak dagiti nalinteg a bilinna; kasta met dagiti alagadenna, saanak a timmallikod kadagitoy.
Kwa kuwa amri zake zote za haki zimekuwa mbele yangu; kama asemavyo, sijaenda kinyume nazo.
23 Saanak met a nagkurang iti sangoananna, ken inyadayok ti bagik iti basol.
Pia nimekuwa sina hatia mbele zake, na nimejiweka mwenyewe mbali na dhambi.
24 Ngarud, insublinak ni Yahweh gapu iti kinalintegko, gapu ta nadalus dagiti imak iti imatangna.
Hivyo Yahwe amenirejesha kwa sababu ya haki yangu, na kwa sababu mikono yangu ilikuwa safi mbele ya macho yake.
25 Iti siasinoman a napudno, iparangmo ti bagim a napudno; iti maysa a tao nga awan pakapilawanna, iparangmo ti bagim nga awan pakapilawanna.
Kwa yeyote aliye mwaminifu, jionyeshe wenyewe kuwa mwaminifu; kwa mtu asiye na lawama, jionyeshe mwenyewe kuwa usiye na lawama.
26 Iti siasinoman a nasin-aw, iparangmo ti bagim a nasin-aw; ngem nasikapka iti siasinoman a nakillo.
Kwa yeyote aliye msafi, jionyeshe mwenyewe safi; bali ni mjanja kwa yeyote aliye geuzwa.
27 Ta isalakanmo dagiti maparparigat a tattao, ngem ipababam dagiti addaan napannakkel a matmata!
Kwa kuwa wewe huwaokoa watu walio taabishwa, lakini wewe huwashusha chini wale wenye majivuno, yaani macho yaliyo jinua!
28 Ta gangtam ti pagsilawak; Lawagan ni Yahweh a Diosko ti kasipngetak.
Kwa kuwa wewe huipa mwanga taa yangu; Yahwe Mungu wangu hutia mwanga giza langu.
29 Ta kabaelak a lasaten ti maysa a bangen babaen kenka; babaen iti Diosko kabaelak a lagtoen ti maysa a pader.
Kwa kuwa kwa kupitia wewe ninaweza kuruka juu ya kiwazo kilichowekwa; kupitia Mungu ninaweza kuruka juu ya ukuta.
30 Maipapan iti Dios: naan-anay ti wagasna. Nasin-aw ti sao ni Yahweh! Isuna ti kalasag iti amin a kumamang kenkuana.
Kama kwa Mungu: njia yake ni kamilifu. Neno la Yahwe ni safi! Yeye ni ngao kwa yeyote anaye kimbilia katika yeye.
31 Ta siasino ti Dios no di laeng ni Yahweh? Siasino ti maysa a dakkel a bato no di laeng ti Diostayo?
Kwa kuwa nani ni Mungu ispokuwa Yahwe? Nani ndiye mwamba ispokuwa Mungu wetu?
32 Isu ti Dios a mangmangted iti pigsak a kasla maysa a barikes, a mangikabkabil kadagiti awan pakapilawanna a tattao iti dalanna.
Ni Mungu anitiaye nguvu ndani yangu kama vile mkanda, ambaye humweka mtu mwenye lawama katika njia yake.
33 Papartakenna dagiti sakak a kasla maysa nga ugsa ken ikabilnak kadagiti banbantay!
Yeye hunifanya miguu yangu kuwa myepesi kama mbawala na kuniweka mahali pa juu!
34 Sansanayenna dagiti imak para iti gubat ken dagiti takiagko a mangbiat iti pana a bronse.
Yeye hufunza viganja vyangu kwa ajili ya vita na mikono yangu kupiga upinde wa shaba.
35 Intedmo kaniak ti kalasag ti panangisalakanmo. Tinulongannak ti makannawan nga imam, ken pinatan-oknak ti pabormo.
Wewe umenipa mimi ngao ya wokovu. Mkono wako wa kuume umenisaidia, na neema yako imenifanya kuwa mkubwa.
36 Nangaramidka iti nalawa a lugar a pagbaddekak tapno saan a maikaglis dagiti sakak.
Wewe umetengeneza nafasi pana kwa ajili ya miguu yangu ili miguu yangu isiteleze.
37 Kinamatko dagiti kabusorko ken tiniliwko ida; Saanak a nagsanud agingga a nadadaelda.
Ninawashawishi adui zangu na kuwakamata; nami sikurudi nyuma mpaka walipo haribiwa.
38 Rinumekko ida tapno saandan a makabangon; natuangda iti sakaanak.
Niliwashambulia hata hawakuweza kuamka; nao wameangukia chini ya miguu yangu.
39 Ta inikkannak ti pigsak a kasla barikes a pakigubat; inkabilmo iti babaek dagiti tumakder a maibusor kaniak.
Kwa kuwa unanitia nguvu kama mshipi kwa ajili ya vita; wewe unawaweka chini yangu wale ambao wanainuka kinyume na mimi.
40 Intedmo kaniak dagiti teltel dagiti kabusorko; Pinarmekko dagiti gumurgura kaniak.
Wewe ulinipa visogo vya maadui zangu; niliwaagamiza wale walio nichukia.
41 Nagpaarayatda, ngem awan ti uray maysa a nangisalakan kadakuada; immawagda kenni Yahweh, ngem saanna ida a sinungbatan.
Wao waliita msaada lakini hakuna aliye wasaidia; walimuita Yahwe, lakini hakuwaitikia.
42 Rinumekko ida iti napino a kasla tapuk iti angin; Inbellengko ida a kasla pitak kadagiti pagnaan.
Niliwapiga wao katika vipande vidogo vidogo kama vile vumbi mbele ya upepo; niliwatupa nje kama udongo mtaani.
43 Inispalnak manipud iti panagririri dagiti tattao. Pinagbalinnak nga ulo kadagiti nasion. Nagserbi kaniak dagiti tattao a saanko nga am-ammo.
Wewe uliniokoa mimi kutoka katika migogoro ya watu. wewe umenifanya kichwa juu ya mataifa. Watu ambao sikuwahi kuwafahamu huntumikia.
44 Apaman a mangngegdak, agtulnogda kaniak; napilitan dagiti ganggannaet nga agruknoy kaniak.
Pindi tu waliposikia kuhusu mimi, wao walinitii; wageni walilazimishwa kunisujudu.
45 Agpigpigerger dagiti ganggannaet a rimmuar kadagiti pagkamkamanganda.
Wageni walitoka kwenye ngome yao wakitetemeka.
46 Sibibiag ni Yahweh; mapadayawan koma ti dakkel a batok. Maitan-ok koma ti Dios ti pannakaisalakanko.
Yahwe anaishi; mwamba wangu usifiwe. Ainuliwe Mungu wa wokovu wangu.
47 Daytoy ti Dios nga agibales para kaniak, a mangparparmek kadagiti nasion nga iturturayak.
Yeye ni Mungu ambaye hutelekeza visasi kwa ajili yangu, ambaye huwatiisha mataifa chini yangu.
48 Nawayawayaannak manipud kadagiti kabusorko! Pudno, intag-aynak iti ngatoen dagiti tattao a bumusor kaniak! Inispalnak kadagiti naranggas a tattao.
Nimewekwa huru kutoka kwa adui zangu! wewe uliniinua juu ya wale walioinuka kunyume na mimi! Wewe uliniokoa kutoka kwa watu wenye vurugu.
49 Ngarud, agyamanak kenka, Yahweh, kadagiti nasion; agkantaak a mangidaydayaw iti naganmo!
Kwa hiyo nitakushukuru wewe, Yahwe, kati ya mataifa; Nitaliimbia sifa jina lako!
50 It-ited ti Dios ti naindaklan a balligi iti arina, ken ipakpakitana ti kinapudno iti tulagna iti pinulotanna, kenni David ken kadagiti kaputotanna iti agnanayon.
Mungu hutoa ushindi mkuu kwa mfalme wake, na yeye huonyesha uaminifu wa agano lake kwa mpakwa mafuta wake, kwa Daudi na ukoo wake milele.

< Dagiti Salmo 18 >