< Jude 1 >

1 dude, jesu kilisu tuonsɔnl k go tie jak nijua, fuond yaab kul k o tienu yimb, k go bua yaab k kub b kul jesu kilisu nnin.
Mimi Yuda, mtumishi wa Yesu Kristo, ndugu yake Yakobo, nawaandikia ninyi mlioitwa na Mungu na ambao mnaishi katika upendo wa Mungu Baba, na katika ulinzi wa Yesu Kristo.
2 Ko ŋamu, n yanduam yen o tien buam n ya pugidi y po hal boncianla.
Nawatakieni huruma, amani na upendo kwa wingi.
3 N buakaab, n den bua yi hal boncianla k diani y po yal tie t kul tan pia ya fabu. Ama n sua k li tie n po tila min diani k tundi yi k yin kɔni l dandanlin kɔnl, o tienu den ten ya nuba ŋan ya dandanl o yog kul.
Ndugu wapenzi, wakati nimo katika jitihada ya kuwaandikieni juu ya ule wokovu tunaoshiriki sote, nimeona lazima ya kuwaandikieni na kuwahimizeni mwendelee kupigana kwa ajili ya imani ambayo Mungu amewajalia watu wake mara moja tu kwa wakati wote.
4 Ya nub k e dian den maad k b bujial cuonaa b wuoni kua ti sinsigin. ba conl o tienu, b lebd o tienu ŋalbalg k l tie n cɔnma, b go yie yesu kilisu, wan bebe n tie t canba yen t yomdaano.
Maana watu wasiomcha Mungu wamepata kujiingiza kwa siri miongoni mwetu, watu ambao, kwa faida ya maisha yao mabaya, wanaupotosha ujumbe wa neema ya Mungu wetu na kumkana Yesu Kristo aliye peke yake kiongozi na Bwana wetu. Maandiko Matakatifu yalikwisha bashiri tangu awali hukumu inayowangojea watu hao.
5 ŋa man min gua tiade ya bona k yi ban, t yomdaan den faab o buolu t yombd Esipit nnin. yomdan den yuand biid yaab den yie b kan cuonlo.
Nataka kuwakumbusheni mambo fulani ambayo mmekwisha yajua: kumbukeni jinsi Bwana alivyowaokoa watu wa Israeli na kuwatoa katika nchi ya Misri, lakini baadaye aliwaangamiza wale ambao hawakuamini.
6 O tienu kub, k loliba yogu kul l bonbɔnlin hal l bujial dacianl dal, ya malekin baa na den kub ban pia ya yial. (aïdios g126)
Na, malaika ambao hawakuridhika na cheo chao, wakayaacha makao yao ya asili, Mungu amewafunga gizani kwa minyororo ya milele wahukumiwe Siku ile kuu. (aïdios g126)
7 S odom nub, gomod yen dogi ku kul yaab po, mon den kua n concom yen cangdi bul kul. l ya po b jii b mɔn ya mu k pia gbem, k b ji sua bonannangu. (aiōnios g166)
Kumbukeni pia Sodoma na Gomora, na miji ya kandokando yake; wenyeji wake walifanya kama wale malaika; walifanya uzinzi na mambo yaliyo kinyume cha maumbile, wakapewa hukumu ya moto wa milele, iwe onyo kwa watu wote. (aiōnios g166)
8 In yen, l nubaa bontitiedi tie yemi: L dangd ced k b jɔgnd b ba k yie yomdaano paalu, k sug o malegba yaab pia t ciagd tanpolipo.
Hivyo ndivyo pia walivyo watu hawa. ndoto zao huwaongoza katika kuichafua miili yao wenyewe, kuyadharau mamlaka ya Mungu na kuvitukana viumbe vitukufu vya huko juu.
9 Ama misiel maleg mɔn den yie sitan k kɔn yeno mussa gbanand po. Ama wa den bua wan sugo, k den maado k yomdaano n mabno.
Hata Mikaeli, malaika mkuu, hakufanya hivyo. Katika ule ubishi kati yake na Ibilisi waliobishana juu ya mwili wa Mose, Mikaeli hakuthubutu kumhukumu Ibilisi kwa matusi; ila alisema: “Bwana mwenyewe na akukaripie.”
10 Ama l nub sugd ban k ban yaal. Ama ban ban yal yen n cagdm, nan t yand k pia l yanjagl, b biand b yula.
Lakini watu hawa hutukana chochote wasichokielewa; mambo yaleyale wanayoyajua kwa silika kama vile wanyama wanayoyajua ndiyo yanayowaangamiza.
11 Yubɔl b po! b ŋɔd k tongn caïn sanu, nan in piam ya boam, b go gbad baa nan balaam mɔ yen; k san k ban bia, k go fiini n janjanma k bodi nan qor yen.
Ole wao! Watu hao wamefuata mwenendo uleule wa Kaini. Kwa ajili ya fedha, wamejiingiza katika mkosi uleule wa Baalamu. Wameasi kama Kora alivyoasi na wameangamizwa kama yeye alivyoangamizwa.
12 li tie bani n jɔgni yin n taani k di ya jiema. b yen di k go ñu k l pend, ka jie fe, k nua bi ya yula bebe. b tie nan o faalu n tud ya tawalgbɔng ke tienn yi taag yen, b go tie nan l fal ya tiidin naa loniba yogunu, ama k kuodi k kpe kum lie k be ŋabi.
Kwa makelele yao yasiyo na adabu, watu hao ni kama madoa machafu katika mikutano yenu ya karamu ya Bwana. Hujipendelea wao wenyewe tu, na wako kama mawingu yanayopeperushwa huko na huko na upepo bila ya kuleta mvua. Wao ni kama miti isiyozaa matunda hata wakati wa majira yake, wamekufa kabisa.
13 B nann nan n ñincianma ƙñinguona n lengdi dɔgidi b tuona n pia ya fe k lu t ñinpupudi gbangbanl po, nan ya ŋmabia yaab gɔd k ye yogu kul tuu l bɔnbɔnlin. (aiōn g165)
Watu hao ni kama mawimbi makali ya bahari, na matendo yao ya aibu yanaonekana dhahiri kama vile mapovu ya mawimbi. Wao ni kama nyota zinazotangatanga, ambao Mungu amewawekea mahali pao milele katika giza kuu. (aiōn g165)
14 B mon go conl henok n den pua ya sawaalo, hal adam ya yabia bonbi lele k den yedi: diid man, yomdaano ba cua yen o maleg tudl.
Henoki, ambaye ni babu wa saba tangu Adamu, alibashiri hivi juu ya watu hawa: “Sikilizeni! Bwana atakuja pamoja na maelfu ya malaika wake watakatifu
15 yen wan jia o bud yua kul, yen k go maad yaab k den conlo kul, ban den tiendo yal kul k go den yieo yen l biid dam n den sugo, k go maad yal kul o po.
kutoa hukumu juu ya binadamu wote, kuwahukumu wote kwa ajili ya matendo yao yote maovu waliyotenda na kwa ajili ya maneno yote mabaya ambayo watu waovu walimkashifu nayo.”
16 L nub ye l pabienlin yogu kul, k mɔn b yul po, k l kuandb t bua biid. B kub a lanbongbenga k bɔndi b nub k bua ban laa b kan l baoli.
Watu hawa wananung'unika daima na kuwalaumu watu wengine. Hufuata tamaa zao mbaya, hujigamba na kuwasifu watu wengine mno kusudi wafaulu katika mipango yao.
17 Ama yimb yaab tie n dɔnl ba, n gua tiade man yesu kilisu tuonsɔnl n den maad yal.
Lakini ninyi wapenzi wangu, kumbukeni yale mliyoambiwa hapo awali ni mitume wa Bwana wetu Yesu Kristo.
18 B den maade: «a dena jog yogu, yab ba ñuad o tienu po, b baa te fuo b yul po buam k go yie o tienu”.
Waliwaambieni: “Siku za mwisho zitakapofika, watatokea watu watakaowadhihaki ninyi, watu wafuatao tamaa zao mbaya.”
19 L tie lan nube! b cuon yen n paadm, b ŋua b gbanand bon buam kal, baa pia o tienu fuom
Hao ndio watu wanaosababisha mafarakano, watu wanaotawaliwa na tamaa zao za kidunia, watu wasio na Roho wa Mungu.
20 Ama yimb, n buakab, maman e mial, l dandanlŋanl l tanpul po. yaa jand man o tienu fo ŋam po.
Lakini ninyi, wapenzi wangu, endeleeni kujijenga kikamilifu katika imani yenu takatifu. Salini kwa nguvu ya Roho Mtakatifu,
21 ŋambi kub man o tienubuam k ya guu man ti yomdaano yesu kilisu o ŋamu po, o ba tienti ya mial n k pia gbem. (aiōnios g166)
na kubaki katika upendo wa Mungu, mkiwa mnamngojea Bwana wetu Yesu Kristo awapeni uzima wa milele kwa huruma yake. (aiōnios g166)
22 Yaa pia man n ñiñum yab n tam tam po.
Muwe na huruma kwa watu walio na mashaka;
23 Fab man yab ba fiid k ya ye k ñanb o mun, yab sieni yaa pia man b po n niñim, ama yen o jijeogu, da nagdman k b bona n da puo yi.
waokoeni kwa kuwanyakua kutoka motoni; na kwa wengine muwe na huruma pamoja na hofu, lakini chukieni hata mavazi yao ambayo yamechafuliwa na tamaa zao mbaya.
24 Hal yua ba fiid k guud yi n da ba k go fiid wann yii o ciagd, yin da pia ban fid k nangue yal yen l pamenl cianl.
Kwake yeye awezaye kuwalinda msije mkaanguka, na kuwaleta ninyi bila hatia mpaka mbele ya utukufu wake,
25 Otienu yend yua faab ti yen t yomdano yesu kilisu po, wan n pia t ciagd yen ti baad gbengd, o paalu yen yiko, yogu kul, mɔmonlan yen hal mial n kan gben yogu! amina. (aiōn g165)
kwake yeye aliye peke yake Mungu, Mkombozi wetu, uwe utukufu, ukuu, nguvu na mamlaka kwa njia ya Kristo Bwana wetu, tangu zama zote, sasa na hata milele! Amina. (aiōn g165)

< Jude 1 >