< Juudaksen 1 >

1 Juudas, Jesuksen Kristuksen palvelia, mutta Jakobin veli, niille kutsutuille, jotka Isässä Jumalassa pyhitetyt ovat ja Jesuksessa Kristuksessa vapahdetut:
Mimi Yuda, mtumishi wa Yesu Kristo, ndugu yake Yakobo, nawaandikia ninyi mlioitwa na Mungu na ambao mnaishi katika upendo wa Mungu Baba, na katika ulinzi wa Yesu Kristo.
2 Laupius ja rauha ja rakkaus lisääntyköön teille!
Nawatakieni huruma, amani na upendo kwa wingi.
3 Te rakkaat! että minulla oli suuri ahkeruus teille yhteisestä autuudesta kirjoittaa, pidin minä sen tarpeellisena teitä kirjoituksella neuvoa, että te uskon puolesta kilvoittelisitte, joka kerta pyhille annettu on.
Ndugu wapenzi, wakati nimo katika jitihada ya kuwaandikieni juu ya ule wokovu tunaoshiriki sote, nimeona lazima ya kuwaandikieni na kuwahimizeni mwendelee kupigana kwa ajili ya imani ambayo Mungu amewajalia watu wake mara moja tu kwa wakati wote.
4 Sillä muutamat ihmiset ovat luikahtaneet sisälle, jo muinen kirjoitetut tähän tuomioon, jumalattomat, jotka meidän Jumalan armon vetävät haureuteen ja kieltävät Jumalan, joka ainoa hallitsia on, ja meidän Herran Jesuksen Kristuksen.
Maana watu wasiomcha Mungu wamepata kujiingiza kwa siri miongoni mwetu, watu ambao, kwa faida ya maisha yao mabaya, wanaupotosha ujumbe wa neema ya Mungu wetu na kumkana Yesu Kristo aliye peke yake kiongozi na Bwana wetu. Maandiko Matakatifu yalikwisha bashiri tangu awali hukumu inayowangojea watu hao.
5 Mutta minä tahdon teille muistuttaa, että te sen kerran tietäisitte, että koska Herra kansansa Egyptistä terveenä pelastanut oli, hukkasi hän sitte ne, jotka ei uskoneet.
Nataka kuwakumbusheni mambo fulani ambayo mmekwisha yajua: kumbukeni jinsi Bwana alivyowaokoa watu wa Israeli na kuwatoa katika nchi ya Misri, lakini baadaye aliwaangamiza wale ambao hawakuamini.
6 Ja ne enkelit, jotka ei alkuansa pitäneet, vaan antoivat ylön kotonsa, on hän kätkenyt pimeyteen ijankaikkisilla kahleilla suuren päivän tuomioon asti, (aïdios g126)
Na, malaika ambao hawakuridhika na cheo chao, wakayaacha makao yao ya asili, Mungu amewafunga gizani kwa minyororo ya milele wahukumiwe Siku ile kuu. (aïdios g126)
7 Niinkuin Sodoma ja Gomorra ja ne lähikaupungit, jotka sillä muotoa kuin hekin huorin tehneet olivat ja muukalaisen lihan jälkeen menneet, ovat pannut muille opiksi, ijankaikkisen tulen vaivaa kärsimään. (aiōnios g166)
Kumbukeni pia Sodoma na Gomora, na miji ya kandokando yake; wenyeji wake walifanya kama wale malaika; walifanya uzinzi na mambo yaliyo kinyume cha maumbile, wakapewa hukumu ya moto wa milele, iwe onyo kwa watu wote. (aiōnios g166)
8 Niin ovat myös nämät unennäkiät, jotka lihan saastuttavat, hallitukset katsovat ylön ja majesteetteja pilkkaavat.
Hivyo ndivyo pia walivyo watu hawa. ndoto zao huwaongoza katika kuichafua miili yao wenyewe, kuyadharau mamlaka ya Mungu na kuvitukana viumbe vitukufu vya huko juu.
9 Mutta Mikael, ylimmäinen enkeli, kuin hän perkeleen kanssa riiteli ja kamppaili Moseksen ruumiista, ei rohjennut sanoa sen pilkan tuomiota, vaan sanoi: Herra sinua rangaiskoon!
Hata Mikaeli, malaika mkuu, hakufanya hivyo. Katika ule ubishi kati yake na Ibilisi waliobishana juu ya mwili wa Mose, Mikaeli hakuthubutu kumhukumu Ibilisi kwa matusi; ila alisema: “Bwana mwenyewe na akukaripie.”
10 Mutta nämät pilkkaavat niitä, joista ei he mitään tiedä; vaan mitä he luonnon kautta tietävät niinkuin muut järjettömät eläimet, niissä he turmeltuvat.
Lakini watu hawa hutukana chochote wasichokielewa; mambo yaleyale wanayoyajua kwa silika kama vile wanyama wanayoyajua ndiyo yanayowaangamiza.
11 Voi heitä! sillä he käyvät Kainin tiellä ja lankeevat Balaamin eksytykseen palkan tähden, ja hukkuvat Koren kapinassa.
Ole wao! Watu hao wamefuata mwenendo uleule wa Kaini. Kwa ajili ya fedha, wamejiingiza katika mkosi uleule wa Baalamu. Wameasi kama Kora alivyoasi na wameangamizwa kama yeye alivyoangamizwa.
12 Nämät ovat häpiäpilkut vieraana ollessansa teidän rakkaus-aterioissanne, jotka ravitsevat itsiänsä pelkäämättä: he ovat vedettömät pilvet, jotka tuulelta ajetaan ympäri, paljaat, hedelmättömät puut, kahdesti kuolleet, juurinensa reväistyt ylös;
Kwa makelele yao yasiyo na adabu, watu hao ni kama madoa machafu katika mikutano yenu ya karamu ya Bwana. Hujipendelea wao wenyewe tu, na wako kama mawingu yanayopeperushwa huko na huko na upepo bila ya kuleta mvua. Wao ni kama miti isiyozaa matunda hata wakati wa majira yake, wamekufa kabisa.
13 Meren julmat aallot, jotka oman häpiänsä vaahtuvat; eksyväiset tähdet, joille pimeyden kauheus on ijankaikkisesti tähdelle pantu. (aiōn g165)
Watu hao ni kama mawimbi makali ya bahari, na matendo yao ya aibu yanaonekana dhahiri kama vile mapovu ya mawimbi. Wao ni kama nyota zinazotangatanga, ambao Mungu amewawekea mahali pao milele katika giza kuu. (aiōn g165)
14 Niin on myös Enok, seitsemäs Adamista, senkaltaisista ennustanut ja sanonut: katso, Herra tulee monen tuhannen pyhäinsä kanssa,
Henoki, ambaye ni babu wa saba tangu Adamu, alibashiri hivi juu ya watu hawa: “Sikilizeni! Bwana atakuja pamoja na maelfu ya malaika wake watakatifu
15 Tekemään kaikkein tuomiota, ja rankaisemaan kaikkia jumalattomia heidän seassansa, kaikkein heidän jumalattomain töittensä tähden, joilla he pahaa tehneet ovat, ja kaikkea sitä kovaa, jota ne jumalattomat syntiset häntä vastaan puhuneet ovat.
kutoa hukumu juu ya binadamu wote, kuwahukumu wote kwa ajili ya matendo yao yote maovu waliyotenda na kwa ajili ya maneno yote mabaya ambayo watu waovu walimkashifu nayo.”
16 Nämät ovat napisiat ja valittajat, omain himoinsa jälkeen vaeltavaiset, ja heidän suunsa puhuu röyhkeitä sanoja ja he ihmettelevät ihmisiä hyödytyksen tähden.
Watu hawa wananung'unika daima na kuwalaumu watu wengine. Hufuata tamaa zao mbaya, hujigamba na kuwasifu watu wengine mno kusudi wafaulu katika mipango yao.
17 Mutta te, rakkaat veljet, muistakaat niitä sanoja, joita ennen meidän Herran Jesuksen Kristuksen apostoleilta sanottiin:
Lakini ninyi wapenzi wangu, kumbukeni yale mliyoambiwa hapo awali ni mitume wa Bwana wetu Yesu Kristo.
18 Että viimeisellä ajalla tulevat pilkkaajat, jotka jumalattomissa himoissansa vaeltavat.
Waliwaambieni: “Siku za mwisho zitakapofika, watatokea watu watakaowadhihaki ninyi, watu wafuatao tamaa zao mbaya.”
19 Nämät ovat ne, jotka eriseurat tekevät, lihalliset, joilla ei henkeä ole.
Hao ndio watu wanaosababisha mafarakano, watu wanaotawaliwa na tamaa zao za kidunia, watu wasio na Roho wa Mungu.
20 Mutta te, minun rakkaani! rakentakaat itsiänne teidän kaikkein pyhimmän uskonne päälle, Pyhän Hengen kautta, ja rukoilkaat, pitäin teitänne keskenänne Jumalan rakkaudessa,
Lakini ninyi, wapenzi wangu, endeleeni kujijenga kikamilifu katika imani yenu takatifu. Salini kwa nguvu ya Roho Mtakatifu,
21 Ja odottakaat meidän Herran Jesuksen Kristuksen laupiutta ijankaikkiseen elämään. (aiōnios g166)
na kubaki katika upendo wa Mungu, mkiwa mnamngojea Bwana wetu Yesu Kristo awapeni uzima wa milele kwa huruma yake. (aiōnios g166)
22 Ja pitäkäät se eroitus, että te muutamia armahtaisitte,
Muwe na huruma kwa watu walio na mashaka;
23 Mutta muutamia pelvolla autuaaksi tekisitte, ja temmatkaat heitä ulos tulesta, ja vihatkaat sitä lihalta saastutettua hametta.
waokoeni kwa kuwanyakua kutoka motoni; na kwa wengine muwe na huruma pamoja na hofu, lakini chukieni hata mavazi yao ambayo yamechafuliwa na tamaa zao mbaya.
24 Mutta hänelle, joka teidät voi viasta varjella ja asettaa nuhteetoinna kunniansa kasvoin eteen, riemulla,
Kwake yeye awezaye kuwalinda msije mkaanguka, na kuwaleta ninyi bila hatia mpaka mbele ya utukufu wake,
25 Ainoalle viisaalle Jumalalle, meidän Vapahtajallemme, olkoon kunnia, ja majesteetti, ja valta, ja voima, nyt ja kaikessa ijankaikkisuudessa, amen! (aiōn g165)
kwake yeye aliye peke yake Mungu, Mkombozi wetu, uwe utukufu, ukuu, nguvu na mamlaka kwa njia ya Kristo Bwana wetu, tangu zama zote, sasa na hata milele! Amina. (aiōn g165)

< Juudaksen 1 >