< Efesolaisille 2 >

1 Ja myös (herätti) teidät, kuin te kuolleet olitte ylitsekäymisten ja syntein tähden,
Kama vile mlivyo kuwa mmekufa katika makosa na dhambi zenu.
2 Joissa te muinen vaelsitte, tämän maailman juoksun jälkeen ja sen pääruhtinaan, jolla tuulessa valta on, nimittäin sen hengen jälkeen, joka nyt epäuskoisissa lapsissa vaikuttaa, (aiōn g165)
Ilikuwa katika haya kwamba kwanza mlienenda kulingana na nyakati za ulimwengu huu. Mlikuwa mkienenda kwa kufuata mtawala wa mamlaka ya anga. Hii ndiyo roho yake yule afanyaye kazi katika wana wa kuasi. (aiōn g165)
3 Joiden seassa me myös kaikki muinen meidän lihamme himoissa vaelsimme ja teimme lihan ja toimen tahdon jälkeen, ja me olimme luonnostamme vihan lapset niinkuin muutkin.
Sisi wote hapo mwanzo tulikuwa miongoni mwa hawa wasioamini. Tulikuwa tukitenda kwa namna ya tamaa mbaya za miili yetu. Tulikuwa tukifanya mapenzi ya mwili na ufahamu wetu. Tulikuwa kwa asili wana wa ghadhabu kama wengine.
4 Mutta Jumala, joka rikas on laupiudesta, suuren rakkautensa tähden, jolla hän on meitä rakastanut,
Lakini Mungu ni mwingi wa rehema kwa sababu ya pendo lake kubwa alilotupenda sisi.
5 Ja kuin me vielä synnissä kuolleet olimme, on hän meitä Kristuksen kanssa eläväksi tehnyt; (sillä armosta olette te autuaiksi tulleet: )
Wakati tulipokuwa wafu katika makosa yetu, alituleta pamoja katika maisha mapya ndani ya Kristo. Ni kwa neema kwamba mmeokolewa.
6 Ja on meidät ynnä hänen kanssansa herättänyt, ja istuttanut taivaallisiin menoihin Kristuksessa Jesuksessa,
Mungu alitufufua pamoja na kutufanya kukaa pamoja katika mahali pa mbingu ndani ya Kristo Yesu.
7 Että hän tulevaisilla ajoilla ylönpalttisen armonsa rikkauden hyvyydestänsä meidän kohtaamme Kristuksessa Jesuksessa osoittais. (aiōn g165)
Alifanya hivi ili katika nyakati zijazo aweze kutuonesha utajiri mkuu wa neema yake. Hutuonesha sisi hili kwa njia ya wema wake ndani ya Kristo Yesu. (aiōn g165)
8 Sillä armosta te olette autuaiksi tulleet, uskon kautta, ja ette itse teissänne: Jumalan lahja se on:
Kwa neema mmeokolewa kwa njia ya imani. Na hii haikutoka kwetu. Ni zawadi ya Mungu.
9 Ei töistä, ettei yksikään kerskaisi.
Haitokani na matendo. Matokeo yake, asiwepo mmoja wapo wa kujisifu.
10 Sillä me olemme hänen tekonsa, luodut Kristuksessa Jesuksessa hyviin töihin, joihin Jumala meidät on jo ennen vaeltamaan valmistanut.
Kwa sababu sisi tu kazi ya Mungu, tumeumbwa katika Kristo Yesu kutenda matendo mema. Ni matendo haya ambayo Mungu aliyapanga tangu zamani za kale kwa ajili yetu, ili tutembee katika hayo.
11 Sentähden muistakaat, että te olitte muinen pakanat lihan jälkeen, ja niiltä kutsuttiin esinahaksi, jotka lihan jälkeen ympärileikkaukseksi kutsuttiin, joka käsillä tehdään,
Kwa hiyo kumbukeni kwamba hapo zamani mlikuwa watu wa Mataifa kwa jinsi ya mwili. Mnaitwa “msio na tohara” kwa kile kinachoitwa tohara ya mwili inayofanywa kwa mikono ya binadamu.
12 Että te siihen aikaan ilman Kristusta olitte muukalaiset Israelin kyläkunnasta, ja vieraat lupauksen Testamentista, ja ei teillä toivoakaan ollut, ja olitte maailmassa ilman Jumalaa;
Kwa wakati huo mlikuwa mmetengwa na Kristo. Mlikuwa wageni kwa watu wa Israel. Mlikuwa wageni kwa agano la ahadi. Hamkuwa na uhakika wa wakati ujao. Mlikuwa bila Mungu katika ulimwengiu.
13 Mutta nyt te Kristuksessa Jesuksessa olette. Jotka muinen taampana olitte, nyt te Kristuksen veren kautta olette lähes päässeet;
Lakini sasa katika Kristo Yesu ninyi ambao hapo mwanzo mlikuwa mbali na Mungu mmeletwa karibu na Mungu kwa damu ya Kristo.
14 Sillä hän on meidän rauhamme, joka molemmista on yhden tehnyt ja vaihe-aidan särkenyt,
Kwa maana yeye ndiye amani yetu. Alifanya wawili kuwa mmoja. Kwa mwili wake aliuharibu ukuta wa utengano ambao ulikuwa umetutenganisha, huo uadui.
15 Että hän lihansa kautta vihan otti pois, nimittäin lain, joka käskyihin päätetty oli; että hän kahdesta yhden uuden ihmisen lois itsessänsä, ja tekis rauhan,
Kwamba alikomesha sheria ya amri na kanuni ili kwamba aumbe mtu mmoja mpya ndani yake. Akafanya amani.
16 Ja että hän ne molemmat Jumalan kanssa yhdessä ruumiissa ristin kautta sovittais, ja on vihan itse kauttansa kuolettanut,
Alifanya hivi ili kuwapatanisha makundi mawili ya watu kuwa mwili mmoja kwa Mungu kupitia msalaba. Kwa njia ya msalaba aliufisha uadui.
17 Ja on tullut evankeliumin kautta rauhaa ilmoittamaan teille, jotka taampana olitte, ja niille, jotka läsnä olivat.
Yesu alikuja na kutangaza amani kwenu ninyi mliokuwa mbali na amani kwao wale waliokuwa karibu.
18 Sillä hänen kauttansa me molemmin yhdessä hengessä saamme Isää lähestyä.
Kwa maana kwa njia ya Yesu sisi wote wawili tuna nafasi kwa yule Roho mmoja kuingia kwa Baba.
19 Niin ettepä te silleen ole vieraat ja muukalaiset, vaan pyhäin kylänmiehet ja Jumalan perhe,
Hivyo basi, ninyi watu wa mataifa si wasafiri na wageni tena. Bali ni wenyeji pamoja na wale waliotengwa kwa ajili ya Mungu na wajumbe katika nyumba ya Mungu.
20 Apostolein ja prophetain perustuksen päälle rakennetut, jossa Jesus Kristus paras kulmakivi on,
Mmejengwa juu ya msingi wa mitume na manabii. Kristo Yesu mwenyewe alikuwa jiwe kuu la pembeni.
21 Jonka päälle kaikki rakennus toinen toiseensa liitetään ja kasvaa pyhäksi templiksi Herrassa,
Katika yeye jengo lote limeungamanishwa pamoja na kukua kama hekalu ndani ya Bwana.
22 Jonka päälle te myös rakennetaan Jumalalle asuinsiaksi Hengessä.
Ni ndani yake ninyi nanyi mnajengwa pamoja kama mahali pa kuishi pa Mungu katika Roho.

< Efesolaisille 2 >