< Psalms 11 >

1 For the leader. Of David. In the Lord I take refuge. How can you tell me to flee like a bird to the mountains?
Ni kwako Yahweh ninapata usalama; ni kwa namna gani utasema na mimi, “Ruka kama ndege hadi mlimani”?
2 ‘See! The wicked are bending the bow, their arrow is set on the string, to shoot from the shadows at the upright in heart.
Tazama! Waovu wana andaa pinde zao. Wana tayarisha gizani mishale yao kwenye kamba ili kufyatua mioyo ya wenye haki.
3 In this tearing down of foundations what good can a good person do?’
Ikiwa misingi imeharibiwa, mwenye haki atafanya nini?
4 The Lord in his holy temple, the Lord in heaven, enthroned. His eyes watch the world, they see everyone.
Yahweh yuko katika hekalu takatifu; macho yake yanatazama, yakiuchunguza ubinadamu.
5 The Lord examines the righteous and wicked, and the lover of violence he hates.
Yahweh huwachunguza wote wenye haki na waovu, bali huwachukia wapendao kuwaumiza wengine.
6 On the wicked he rains coals of fire and brimstone, and their drink will be scorching wind.
Yeye huwanyeshea waovu makaa ya mawe na moto wa jehanamu; upepo uunguzao utakuwa ni sehemu yao kutoka katika kikombe chake!
7 For the Lord is just, and justice he loves; so the upright will see his face.
Kwa kuwa Yahweh ni mwenye haki, Naye hupenda haki; wenye haki watauona uso wake.

< Psalms 11 >