< Ba Loma 16 >

1 Ndamutumina Foyebbe muchizi wesu, mubeleki wa mbungano lili ku Sinkile,
Napenda kumjulisha kwenu dada yetu Foibe ambaye ni mtumishi katika kanisa la Kenkrea.
2 kuti mumutambule muMwami. Uzicheezi munzila yelede bantu baLeza basalala, alubo mumupe loonse lugwasyo ndwayanda kuzwa kulindinywe nkmbo wakali mugwasyi mupati kubiingi akulindiswe awalo.
Mpokeeni kwa ajili ya Bwana kama iwapasavyo watu wa Mungu. Mpeni msaada wowote atakaohitaji kutoka kwenu, maana yeye amekuwa mwema sana kwa watu wengi na kwangu pia.
3 Juuzya Pulisila a Akwiyila, mubelesima muli Kilisito Jesu
Salamu zangu ziwafikie Priska na Akula, wafanyakazi wenzangu katika utumishi wa Kristo Yesu.
4 nkambo kabuumi bwangu bakapedekezya buumi bwabo. Ndipa kulumba kulibaabo, kutali andikke; pesi alubo ambungano zyoonse zyabamaasi.
Wao walihatarisha maisha yao kwa ajili yangu. Wanastahili shukrani; si tu kutoka kwangu, bali pia kutoka kwa makanisa yote ya watu wa mataifa mengine.
5 Juuzya imbungano ilimun'anda yabo. Juuzya Epanetasi uyandwa wangu ulingomuchelo mutanzi waEzyiya kuli Kkilisito.
Salamu zangu pia kwa kanisa linalokutana nyumbani kwao. Salamu zangu zimfikie rafiki yangu Epaineto ambaye ni kwa kwanza katika mkoa wa Asia kumwamini Kristo.
6 Juuzya Maliya, wakakubelekela changuzu.
Nisalimieni Maria ambaye amefanya kazi kwa bidii kwa ajili yenu.
7 Juuzya Andilonikkasi a Juniya, wakuluzubo lwangu, alimwi musungwama. Bakalizibikene loko kubatumwa, alubo bakali muliKkilisito imw nkesina.
Salamu zangu kwa Androniko na Yunia, wananchi wenzangu waliofungwa gerezani pamoja nami; wao wanajulikana sana kati ya mitume; tena walikuwa Wakristo kabla yangu mimi.
8 Juuzya Ampuliyatasi, muyandwa wangu muMwami.
Salamu zangu kwa Ampliato, rafiki yangu katika kuungana na Bwana.
9 Juuzya Ubbanasi, babelekima muli Kkilisito, a Sitakkisi, muyandwi wangu.
Salamu zangu zimfikie Urbano, mfanyakazi mwenzangu katika utumishi wa Kristo; salamu zangu pia kwa rafiki yangu Staku.
10 Juuzya Afelesi, utambwidwe muna Kkilisito. Ujuuzye boonse ben'anda ya Alisitobbulasi.
Nisalimieni Apele ambaye uaminifu wake kwa Kristo umethibitishwa. Salamu zangu kwa wote walio nyumbani mwa Aristobulo.
11 Ujuuzye Helodiyeni, wakuluzubo lwangu. Ujuuzye boonse ben'anda ya Nakkisasi bali muMwami.
Salamu zangu kwa Herodiana, mwananchi mwenzangu; na kwa jamaa yote ya Narkisi iliyojiunga na Bwana.
12 Ujuuzye Tayifana a Tayifosa, basimilo basungu muMwami. Ujuuzye Pesisa uyandwa, wakachita mulimo mupati muMwami.
Nisalimieni Trufena na Trufosa wanaofanya kazi katika utumishi wa Bwana, na rafiki yangu Persi ambaye amefanya mengi kwa ajili ya Bwana.
13 Ujuuzye Lufasi, usalidwe muMwami, abanyina abaama.
Nisalimieni Rufo, mtu hodari sana katika kazi ya Bwana, na mama yake ambaye ni mama yangu pia.
14 Ujuuzye Asiyikkitasi, Filegoni, Hemesi, Patilobbasi, Hemasi, abanyina mbalabo.
Nisalimieni Asunkrito, Flegoni, Herme Patroba, Herma na ndugu wote walio pamoja nao.
15 Ujuuzye Filologasi aJuliya, Nelewusa muchizi wakwe, Oliyimpasi, a boonse baLeza basalala balaambabo.
Nisalimieni Filologo na Yulia, Nerea na dada yake, na Olumpa, pamoja na watu wote wa Mungu walio pamoja nao.
16 Mujuuzye umwi waumwi alumyonto lusalala. Zyoonse mbungano zya Kkilisito zilamujuuzya.
Salimianeni ninyi kwa ninyi kwa ishara ya upendo. Salamu kwenu kutoka kwa makanisa yote ya Kristo.
17 Lino ndamusungwazya, nibanama, kuti muyeye atala ababo balikwanzyana akaleba. Balikwindilila njiisyo njimwakayiisya. Amubafutatile.
Ndugu zangu, nawasihi muwafichue wote wanaosababisha mafarakano na kuwafanya watu wengine waanguke, kinyume cha mafundisho mliyofundishwa. Jiepusheni na watu hao,
18 Nkambo bantu balimbulaaba tababelekili Mwana Kkilisito wesu, pesi matumbu aabo. Azyaambo zibungusene akuwupawupa beenena myooyo yabatakwe mulandu.
maana watu wa namna hiyo hawamtumikii Kristo Bwana wetu, bali wanayatumikia matumbo yao wenyewe. Kwa maneno yao matamu na hotuba za kubembeleza hupotosha mioyo ya watu wanyofu.
19 Nkambo chitondezyo chakuteelela kwako kulasikila boonse. Ndilabotelwa, alubo anduwe, pesi ndiyanda kuti ube muchenjezi kulizeezyo zibotu, akutabaamulandu kulizeezyo zibi.
Kila mtu amesikia juu ya utii wenu na hivyo mmekuwa sababu ya furaha yangu. Nawatakeni muwe na hekima katika mambo mema, na bila hatia kuhusu mambo mabaya.
20 Leza waluumuno wapwaya Satani nsi amawulu ako. Luzyalo lwaMwami Jesu Kkilisito alubaayebo.
Naye Mungu aliye chanzo cha amani hatakawia kumponda Shetani chini ya miguu yenu. Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe nanyi.
21 Timoti, ngutubelekaawe, ulakujuzya, aLusiyasi, Jasoni, aSosipata, sinzuboma.
Timotheo, mfanyakazi mwenzangu, anawasalimu. Hali kadhalika Lukio, Yasoni, na Sosipatro, wananchi wenzangu, wanawasalimu.
22 Ime, Tetiyasi, iwakalemba lugwalo olu ansi, ndakujuuzya muMwami.
Nami Tertio, ninayeandika barua hii nawasalimuni katika Bwana.
23 Galiyasi, mubutawukili wangu ambungano yoonse, balamujuuzya. Elasitasi, sinkomwe wadolopo, ulajuuzya, aKwatasi mwananyina.
Gayo, mwenyeji wangu, pamoja na kanisa lote linalokutana kwake, anawasalimu. Erasto, mweka hazina wa mji huu, pamoja na Kwarto, wanawasalimu.
24 Luzyalo lwaMwami wesu Jesu Kkilisito abe andinywe moonse. Ameni.
Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe nanyi nyote. Amina.
25 Lino kuliyoyo ukonzya kukuchita usime mbuli makani angu mabotu akompolola kwaJesu Kkilisito, mbuli chiyubunizyo chensiiswa zyakasisikene kwachiindi chilamfu, (aiōnios g166)
Basi, sasa na tumsifu Mungu! Yeye anaweza kuwaimarisheni katika ile Habari Njema niliyohubiri juu ya ujumbe wa Yesu Kristo, na katika ile siri iliyofunuliwa na ambayo ilikuwa imefichika kwa karne nyinyi zilizopita. (aiōnios g166)
26 pesi lino lyakayubununwa lyachitwa kuti lizibikane kwiinda akulemba kwaba sinsimi kunyika zyoonse, akulayilila kwaLeza bwinibwini, mukweeta kuteelela kwalusyomo. (aiōnios g166)
Lakini, sasa ukweli huo umefunuliwa kwa njia ya maandiko ya manabii; na kwa amri ya Mungu wa milele umedhihirisha kwa mataifa yote ili wote waweze kuamini na kutii. (aiōnios g166)
27 Kuliyooyo uchenjede Leza kwindilila aJesu Kkilisito, abulemu kutamani. Ameni. (aiōn g165)
Kwake Mungu aliye peke yake mwenye hekima, uwe utukufu kwa njia ya Yesu Kristo, milele na milele! Amina. (aiōn g165)

< Ba Loma 16 >