< 3 Joni 1 >

1 Mupati kuli uyandika Gayiyasi, ooyo ngwenjanda chakasimpe.
Mimi mzee nakuandikia wewe Gayo, rafiki yangu, ninayekupenda kweli.
2 Oyandwa, Ndikukkombela ikuti zintu zyoonse zikwendele kabotu alubo upone kabotu, mbuli mbopona kabotu mumuuya wako.
Mpenzi wangu, nakutakia mafanikio mema ya kila aina; nakutakia afya njema ya mwili kama ulivyo nayo rohoni.
3 Nkambo ndakakondwa ndakabotelwa loko inzubo nizyakasika akupa bukamboni bwakasimpe kaako, mbuli mboyenda mukasimpe.
Nimefurahi sana ndugu kadhaa walipofika hapa, wakaiambia juu ya uaminifu wako kuhusu ukweli; naam, wewe unaishi daima katika ukweli.
4 Nsikwe kubotelwa kumbi kwinda oku pe, ikumvwa kuti bana bangu benda mukasimpe.
Hakuna kitu kinachonifurahisha zaidi kuliko kusikia kwamba watoto wangu wanaishi katika ukweli.
5 Oyandwa, uchita michito chalusyomo mpobelekela inzubo akubenzu,
Mpenzi wangu, wewe ni mwaminifu kila mara unapowahudumia ndugu, hata kama ni wageni.
6 aabo bakazopa bukamboni bwaluyando lwako kunembo lyembungano. Uchita kabotu kubasindikila munyeendo zyabo chakubotezya Leza,
Ndugu hao wamelieleza kanisa hapa habari za upendo wako. Tafadhali uwasaidie waendelee na safari yao kwa namna itakayompendeza Mungu,
7 nkambo kezina eelyo ndibayobwendela, nkabata tambwide chintu kuli bamasi.
Maana wanaanza safari yao katika utumishi wa Kristo bila kupokea msaada wowote kutoka kwa watu wasioamini.
8 Aboobo aswebo tulachitambula mbubo, ikuti tukabe basimulimo nyokwe mukasimpe.
Basi, sisi tunapaswa kuwasaidia watu hawa, ili nasi tupate kushiriki katika kazi yao kwa ajili ya ukweli.
9 Kuli nzindakalembela imbungano, pesi Diyotilefesi, oyo uyandisya kuba mutanzi akati kabo, tatutambuli pe swebo.
Niliandika barua fupi kwa hilo kanisa; lakini Diotrefe, ambaye hupenda kuwa kiongozi wao, hataki kabisa kunisikiliza.
10 Eelyo, nindasika, nzomuyeezya milimo yakwe njali kuchita, yakututamikizya chakubeja amajwi mabi kulindiswe. Mukutakkutisika, takaki biyo kutambula ibana bakwabo, pesi ulakasya alubo kulaabo ibayanda kubatambula benzu mpawo akubatanda mumbungano.
Basi, nitakapokuja nitayafichua mambo yote anayofanya, maneno mabaya anayotutolea na uongo anaosema juu yetu. Isitoshe, yeye hukataa kuwakaribisha hao ndugu walio safarini, na hata huwazuia watu wengine wanaotaka kuwakaribisha, na hujaribu kuwafukuzia nje ya kanisa.
11 Noyandwa, utatobeli kuchita zibi pesi kuleezyo zibotu. Ooyo uchita zibotu nguwa Leza; simuchita zibi tanakubona Leza,
Mpenzi wangu, usifuate mfano mbaya, bali mfano mwema. Kila atendaye mema ni wa Mungu; lakini anayetenda mabaya hajapata kumwona Mungu.
12 Demetiliyasi wakatambula bukamboni bubotu kuli boonse amukasimpe. Alubo andiswe tuli bakamboni, alubo ayebo ulizi kuti bukamboni bwesu mbwakasimpe.
Kila mtu anamsifu Demetrio; naam, ukweli wenyewe unamsifu. Nasi pia tunatoa ushahidi wetu juu yake, nawe wajua kwamba tunachosema ni kweli.
13 Ndali ezyiingi zyakukulembela pesi nsikkonzyi kukulembela pe zyoonse empesele amulende.
Ninayo bado mengi ya kukwambia, lakini sipendi kuyaandika kwa kalamu na wino.
14 Pesi ndilangila kuzokubona lino lino, elyo tuzowambuula katulangene. Lumuno alube ayebo. Benzuma balikumujuzya. Ujuzye ibeenzuma oko muzina.
Natumaini kukuona karibuni na hapo tutazungumza ana kwa ana. Nakutakia amani. Rafiki zako wanakusalimu. Wasalimu rafiki zetu wote kila mmoja binafsi.

< 3 Joni 1 >