< 1 Ba Kkolinto 13 >

1 Nikuba kuti ndaambuula mundimi zyabantu azyabangelo. Pesi kuti kanditakwe luyando, nooli ndaba mulangu usabila naanka chisaka chichokola chokola.
Hata kama nikinena lugha za watu na hata za malaika, lakini kama sina upendo mimi nimekuwa tu kama sauti ya debe tupu au kengele.
2 Nikuba kuti ndachita chabusinsimi achakumvwisisisya toonse tusimpi tusisidwe aluzibo, mpawo akuba aaloonse lusyomo lwakunyampula zilundu. Pesi kuti kanditakwe luyando, nsichili chintu.
Tena, naweza kuwa na kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu, nikafahamu siri zote na kujua kila kitu; naweza kuwa na imani yote hata nikaweza kuihamisha milima, lakini kama sina upendo mimi si kitu.
3 Alubo nikuba kuti ndapa boonse buvubi bwangu kukusanina bafwaba, akuti ndapeda mubili wangu kukuyotetwa. Pesi kuti kanditakwe luyando, takwe nchindijana.
Nikitoa mali yangu yote na kuwapa maskini, na tena nikiutoa mwili wangu uchomwe, kama sina upendo hiyo hainifai chochote.
4 Luyando lulabulindizi amuuya. Luyando taluli munyono mpawo talulidundizyi. Talulisumpuli.
Mwenye upendo huvumilia, hufadhili; mwenye upendo hana wivu, hajidai, wala hajivuni.
5 Na chinguni. Talulilangilili chintu. Taluliniakidwe, na kulondola twaambo twabubi.
Mwenye upendo hakosi adabu, hatafuti faida yake binafsi, wala hana wepesi wa hasira; haweki kumbukumbu ya mabaya,
6 Talubotelwi mububi nakuti, kubotelwa mubwini.
hafurahii uovu, bali hufurahia ukweli.
7 Luyando lunyampula zyoonse zintu, lusyoma zyoonse zintu, lulangilila zyoonse zintu mpawo lulakakatila kuli zyoonse zintu.
Mwenye upendo huvumilia yote, huamini yote, na hustahimili yote.
8 Luyando talumani. Nikwali basinsimi, zyalinooyinda. Nikwali myaambo yalikuyoomana.
Upendo hauna kikomo kamwe. Kama kuna vipaji vya kutangaza ujumbe wa Mungu, hivyo vitatoweka siku moja; kama ni vipaji vya kusema lugha ngeni, vitakoma; kama kuna elimu, nayo itapita.
9 Nitwali luzibo, luyooyinda. Mbuli mbutuzi mubuche mpawo tusinsima mubuche.
Maana ujuzi wetu si kamili, na kipaji chetu cha kutangaza neno la Mungu si kamili.
10 Pesi eelyo bululami nibwaayoosika, oobo butazulilide buyooyinda.
Lakini kile kilicho kikamilifu kitakapofika, vyote visivyo vikamilifu vitatoweka.
11 Nindakachili munini, ndakalikwambuula mbuli munini, ndalikuyeya mbuli munini, ndalikubuzyania mbuli munini.
Nilipokuwa mtoto mchanga nilisema kitoto, nilifahamu kitoto, nilifikiri kitoto. Lakini sasa, maadam mimi ni mtu mzima, mambo ya kitoto nimeyaacha.
12 Nindakazooba mupati, ndakabikka kule zintu zyabunini. Mbuli mbutubona chakutilulama muchiboniboni, pesi kumeso akumeso. Lino ndizi mubuche, pesi eelyo ndiyooziba bumaninide mbuuli mbezibedwe bumaninide.
Tunachoona sasa ni kama tu sura hafifu katika kioo, lakini hapo baadaye tutaona uso kwa uso. Sasa ninajua kiasi fulani tu, lakini hapo baadaye nitajua yote kikamilifu, kama vile Mungu anavyonijua mimi.
13 Pesi lino eezi zintu zitatu zisyeede: Lusyomo, bulangilizi mpawo aluyando. Pesi chipati loko kuli Leza nduyando.
Sasa yanadumu haya matatu: imani, tumaini na upendo; lakini lililo kuu kupita yote ni upendo.

< 1 Ba Kkolinto 13 >