< Chakruok 28 >

1 Kuom mano Isaka noluongo Jakobo mogwedhe kendo osieme konyise niya, “Kik ikend nyar jo-Kanaan.
Isaka akamwita Yakobo, akambariki, na kumwagiza, “Usichukuwe mwanamke katika wanawake wa Kikanaani.
2 Chak wuoth idhi Padan Aram, e od Bethuel ma kwaru. Kend achiel kuom nyi Laban ma neru.
Inuka, nenda Padani Aramu, katika nyumba ya Bethueli baba wa mama yako, na uchukue mwanamke pale, mmojawapo wa binti za Labani, kaka wa mama yako.
3 Mad Nyasaye Maratego gwedhi kendo inyaa mi kwanu medre nyaka ubed oganda mathoth.
Mungu Mwenyezi na akubariki, akupe uzao na akuzidishe, hata uwe wingi wa watu.
4 Mad ogwedhi kod nyikwayi kaka nogwedho Ibrahim mondo ikaw piny makoro idakieni kaka jadak, ma en piny mane Nyasaye omiyo Ibrahim.”
Na akupe baraka ya Ibrahimu, wewe, na uzao wako baada yako, kwamba uweze kumilki nchi ambapo umekuwa ukiishi, ambayo Mungu alimpa Ibrahimu.”
5 Eka Isaka nogolo Jakobo modhi kendo Jakobo nodhi Padan Aram, ir Laban wuod Bethuel ja-Aram, owad gi Rebeka, mane min Jakobo kod Esau.
Hivyo Isaka akamwondoa Yakobo. Yakobo akaenda Padani Aramu, kwa Labani mwana wa Bethueli Mwaramu, kaka wa Rebeka, mama yao Yakobo na Esau.
6 Koro Esau nofwenyo ni Isaka osegwedho Jakobo kendo oseore Padan Aram mondo odhi okend kuno. Nowinjo bende ni kane Isaka gwedho Jakobo, nochike niya, “Kik ikend nyar jo-Kanaan.”
Basi Esau alipoona kwamba Isaka amembariki Yakobo na kumpeleka Padani Aramu, kuchukua mke kutoka pale. Lakini pia akaona kwamba Isaka alikuwa amembariki na kumwagiza, akisema, “Usichukue mke katika wanawake wa Kanaani.”
7 Mi Jakobo nowinjo wach min gi wuon modhi Padan Aram.
Esau pia akaona kwamba Yakobo alikuwa amemtii baba yake na mama yake, na alikuwa amekwenda Padani Aramu.
8 Esau nofwenyo kaka Isaka wuon mare ne ok mor gi nyi jo-Kanaan.
Esau akaona kwamba wanawake wa Kanaani hawakumpendeza Isaka baba yake.
9 Kuom mano Esau nodhi ir Ishmael mi okendo Mahalath nyamin Nebayoth mane nyar Ishmael wuod Ibrahim, mondo obed chiege ewi monde mane okwongo kendo.
Hivyo akaenda kwa Ishmaeli, na kuchukua, mbali na wake aliokuwa nao, Mahalathi binti Ishmaeli, mwana wa Ibrahimu, dada wa Nebayothi, kuwa mke wake.
10 Jakobo nowuok Bersheba kendo nodhi Haran.
Yakobo akatoka Beersheba na akaelekea Harani.
11 Kane ochopo kamoro, nobworo gotieno nikech chiengʼ nosepodho. Nonindo kanyo moteno wiye gi kidi moro mane okwanyo kanyo.
Akaja mahali fulani na akakaa pale usiku kucha, kwa kuwa jua lilikuwa limekuchwa. Akachukua mojawapo ya mawe katika eneo hilo, akaliweka chini ya kichwa chake, na akalala usingizi katika eneo hilo.
12 Noleko ni oneno ngas konyono piny to wiye ochopo e polo kendo malaika mag Nyasaye ne luwe kadhi malo kendo lor piny.
Akaota na kuona ngazi imewekwa juu ya nchi. Ncha yake ilifika hata mbinguni na malaika wa Mungu walikuwa wakishuka na kupanda juu yake.
13 To ewi ngasno gi malo Jehova Nyasaye nochungʼie kawacho niya, “An Jehova Nyasaye Nyasach wuonu Ibrahim kendo Nyasach Isaka. Piny minindoeni abiro miyi gi nyikwayi.
Tazama, Yahwe amesimama juu yake na kusema, “Mimi ni Yahwe, Mungu wa Ibrahimu baba yako, na Mungu wa Isaka. Nchi uliyolala juu yake, nitakupa wewe na uzao wako.
14 Nyikwayi nobed mangʼeny ka kwoyo, kendo unudag koa yo podho chiengʼ nyaka wuok chiengʼ, bende koa yo nyandwat nyaka yo milambo. Ogendini duto manie piny nogwedh kokadho kuomi kod nyikwayi.
Uzao wako utakuwa kama mavumbi ya ardhi, na utaenea mbali kuelekea magharibi, mashariki, kaskazini, na kusini. Kupitia kwako na kupitia uzao wako familia zote za dunia zitabarikiwa.
15 Anabed kodi kendo anariti kamoro amora ma idhiye nyaka adwoki e pinyni. Ok anaweyi nyaka chop atim mana ma asesingorani.”
Tazama, mimi nipo nawe, na nitakulinda kila uendako, Nitakurudisha katika nchi hii tena; kwani sitakuacha. Nitafanya kila nililokuahidi.”
16 Kane Jakobo ochiewo oa e nindo, noparo niya, “Adier Jehova Nyasaye nika kendo ne ok angʼeyo.”
Yakobo akaamka katika usingizi, na akasema, “Hakika Yahwe yupo mahali hapa, sikujua hili.”
17 Luoro nomake mi owacho niya, “Ma kama lich manade! Nyaka bedni ma en od Nyasaye; ma en dhoranga polo.”
Akaogopa na kusema, “Eneo hili linatisha kama nini! Hili sio kingine zaidi ya nyumba ya Mungu. Hili ni lango la mbinguni.”
18 Kinyne gokinyi mangʼich Jakobo nokawo kidi mane otenogo wiye kendo nochunge ka siro mi oolo mo e wiye.
Yakobo akaamka mapema asubuhi na akachukua jiwe alilokuwa ameliweka chini ya kichwa chake. Akaliweka kama nguzo na kumimina mafuta juu yake.
19 Nochako kanyo ni Bethel to kinde mokwongo nying dalano niluongo ni Luz.
Akapaita pale Betheli, lakini jina la kawaida la mji lilikuwa Luzu.
20 Eka Jakobo nokwongʼore kawacho niya, “Ka Nyasaye nobed koda kendo norita e wuodhani ma adhiye kendo miya chiemo ma achamo kod lewni ma arwako,
Yakobo akatoa nadhiri, kusema, “Ikiwa Mungu atakuwa nami na atanilinda katika njia nipitayo, na atanipa mkate wa kula, na mavazi ya kuvaa,
21 mi anadogi maber e od wuora eka Jehova Nyasaye nobed Nyasacha,
hata nikarudi salama katika nyumba ya baba yangu, ndipo Yahwe atakapokuwa Mungu wangu.
22 kendo kidi ma asechungo kaka sironi, nobed od Nyasaye kendo duto ma imiya, namiyi achiel kuom apar.”
Kisha jiwe hili nililoliweka kama nguzo litakuwa jiwe takatifu. Kutoka katika kila utakachonipa, kwa hakika nitakupa tena sehemu ya kumi.”

< Chakruok 28 >