< Salme 8 >

1 (Til sangmesteren. Al-haggittit. En salme af David.) HERRE, vor Herre, hvor herligt er dit Navn på den vide Jord du, som bredte din Højhed ud over Himlen!
Yahweh Bwana wetu, ni jinsi gani jina lako ni tukufu katika dunia yote, wewe ufunuaye utukufu wako juu mbinguni.
2 Af spædes og diendes Mund har du rejst dig et Værn for dine Modstanderes Skyld, for at bringe til Tavshed Fjende og Hævner.
Kutoka katika midomo ya watoto na vichanga umeumba sifa kwa sababu ya utukufu wako, ili kuwanyamazisha maadui wote na walipa kisasi wote.
3 Når jeg ser din Himmel, dine Fingres Værk, Månen og Stjernerne, som du skabte,
Ninapozitazama mbingu, ambazo vidole vyako vimeumba, mwezi na nyota, ambazo umeziweka kila mmoja katika nafasi yake,
4 hvad er da et Menneske, at du kommer ham i Hu, et Menneskebarn, at du tager dig af ham?
Binadamu ni nani hata umtazame, na watu hata uwajali wao?
5 Du gjorde ham lidet ringere end Gud. med Ære og Herlighed kroned du ham;
Umewaumba chini kidogo kuliko viumbe vya mbinguni na umewazunguka na utukufu na heshima.
6 du satte ham over dine Hænders Værk, alt lagde du under hans Fødder,
Umemfanya binadamu kutawala kazi ya mikono yako; umeviweka vitu vyote chini ya miguu yake:
7 Småkvæg og Okser til Hobe, ja, Markens vilde Dyr,
kondoo na ng'ombe wote, na hata wanyama wa porini,
8 Himlens Fugle og Havets Fisk, alt, hvad der farer ad Havenes Stier.
ndege wa angani, na samaki wa baharini, na vyote vipitavyo katika mikondo ya bahari.
9 HERRE, vor Herre, hvor herligt er dit Navn på den vide Jord!
Yahweh Bwana wetu, ni jinsi gani jina lako ni tukufu katika dunia yote!

< Salme 8 >