< 4 Mosebog 29 >

1 På den første Dag i den syvende Måned skal I holde Højtidsstævne, intet som helst Arbejde må I udføre; I skal fejre den som en Hornblæsningsdag.
Katika siku ya kwanza, ya mwezi wa saba, mtakuwa na kusanyiko takatifu la kumwabudu BWANA. Katika siku hiyo hamtafanya kazi zenu za kila siku. Itakuwa siku ya kupiga matarumbeta.
2 Da skal I som Brændoffer til en liflig Duft for HERREN ofre en ung Tyr, en Væder og syv årgamle Lam, lydefri Dyr;
Mtatoa sadaka ya kuteketezwa ya kufanya harufu nzuri kwa BWANA. Mtatoa sadaka ya fahari mchanga, kondoo dume mmoja na wanakondoo dume saba wa mwaka mmoja, kila mmoja mkamilifu.
3 som Afgrødeoffer dertil fint Hvedemel, rørt i Olie, tre Tiendedele Efa for Tyren, to Tiendedele for Væderen
Pamoja na hao mtatoa sadaka ya unga, unga mwembamba uliochanganywa na mafuta, sehemu tatu za kumi za efa kwa ajili ya huyo fahari, sehemu mbili za kumi kwa ajili ya huyo kondoo mume,
4 og en Tiendedel for hvert af de syv Lam;
na sehemu ya kumi ya kila hao wanakondoo waume saba.
5 desuden en Gedebuk som Syndoffer for at skaffe eder Soning;
Na mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi ili kufanya upatanisho kwa ajili yenu.
6 alt foruden Nymånebrændofferet med tilhørende Afgrødeoffer og det daglige Brændoffer med tilhørende Afgrødeoffer og Drikofre efter de derom gældende forskrifter, til en liflig Duft, et Ildoffer for HERREN.
Toeni hizo sadaka katika mwezi wa saba kama nyongeza ya sadaka mtakazotoa kila mwanzo wa kila mwezi: pamoja na sadaka maalumu za kuteketezwa na sadaka za unga. Hizi zitakuwa nyongeza za sadaka za kuteketezwa za kila siku, na sadaka zake za unga, na sadaka zake za vinywaji. Utakapokuwa ukiendelea na sadaka hizi, utakuwa ukitii kile kilichoamriwa kutoa harufu nzuri, sadaka iliyotengenezwa kwa moto kwa BWANA.
7 På den tiende dag i samme syvende Måned skal I holde Højtidsstævne, I skal faste og må intet som helst Arbejde udføre.
Siku ya kumi ya mwezi wa saba, mtakuwa na kusanyiko takatifu la kumwabudu BWANA. Mtajinyeneyekeza na hamtafanya kazi.
8 Da skal I som Brændoffer til en liflig duft for HERREN ofre en ung Tyr, en Væder og syv årgamle Lam, lydefri Dyr skal I tage,
Mtatoa sadaka ya kuteketezwa ili kutoa harufu nzuri kwa BWANA. Mtatoa fahari mmoja mchanga ili kutoa harufu nzuri, kondoo mmoja mume, na wanakondoo saba waume wa mwaka mmoja. Wote wakamilifu.
9 og som Afgrødeoffer dertil fint Hvedemel, rørt i Olie, tre Tiendedele Efa for Tyren, to Tiendedele for Væderen
Pamoja na sadaka hizo utatoa sadaka ya unga, unga mwembamba uliochanganywa na mafuta, sehemu tatu za kumi za efa kwa ajili ya fahari, sehemu mbili za kumi za kondoo dume mmoja,
10 og en Tiendedel for hvert af de syv Lam;
na sehemu ya kumi ya efa moja kwa kila mwanakondoo wale saba.
11 desuden en Gedebuk som Syndoffer; alt foruden Soningssyndoffe, det og det daglige Brændoffer med tilhørende Afgrødeoffer og Drikofre.
Mtatatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya upatanisho. Hii itakuwa sadaka ya nyongeza ya upatanisho, ya sadaka ya kila siku ya kuteketezwa, pamoja na sadaka za unga, na sadaka zake za vinywaji.
12 På den femtende Dag i den syvende Måned skal I holde Højtidsstævne, I må intet som helst Atbejde udføre, og I skal holde Højtid for HERREN i syv Dage.
Siku ya kumi na tano ya mwezi wa saba, mtakuwa na kusanyiko takatifu lakumwabudu BWANA. Siku hiyo hamtafanya kazi za kila siku, na mtazitunza hizo sikukuu kwa muda wa siku saba kwa ajili ya BWANA.
13 Da skal I som Brændoffer, som Ildoffer til en liflig Duft for HERREN ofre tretten unge Tyre, to Vædre og fjorten årgamle Lam, lydefri Dyr skal det være,
Mtatoa sadaka ya kuteketezwa, sadaka iliyotengenezwa kwa moto ilikutoa harufu nzuri kwa BWANA. Mtatoa mafahari wachanga kumi na tatu, kondoo waume wawili, na wanakondoo waume kumi na nne wa mwaka mmoja. Wote wakamilifu.
14 og som Afgrødeoffer dertil fint Hvedemel, rørt i Olie, tre Tiendedele Efa for hver af de tretten Tyre, to Tiendedele for hver af de to Vædre
Pamoja na hao mtatoa sadaka ya unga, unga mwembaba uliochanganywa na mafuta, sehemu tatu za kumi za efa kwa kila fahari katika hao kumi na tatu, sehemu mbili za kumi kwa kila hao kondoo dume wawili,
15 og en Tiendedel for hvert af de fjorten Lam;
na sehemu ya kumi ya efa ya hao wanakondoo kumi na nne.
16 desuden en Gedebuk som Syndoffer; alt foruden det daglige Brændoffer med tilhørende Afgrødeoffer og Drikoffer.
Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi katika nyongeza ya sadaka ya kuteketezwa, sadaka yake ya unga, pamoja na sadaka za vinywaji.
17 På den anden Dag skal I ofre tolv unge Tyre, to Vædre og fjorten årgamle Lam, lydefri Dyr,
Siku ya pili ya kusanyiko, mtatoa mafahari kumi na mbili, kondoo dume wawili na wanakondoo dume kumi na mbili wa umri wa mwaka mmoja, wote wakamilifu.
18 med tilhørende Afgrødeoffer og Drikofre for Tyrene, Vædrene og Lammene efter deres Tal på den foreskrevne Måde;
Pamoja nao mtatoa sadaka ya unga, na sadaka ya vinywaji kwa ajili ya wale mafahari, kondoo dume, na kwa ajili ya wale wanakondoo, mkitoa sadaka nyingi kama ilvyoamriwa.
19 desuden en Gedebuk som Syndoffer; alt foruden det daglige Brændoffer med tilhørende Afgrødeoffer og Drikoffer.
Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kuwa nyongeza ya sadaka za kila siku, sadaka yake ya unga, na sadaka zake za vinywaji.
20 På den tredje Dag skal I ofre elleve unge Tyre, to Vædre og fjorten årgamle Lam, lydefri Dyr,
Siku ya tatu ya kusanyiko, mtatoa sadaka mafahari kumi na moja, kondoo dume wawili, na wanakondoo dume kumi na nne wa umri wa mwaka mmoja, wakamilifu.
21 med tilhørende Afgrødeoffer og Drikofre for Tyrene, Vædrene og Lammene efter deres Tal på den foreskrevne Måde;
Pamoja na hizo sadaka mtatoa sadaka ya unga na sdaka ya vinywaji kwa wale mafahari, kwa wale kondoo dume, na kwa wale wanakondoo, utoe sadaka nyingi kama ilivyoamriwa.
22 desuden en Gedebuk som Syndoffer; alt foruden det daglige Brændoffer med tilhørende Afgrødeoffer og Drikoffer.
Mtatoa sadaka beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kama nyongeza ya zile sadaka za kila siku, na sadaka zake za unga, na sadaka zake za vinywaji.
23 På den fjerde Dag skal I ofre ti Tyre, to Vædre og fjorten årgamle Lam, lydefri Dyr,
Siku ya nne ya kusanyiko, mtatoa mafahari kumi, kondoo dume wawili, na wanakondoo dume kumi na nne wa mwaka mmoja, wakamilifu.
24 med tilhørende Afgrødeoffer og Drikofre for Tyrene, Vædrene og Lammene efter deres Tal på den foreskrevne Måde;
Pamoja na sadaka hizo mtatoa sadaka za unga na sdaka za vinywaji kwa wale mafahari, na kwa wale kondoo dume na kwa wale wanakodoo, mtatoa sadaka nyingi kama ilivyoamriwa.
25 desuden en Gedebuk som Syndoffer; alt foruden det daglige Brændoffer med tilhørende Afgrødeoffer og Drikoffer.
Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kuwa nyongeza ya sadaka za kuteketezwa za kila siku, sadaka zake za unga, na sadaka zake za vinywaji
26 På den femte Dag skal I ofre ni Tyre, to Vædre og fjorten årgamle Lam, lydefri Dyr,
Siku ya tano ya kusanyiko, mtatoa mafahari tisa, kondoo dume wawili, na wanakondoo dume kumi na nne wa mwaka mmoja, wakamilifu.
27 med tilhørende Afgrødeoffer og Drikofre for Tyrene, Vædrene og Lammene efter deres Tal på den foreskrevne Måde;
Pamoja na sadaka hizo mtatoa sadaka za unga na sadaka ya vinywaji kwa ajili ya wale mafahari, kondoo dume, na wale wanakondoo, mkitoa sdaka nyingi kama ilivyoamriwa.
28 desuden en Gedebuk som Syndoffer; alt foruden det daglige Brændoffer med tilhørende Afgrødeoffer og Drikoffer.
Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kama nyongeza ya sadaka za kuteketezwa za kila siku, na sadaka zake za unga, na sadaka za vinywaji.
29 På den sjette Dag skal I ofre otte Tyre, to Vædre og fjorten årgamle Lam, lydefri Dyr,
Siku ya sita ya kusanyiko, mtatoa mafahari wanane, kondoo dume wawili, na wanakondoo kumi na nne wa mwaka mmoja, wakamilifu.
30 med tilhørende Afgrødeoffer og Drikofre for Tyrene, Vædrene og Lammene efter deres Tal på den foreskrevne Måde;
Pamoja na sadaka hizo mtatoa sadaka za unga nasadaka za vinywaji kwa wale mafahari, kondoo wa dume na wale wanakondoo, mkitoa sadaka nyingi kama ilivyoamriwa.
31 desuden en Gedebuk til Syndoffer; alt foruden det daglige Brændoffer med tilhørende Afgrødeoffer og Drikoffer.
Mtatoa beberu kuwa sadaka ya dhambi kama nyongeza ya sadaka za kila siku za kuteketezwa, sadaka zadaka zake za unga, na sadaka zake za vinywaji.
32 På den syvende dag skal I ofre syv Tyre, to Vædre og fjorten årgamle Lam, lydefri Dyr,
Siku ya saba ya kusanyiko, mtatoa mafahari saba, kondoo dume saba, na wanakondoo dume kumi na nne wa mwaka mmoja, wakamilifu.
33 med tilhørende Afgrødeoffer og Drikofre for Tyrene, Vædrene og Lammene efter deres Tal på den foreskrevne Måde;
Pamoja nao mtataengeneza sadaka ya unga na sadaka ya vinywaji kwa ajili ya wale mafahari, na kondoo dume, na kwa wale wanakondoo, mkitoa sadaka nyingi kama ilivyoamriwa.
34 desuden en Gedebuk som Syndoffer; alt foruden det daglige Brændoffer med tilhørende Afgrødeoffer og Drikoffer.
Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kama nyongeza ya sadaka ya kuteketezwa ya kila siku, na sadaka yake ya unga, na sadaka yake ya vinywaji.
35 På den ottende Dag skal I holde festlig Samling, I må intet som helst Arbejde udføre.
Siku ya nane mtakuwa na kusanyiko lingine makini. Hamtafanya kazi zenu za kila siku.
36 Da skal I som Brændoffer, som Ildoffer til en liflig Duft for HERREN ofre en Tyr, en Væder og syv årgamle Lam, lydefri Dyr,
Mtafanya sadaka za kuteketezwa, sadaka iliyotengenezwa kwa moto ili kutoa harufu nzuri kwa BWANA. Mtatoa fahari mmoja, kondoo mmoja dume, na wanakondoo saba dume wa umri wa mwaka mmoja, wakamilifu.
37 med tilhørende Afgrødeoffer og Drikofre for Tyren, Væderen og Lammene efter deres Tal på den foreskrevne Måde;
Mtatoa sadaka zake za unga na sadaka zake za vinywaji kwa ajili ya yule fahari, kondoo dume, na kwa wale wanakondoo, mkifanya sadaka nyingi kadri ilivyoamriwa.
38 desuden en Gedebuk som Syndoffer; alt foruden det daglige Brændoffer med tilhørende Afgrødeoffer og Drikoffer.
Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kama nyongeza ya sadaka za kila siku, na sadaka zake za unga, na sadaka zake za vinywaji.
39 Disse Ofre skal I bringe HERREN på eders Højtider, bortset fra eders Løfte og Frivilligofre, hvad enten det nu er Brændofre, Afgrødeofre, Drikofre eller Takofre.
Hivi ndivyo utakavyotoa sadaka kwa BWANA katika sikukuu zenu za kila mwaka. Hivi vitakuwa nyongeza ya viapo vyenu na sadaka zenu za hiari. Mtavitoa hivi kama sadaka zenu za kuteketezwa, sadaka za unga, sadaka za vinywaji, na sadaka za amani.”
40 Og Moses talte til Israeliterne, ganske som HERREN havde pålagt Moses.
Musa aliwaambia wana wa Israeli kila kitu ambacho BWANA alikuwa amemwamuru kusema.

< 4 Mosebog 29 >