< 4 Mosebog 26 >

1 Efter denne Plage talede HERREN til Moses og Eleazar, Præsten Arons Søn, og sagde:
Ilitokea baada ya tauni ambayo BWANA alimwambia Musa na Eliazari mwana wa Haruni kuhani, Alisema,
2 "Hold Mandtal over hele Israeliternes Menighed fra Tyveårsalderen og opefter, Fædrenehus for Fædrenehus, alle våbenføre Mænd i Israel!"
Wahesabu watu wote wa Israeli, kuanzia miaka ishirini na zaidi, kwa jamaa ya familia zao wote ambao wanaweza kwenda kwenye vita kwa ajili ya Israeli.”
3 Da mønstrede Moses og Præsten Eleazar dem på Moabs Sletter ved Jordan over for Jeriko
Kwa hiyo Musa na Eliazari kuhani wakawaambia katika uwanda wa Moabu karibu na Yorodani kule Yeriko na kusema,
4 fra Tyveårsalderen og opefter, som HERREN havde pålagt Moses. Og Israeliterne, som var udvandret fra Ægypten, var følgende:
Wahesabuni watu, kuanzi umri wa miaka ishirini na zaidi kama BWANA alivyomwamuru Musa na watu wa Israeli walitoka katika nchi ya Misri.”
5 Ruben, Israels førstefødte; Rubens Sønner: Fra Hanok stammer Hanokiternes Slægt, fra Pallu Palluiternes Slægt,
Reubeni ndiye aliyekuwa wa kwanza, Kutoka kwa mwana wake Hanoki ulitokea ukoo wa Wahanoki. Kutoka kwa Palu ulitokea ukoo wa Wapalu.
6 fra Hezron Hezroniternes Slægt og fra Karmi Karmiternes Slægt.
Kutoka Hezroni. ulitokea ukoo wa Wahezroni. Kutoka kwa Kami ulitokea ukoo wa Wakami.
7 Det var Rubeniternes Slægter, og de af dem, som mønstredes, udgjorde 43730.
Hizi ndizo zilikuwa koo za uzao wa Reubeni, ambzo idadi yao ilikuwa wanaume 43, 730.
8 Pallus Søn var Eliab;
Eliabu alikuwa mwana wa Palu.
9 Eliabs Sønner: Nemuel, Datan og Abiram; det var den Datan og den Abiram, Menighedens udvalgte, som satte sig op imod Moses og Aron sammen med Koras Tilhængere, da de satte sig op imod HERREN;
Wana wa Eliabu walikuwa ni Nemueli, Dathani. na Abiramu. Hawa ni walewale Dathani na Abiramu waliomfuata Kora waliompinga Musa na Haruni na kumpinga BWANA.
10 og Jorden åbnede sit Gab og slugte dem sammen med Kora, da hans Tilhængere omkom, idet Ilden fortærede de 250 Mænd, og de blev et Tegn til Advarsel.
Pale ambapo dunia ilifungua kinywa na kuwameza pamoja na Kora wakati ambapo wafuasi wa Kora walikufa. Wakati ule, moto uliteketeza wanaume 250, amboa wlikuwa ishara ya onyo.
11 Men Koras Sønner omkom ikke.
Lakini uzao wa Kora haukufa.
12 Simeons Sønners Slægter var følgende: Fra Nemuel stammer Nemueliternes Slægt, fra Jamin Jaminiternes Slægt, fra Jakin Jakiniternes Slægt,
Ukoo wa uzao wa Simeoni walikuwa hawa wafuatao: Kutoka kwa Nemueli, ukoo wa Wanemueli, kwa Jamini, ukoo wa Wajamini, kwa Jakini, ukoo wa Wajakini,
13 fra Zera Zeraiternes Slægt og fra Sjaul Sjauliternes Slægt.
kwa Zera, ukoo wa Wazera, kwa Shauli, ukoo wa Washauli.
14 Det var Simeoniternes Slægter, 22200.
Hizi ndizo koo za uzao wa Simeoni, idadi yao ilikuwa wanaume 22, 200.
15 Gads Sønners Slægter var følgende: Fra Zefon stammer Zefoniternes Slægt, fra Haggi Haggiternes Slægt, fra Sjuni Sjuniternes Slægt,
Koo za uzao wa Gadi zilikuwa hizi: Kwa Zefoni, Ukoo wa Wazefoni, kwa Hagi, ukoo wa Wahagi, kwa Shuni, ukoo wa Washuni,
16 fra Ozni Ozniternes Slægt, fra Eti Eriternes Slægt,
kwa Ozini, ukoo wa Waozini, kwa Eri, ukoo wa Waeri,
17 fra Arod Aroditernes Slægt og fra Ar'eli Ar'eliternes Slægt.
kwa Arodi, ukoo wa Waarodi, kwa Areli, ukoo wa Waareli.
18 Det var Gads Sønners Slægter, de af dem, som mønstredes, 40500.
Hizi ndizo koo za uzao wa Gadi, idadi yao walikuwa wanaume 40, 500.
19 Judas Sønner var Er og Onan. men Er og Onan døde i Kana'ans Land.
Wana wa Yuda walikwa Er na Onani, lakini hawa walifia katika nchi ya Kanaani.
20 Judas Sønners Slægter var følgende: Fra Sjela sammer Sjelaniternes Slægt, fra Perez Pereziternes Slægt og fra Zera Zeraiternes Slægt;
Koo zingine za uzao wa Yuda zilikuwa hizi: Kwa Shela, ukoo wa Washela, kwa Perezi, ukoo wa Waperezi, na kwa Zera, ukoo wa Wazera.
21 Perezs Sønner: Fra Hezron stammer Heztoniternes Slægt og fra Hamul Hamuliternes Slægt.
Uzao wa Perezi walikuwa hawa: Kwa Hezroni, ukoo wa Wahezroni, kwa Hamuli, ukoo wa Wahamuli.
22 Det var Judas Slægter, de af dem, som mønstredes, 76500.
Hizi ndizo zilizokuwa koo za Yuda, idadi yao ilikuwa wanaume 76, 500.
23 Issakars Sønners Slægter var følgende: Fra Tola stammer Tolaiternes Slægt, fra Pua Puniternes Slægt;
Koo za uzao wa Isakari zilikuwa hizi: Kwa Tola, ukoo wa Watola, kwa Puva, ukoo wa Wapuva,
24 fra Jasjub Jasjubiternes Slægt og fra Sjimron Sjimroniternes Slægt.
kwa Jashubu, ukoo wa Wajashubu, kwa Shimroni, ukoo wa Washimroni.
25 Det var Issakars Slægter, de af dem, som mønstredes, 64 300.
Hizi ndizo zilikuwa koo za Isakari, Idadi yao ilikuwa wanaume 64, 300.
26 Zebulons Sønners Slægter var følgende: Fra Sered stammer Serediternes Slægt, fra Elon Eloniternes Slægt og fra Jale'el Jale'eliternes Slægt.
Koo za uzao wa Zabuloni zilikuwa hizi: Kwa Seredi, ukoo wa Waseredi, kwa Eloni, ukoo wa Waeloni, kwa Jahaleeli, ukoo wa Wajahaleeli.
27 Det var Zebuloniternes Slægter, de af dem, som mønstredes, 60 508
Hizi ndizo zilikuwa koo za Zabuloni, idadi y ao ilikuwa wanaume 60, 500.
28 Josefs Sønners Slægter var følgende: Manasse og Efraim;
Koo za uzao wa Ysufu zilikuwa Manase na Efraimu.
29 Manasses Sønner: Fra Makir stammer Makiriternes Slægt; Makir avlede Gilead, fra Gilead stammer Gijeaditernes Slægt;
Huu ndio uliokuwa uzao wa Manase: Kwa Machiri, ukoo wa Wamachiri (Machiri ndiye aliyekuwa baba wa Giliedi), kwa Giliedi, ukoo wa Wagiliedi.
30 Gileads Sønner var følgende: Fra Abiezer stammer Abiezriternes Slægt, fra Helek Helekiternes Slægt,
Wazo wa Giliedi walikuwa hawa wfuatao: Kwa Lezeri, ukoo wa Walezeri, kwa Helweki, ukoo wa Waheleki, kwa Asrieli,
31 fra Asriel Asrieliternes Slægt, fra Sjekem Sjekemiternes Slægt,
ukoo wa Asrieli wa Waasrieli, kwa Shekemu, ukoo wa Washekemu,
32 fra Sjemida Sjemidaiternes Slægt og fra Hefer Heferiternes Slægt;
kwa Shemida, ukoo wa Washemida, kwa Hefa, ukoo wa Wahefa.
33 men Zelofhad, Hefers Søn, havde ingen Sønner, kun Døtre; Zelofhads Døtre hed Mala, Noa, Hogla, Milka og Tirza.
Zelofehadi mwana wa Hefa hakuwa na watoto wa kiume bali alikuwa na mabinti. Majina ya binti zake yalikuwa Mahilahi, Noha, Hoglaha, Milika, na Tiriza.
34 Det var Manasses Slægter, og de af dem, som mønstredes, udgjorde 52700.
Hizi ndizo koo za Manase, idadi yao ilikuwa wanaume 52, 700.
35 Efraims Sønners Slægter var følgende: Fra Sjutela stammer Sjutelaiternes Slægt, fra Beker Bekeriternes Slægt og fra Tahan Tahaniternes Slægt;
Koo za wana wa uzao wa Efraimu zilikuwa hizi zifuatazo: Kwa Shuthelaha, ukoo wa Washutheleha, kwa Becheri, ukoo wa Wabecheri, kwa Tahana, ukoo wa Watahana.
36 Sjultelas Sønner var følgende: Fra Eran stammer Eraniternes Slægt.
Uzao wa Shuthelaha walikuwa, kwa Erani, ukoo wa Waerani.
37 Detvar Efraimiternes Slægter, de af dem, som mønstedes, 32500. Det var Josefs Sønners Slægter.
Hizi ndizo koo za uzao wa Efraimu, idadi yao ilikuwa wanaume 32, 500. Huu ndio uzao wa Yusufu, uliohesabiwa toka kila koo zao.
38 Benjamins Sønners Slægtervar følgende: Fra Bela stammer Belaiternes Slægt, fra Asjbel Asjbeliternes Slægt, fra Ahiram Ahiramiternes Slægt,
Koo za uzao wa Benjamini zilikuwa hizi zifuatazo: Kwa Bela ukoo wa Wabela, kwa Ashibeli, ukoo wa Washibeli, kwa Ahiramu, ukoo wa Wahiramu,
39 fra Sjufam Sjufamiternes Slægt og fra Hufam Hufamiternes Slægt.
kwa Shefufamu, ukoo wa Washefumamu, kwa Hufamu, ukoo wa Wahufamu.
40 Belas Sønner: Ard og Na'aman; fra Ard stammer Arditernes Slægt, fra Na'aman Na'amiteroes Slægt.
Wana wa Bela walikuwa ni Ardi na Naamani. Kutoka kwa Ardi ulijitokeza ukoo wa Waardi, na kutoka kwa Naamani ukajaitokeza ukoo wa Wanaamani.
41 Det var Benjamins Sønners Slægter, og de af dem, som mønstredes, udgjorde 45600.
Hizi ndizo koo za uzao wa Benjamini. Idadai yao ilikuwa wanaume 45, 600.
42 Dans Sønners Slægter var følgende: Fra Sjuham stammer. Sjuhamiternes Slægt. Det var Dans Slægter, Slægt for Slægt.
Kooo za uzao wa Dani zilikuwa hizi zifuatazo: Kwa Shuhamu, ukoo wa Washuhamu. Hizi ndizo koo za uzao wa Dani.
43 Alle Sjuhamiternes Slægter, de af dem, som mønstredes, udgjorde 64 400.
Idadi ya koo zote za Washuhamu ilikuwa wanaume 64, 400.
44 Asers Sønners Slægter var følgende: Fra Jimna stammer Jimniternes Slægt, fra Jisjvi Jisjviternes Slægt og fra Beri'a Beri'aiternes Slægt;
Koo za uzao wa Asheri zilikuwa zifuatazo: Kwa Imna, ukoo wa Waimna, kwa Ishvi, ukoo wa Waishivi, kwa Beria, ukoo wa Waberia.
45 fra Beri'as Sønner: Fra Heber stammer Hebriternes Slægt og fra Malkiel Malkieliternes Slægt.
Uzao wa Beria walikuwa hawa: Kwa Heberi, ukoo wa Waheberi, kwa Malikieli, ukoo wa Wamalikieli.
46 Asers Datter hed Sera.
Jina la binti wa Asheri lilikuwa Sera.
47 Det var Asers Sønners Slægter, og de af dem, som mønsttedes, udgjorde 53400.
Hizi ndizo koo za uzao wa Asheri, idadi yao ilikuwa wanaume 53, 400.
48 Naftalis Sønners Slægter var følgende: Fra Jaze'el stammer Jaze'eliternes Slægt, fra Guni Guniternes Slægt,
Koo za uzao wa Naftali zilikuwa zifuatazo: Kwa Jahazeeli, ukoo wa Wajahazeel, kwa Guni, ukoo wa Waguni,
49 fra Jezer Jezeriternes Slægt og fra Sjillem Sjillemiternes Slægt,
kwa Jezeri, ukoo wa Wajezeri, kwa Shilemu, ukoo wa Washilemu.
50 Det var Naftalis Slægter, Slægt for Slægt, og de af dem, som mønstredes, udgjorde 45400.
Hizi ndizo zilizokuwa koo za uzao wa Naftali, idadi yao walikuwa wanaume 45, 000.
51 Det var dem af Israeliterne, som mønstredes, 601730.
Hii ndiyo iliyokuwa jumla kuu ya wanaume wa Israeli: 601, 730.
52 HERREN talede fremdeles til Moses og sagde:
BWANA akanena na Musa akamwambia,
53 Til dem skal Landet udskiftes til Arv og Eje efter de optalte Navne.
Ile ardhi itagawanywa kati ya wanaume hawa kama urithi wao kwa kufuata idadi ya majina yao.
54 En stor Stamme skal du give en stor Arvelod, en lille Stamme en lille; enhver af dem skal der gives en Arvelod efter Tallet på de mønstrede i den.
Kwa zile koo kubwa utawagawia urithi mkubwa, na kwa koo ndogo ndogo utawagawia urithi kidogo. Kwa kila familia utawapa urithi kufuata idadi ya wanaume waliohesabiwa.
55 Dog skal Landet udskiftes ved Lodkastning; de skal have deres Arvelodder efter Navnene på deres fædrene Stammer;
Lakini ardhi itagawiwa kwa kupigiwa kura. Watairithi nchi kama itakavyogawiwa kwa kufuata koo za mababu.
56 ved Lodkastning skal enhver Stamme, stor eller lille, have sin Arvelod tildelt.
Urithi huu utagiwiwa kufuata koo kubwa na ndogo, watagawiwa kwa kufuata kura zitakavyokuwa.
57 Følgende er de af Leviterne, der mønstredes, Slægt for Slægt: Fra Gerson stammer Gersoniternes Slægt, fra Kehat Kehatiternes Slægt og fra Merari Merariternes Slægt.
Koo za Walawi, zilizohesabiwa kwa kufuata ukoo kwa ukoo, walikuwa hivi: Kwa Gerishoni, ukoo wa Wagerishoni, kwa Kohathi, ukoo wa Wakohathi, kwa Merari, ukoo wa Wamerari.
58 Følgende er Levis Slægter: Libniternes Slægt, Hebroniternes Slægt, Maliternes Slægt, Musjiternes Slægt og Koraiternes Slægt. Kehat avlede Amram.
Koo za walawi zilikuwa hzi: ukoo wa Walibni, Ukoo wa Wahebroni, ukoo wa Wamahali, ukoo wa Wamushi, na ukoo wa Wakora. Kohathi alikuwa wa uzao wa Amramu.
59 Amrams Hustru hed Jokebed, Levis Datter, som fødtes Levi i Ægypten; hun fødte for Amram Aron, Moses og deres Søster Mirjam.
Jina la mke wa Amramu lilikuwa Jokibed, wa ukoo wa Lawi, aliyekuwa amezaliwa kwa Walawi kule Misri. Alimzalia Amramu watoto wao, ambao walikuwa ni Haruni, Musa, na Miriamu dada yao.
60 For Aron fødtes Nadab, Abihu, Eleazar og Itamar.
Kwa Haruni alizaliwa Nadabu na Abihu, Eliazari na Ithamari.
61 Men Nadab og Abihu omkom, da de frembar fremmed Ild for HERRENs Åsyn.
Nadabu na Abihu walikufa walipotoa sadaka kwa BWANA sadaka ya moto isiyokubalika.
62 De af dem, der mønstredes, udgjorde 23000, alle af Mandkøn fra en Måned og opefter. De mønstredes nemlig ikke sammen med de andre Israeliter, da der ikke var givet dem nogen Arvelod blandt Israeliterne.
Waume walioheabaiwa miionigoni mwao walikuwa elfu ishirini na tatu, hawa nia wale wa umri wa mwezi mmoja na zaidi. Lakini hawakuhesabiwa kati ya wazawa wa Israeli kwa sababu hawakupewa urithi miongoni mwa wana wa Israeli.
63 Det var dem, der mønstredes af Moses og Præsten Eleazar, da disse mønstrede Israeliterne på Moabs Sletter ved Jordan over for Jeriko.
Hawa nadio wale walihesabiwa na Musa na Eliazari kuhani. Waliwahesabu watu wa Israeli katika uwanda wa Moabu karibu na Yorodani kule Yeriko.
64 Blandt dem var der ingen, som var mønstret af Moses og Præsten Aron, da de mønstrede Israeliterne i Sinaj Ørken;
Lakini miongoni mwa hawa hapakuwa na mwanamume aliyehasabiwa na Musa na Haruni kuhani wakati wana wa uzao wa Israeli walipohesabiwa katika jangwa la Sinai.
65 thi HERREN havde sagt til dem, at de skulde dø i Ørkenen. Derfor var der ingen tilbage af dem undtagen Kaleb, Jetunnes Søn, og Josua, Nuns Søn.
Kwa BWANA alikuwa amesema kuwa kwa hakika watu hao wote wangefia jangwani. Hapakuwa na mtu aliyebaki miongoni mwao, isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune na Joshua mwana wa Nuni.

< 4 Mosebog 26 >