< 3 Mosebog 24 >

1 HERREN talede fremdeles til Moses og sagde:
Yahweh akamwambia Musa, akisema,
2 Byd Israeliterne at skaffe dig ren Olivenolie af knuste Frugter til Lysestagen, så Lamperne daglig kan sættes på.
“Waamru watu wa Israeli wakuletee mafuta halisi yaliyokamliwa kutokana na mizeituni ili yatumike kwenye taa, ili kwamba taa ziweze kuwaka daima na kuleta mwanga.
3 I Åbenbaringsteltet uden for Forhænget foran Vidnesbyrdet skal Aron gøre den i Stand, så den bestandig kan brænde fra Aften til Morgen for HERRENs Åsyn. Det skal være eder en evig gyldig Anordning fra Slægt til Slægt;
Nje ya pazia lililoko mbele ya sanduku la maamzi ndani ya hema la kukutania, Aroni ataiwasha daima taa mbele za Yahweh, tangu asubuhi hata jioni. Hii itakuwa amri ya kudumu katika vizazi vyote vya watu wenu.
4 på Guldlysestagen skal han holde Lamperne i Orden for HERRENs Åsyn, så de kan brænde bestandig.
Kuhani mkuu atazifanya taa ziwake daima mbele za Yahweh, taa hizo zilizo kwenye kinara cha dhahabu safi.
5 Du skal tage fint Hvedemel og bage tolv Kager, to Tiendedele Efa til hver Kage,
Yawapasa kuchukua unga laini na kuoka kwa huo mikate kumi na miwili. Ni lazima kuwe na mbili za kumi za efa za unga katika kila mkate.
6 og lægge dem i to Rækker, seks i hver Række, på Guldbordet for HERRENs Åsyn;
Kisha mtaipanga juu ya meza ya dhahabu safi mbele za Yahweh katika safu mbili, mikate sita katika kila safu,
7 på hver Række skal du lægge ren Røgelse, og den skal være Brødenes Offerdel, et Ildoffer for HERREN.
Mtaweka uvumba safi kando ya kila safu ya mikata kuwa sadaka ya kuwakilisha. Uvumba huo utachomwa kwa moto kwa ajili ya Yahweh.
8 Han skal bestandig hver Sabbatsdag lægge dem frem for HERRENs Åsyn; det skal være Israeliterne en evig Pagtspligt.
Kila siku ya Sabato kuhani mkuu sharti aipange kwa utaratibu hiyo mikate mbele za Yahweh kwa niaba ya watu wa Israeli, iwe ishara ya agano la milele.
9 De skal tilfalde Aron og hans Sønner, som skal spise dem på et helligt Sted, thi de er højhellige; ham tilfalder de som en evig, retmæssig Del af HERRENs Ildofre.
Sadaka hii itakuwa kwa ajili ya Aroni na wanawe, na ni lazima waile mahali palipo patakatifu, kwa kuwa ni sehemu ya matoleo kwa Yahweh yaliyofanywa kwa moto.”
10 En israelitisk Kvindes Søn, hvis Fader var Ægypter, gik ud blandt Israeliterne. Da opstod der Strid i Lejren mellem den israelitiske Kvindes Søn og en Israelit,
Sasa ilitokea kwamba mwana wa mwanamke Mwisraeli, ambaye baba yake alikuwa Mmisri, alikwenda miongoni mwa watu wa Israeli. Huyu mwana wa mwanamke Mwisraeli akagombana na mwanume Mwisraeli kambini.
11 og den israelitiske Kvindes Søn forbandede Navnet og bespottede det. Da førte man ham til Moses. Hans Moder hed Sjelomit, en Datter af Dibri af Dans Stamme.
Mwana wa mwanamke Mwisraeli akalikufuru jina la Yahweh na kumlaani Mungu, kwa hiyo watu wakamleta kwa Musa. Jina la mama yake aliitwa Shelomithi, binti wa Dibri, kutoka kabila la Dani.
12 Og de satte ham i Varetægt for at få en Kendelse af HERRENs Mund.
Wakamweka kizuizini mpaka Yahweh mwenyewe atakapotangaza mapenzi yake kwao.
13 Og HERREN talede til Moses og sagde:
Kisha Yahweh akamwambia Musa,
14 Før Spotteren uden for Lejren. og alle de, der hørte det, skal lægge deres Hænder på hans Hoved, og derefter skal hele Menigheden stene ham.
“Mchukue nje ya kambi huyo aliyemlaani Mungu. Wale wote waliomskia wataweka mikono yao juu ya kichwa chake, na kisha kusanyiko lote watamponda kwa mawe.
15 Og du skal tale til Israeliterne og sige: Når nogen bespotter sin Gud, skal han undgælde for sin Synd;
Ni lazima uwaeleze watu wa Israeli na kusema, 'Yeyote anayemlaani Mungu wake imempasa kubeba hatia yake mwenyewe.
16 og den, der forbander HERRENs Navn, skal lide Døden; hele Menigheden skal stene ham; en fremmed såvel som en indfødt skal lide Døden når han forbander Navnet.
Yeye anayelikufuru jina la Yahweh kwa hakika ni lazima auawe. Hakika, kusanyiko lote litampiga mawe, ama awe mgeni au Mwisraeli mwenyeji mzaliwa. Ikiwa yeyote analikufuru jina la Yahweh, ni lazima auawe.
17 Når nogen slår et Menneske ihjel, skal han lide Døden.
Naye amuuaye mtu mwingine ni lazima kwa hakika auewa.
18 Den, der slår et Stykke Kvæg ihjel, skal erstatte det et levende Dyr for et levende Dyr.
Yeye anayemuua mnyama wa mwingine sharti amfidie, uhai kwa uhai.
19 Når nogen tilføjer sin Næste Legemsskade, skal der handles med ham, som han har handlet,
Iwapo mtu anamjeruhi jirani yake, ni lazima atendewe vivyo hivyo alivyomtendea jirani yake:
20 Brud for Brud, Øje for Øje, Tand for Tand; samme Skade, han tilføjer en anden, skal tilføjes ham selv.
Mvunjiko kwa mvunjiko, jicho kwa jicho, jino kwa jino. Kama amesababisha jeraha kwa mtu, ndivyo ipasavyo kutendwa kwake.
21 Den, der slår et Stykke Kvæg ihjel, skal erstatte det; men den, der slår et Menneske ihjel, skal lide Døden.
Yeyote auaye mnyama ni lazima amfidie, na yeyote auaye mtu ni lazima auawe.
22 En og samme Ret skal gælde for eder; for den fremmede såvel som for den indfødte; thi jeg er HERREN eders Gud!
Ni lazima mwe na sheria moja kwa wote, mgeni na Mwisraeli mwenyeji mzaliwa, kwa kuwa Mimi ndimi Yahweh Mungu wanu.”
23 Og Moses sagde det til Israeliterne, og de førte Spotteren uden for Lejren og stenede ham; Israeliterne gjorde som HERREN havde pålagt Moses.
Kwa hiyo Musa akazungumza na watu wa Israeli, nao watu wakamleta mwanaume huyo nje ya kambi, yule ambaye alikuwa amemlaani Yahweh. Wakampiga kwa mawe. Watu waisraeli wakaitekeleza amri ya Yahweh aliyoitoa kupitia Musa.

< 3 Mosebog 24 >