< Job 29 >

1 Og Job vedblev at fremsætte sit Tankesprog:
Ayubu akaendelea na kusema,
2 Ak, havde jeg det som tilforn, som dengang Gud tog sig af mig,
Ee, ningekuwa kama nilivyokuwa miezi iliyopita wakati Mungu aliponiagalia,
3 da hans Lampe lyste over mit Hoved, og jeg ved hans Lys vandt frem i Mørke,
taa yake ilipowaka kichwani pangu, na pale nilipotembea gizani kwa nuru yake.
4 som i mine modne År, da Guds Fortrolighed var over mit Telt,
Ee, kwamba ningekuwa kama nilivyokuwa katika siku za ujana wangu uhusiano wangu na Mungu ulivyokuwa mzuri,
5 da den Almægtige end var hos mig og mine Drenge var om mig,
wakati Mwenyezi alipokuwa pamoja nami, na wanangu walipokuwa karibu nami,
6 da mine Fødder vaded i Fløde, og Olie strømmede, hvor jeg stod,
wakati maisha yangu yalipokuwa yamejawa na utele, na mwamba uliponichuruzishia chemichemi za mafuta.
7 da jeg gik ud til Byens Port og rejste mit Sæde på Torvet.
Nilipokwenda langoni mwa mji, nilipokaa katika eneo la mji,
8 Når Ungdommen så mig, gemte deo sig, Oldinge rejste sig op og stod,
vijana waliniona na walikaa mbali kwa kuniheshimu, na wazee waliinuka na kusimama kwa ajili yangu.
9 Høvdinger standsed i Talen og lagde Hånd på Mund,
Wana wa mfalme waliacha kuongea nilipofika; wangeweka mkono wao katika vinywa vyao.
10 Stormænds Røst forstummed, deres Tunge klæbed til Ganen;
Sauti za waheshimiwa zililazimishwa, na ndimi zao hazikuweza kuongea vinywani mwao.
11 Øret hørte og priste mig lykkelig, Øjet så og tilkendte mig Ære.
Kwani baada ya kunisikia, wangenibariki; waliponiona, wangeniona na kuniheshimu
12 Thi jeg redded den arme, der skreg om Hjælp, den faderløse, der savned en Hjælper;
kwa maana nilikuwa nikiwasaidia masikini waliokuwa wakiteseka, na yatima, asiye na msaada.
13 den, det gik skævt, velsignede mig, jeg frydede Enkens Hjerte;
Baraka zao waliokuwa karibu kuangamia zilinipata; niliufanya moyo wa mjane kuimba kwa furaha.
14 jeg klædte mig i Retfærd, og den i mig, i Ret som Kappe og Hovedbind.
Nilijivika utakatifu, nao ulinifunika; haki yangu ilikuwa kama kanzu na kilemba.
15 Jeg var den blindes Øje, jeg var den lammes Fod;
Niliwasaidia vipofu; niliwasaidia walemavu.
16 jeg var de fattiges Fader, udreded den mig ukendtes Sag;
Niliwasaidia wahitaji; niliwasaidia hata wasionijua.
17 den lovløses Tænder brød jeg, rev Byttet ud af hans Gab.
Nilimnyamazisha mwovu; nilimpokonya manusura kutoka katika meno yake.
18 Så tænkte jeg da: "Jeg skal dø i min Rede, leve så længe som Føniksfuglen;
Kisha nilisema nitakufa mahali salama; nitazizidisha siku zangu kama mchanga.
19 min Rod kan Vand komme til, Duggen har Nattely i mine Grene;
Mizizi yangu imeenea majini, na umande kukaa usiku wote katika matawi yangu.
20 min Ære er altid ny, min Bue er altid ung i min Hånd!"
Heshima yangu ni mpya daima, na nguvu za upinde wangu zipo katika mkono wangu kila wakati.
21 Mig hørte de på og bied, var tavse, mens jeg gav Råd;
Watu walinisikiliza; walinisubiri; walisikiliza ushauri wangu.
22 ingen tog Ordet, når jeg havde talt, mine Ord faldt kvægende på dem;
Nilipo maliza kuongea hawakunena tena, maneno yangu yaliwatia nguvu kama mvua.
23 de bied på mig som på Regn, spærred Munden op efter Vårregn.
Waliningoja kama kungoja mvua; waliyathamini maneno yangu, kama walivyotamani mvua iliyokawia.
24 Mistrøstige smilte jeg til, mit Åsyns Lys fik de ej til at svinde.
Niliwafurahia bila wao kutarajia; hawakukataa uzuri wa uso wangu.
25 Vejen valgte jeg for dem og sad som Høvding, troned som Konge blandt Hærmænd, som den, der gav sørgende Trøst.
Nilikuwa kama mfalme wao na kuwachagulia cha kufanya; nilikuwa kama mfalme katika jeshi lake, kama awafarijiye waombolezaji mazishini.

< Job 29 >