< Efezským 2 >

1 I vy jste kdysi byli pod kletbou, navždy odděleni od Boha svými hříchy.
Kama vile mlivyo kuwa mmekufa katika makosa na dhambi zenu.
2 Stejně jako všichni ostatní jste podléhali moci nepřátelské Bohu, která se rozprostírá nad světem a dosud je činná v lidech, kteří se Bohu vzpírají. (aiōn g165)
Ilikuwa katika haya kwamba kwanza mlienenda kulingana na nyakati za ulimwengu huu. Mlikuwa mkienenda kwa kufuata mtawala wa mamlaka ya anga. Hii ndiyo roho yake yule afanyaye kazi katika wana wa kuasi. (aiōn g165)
3 Právě takoví jsme bývali i my. Žili jsme si dle vlastní libosti, pro své vlastní sobecké zájmy a tak jsme propadli Božímu trestu jako všichni ostatní.
Sisi wote hapo mwanzo tulikuwa miongoni mwa hawa wasioamini. Tulikuwa tukitenda kwa namna ya tamaa mbaya za miili yetu. Tulikuwa tukifanya mapenzi ya mwili na ufahamu wetu. Tulikuwa kwa asili wana wa ghadhabu kama wengine.
4 Ale Bůh tak nekonečně milosrdný, miloval nás do té míry,
Lakini Mungu ni mwingi wa rehema kwa sababu ya pendo lake kubwa alilotupenda sisi.
5 že vzkřísil Krista, a tak nás, navždy ztracené pro naše hříchy, obdaroval novým životem. Jen Boží dobrotě máme co děkovat za tuto záchranu!
Wakati tulipokuwa wafu katika makosa yetu, alituleta pamoja katika maisha mapya ndani ya Kristo. Ni kwa neema kwamba mmeokolewa.
6 Když vzkřísil Ježíše, vzkřísil s ním i nás, a když ho vyvýšil až do nebe, vyvýšil tam i nás.
Mungu alitufufua pamoja na kutufanya kukaa pamoja katika mahali pa mbingu ndani ya Kristo Yesu.
7 A teď může komukoliv předložit důkaz své přebohaté dobroty, patrné v tom, co pro nás Kristovým prostřednictvím vykonal. (aiōn g165)
Alifanya hivi ili katika nyakati zijazo aweze kutuonesha utajiri mkuu wa neema yake. Hutuonesha sisi hili kwa njia ya wema wake ndani ya Kristo Yesu. (aiōn g165)
8 Je to skutečně milost, že jste zachráněni. Sami k tomu nemůžete přidat nic, než že s důvěrou přijmete, co Bůh pro vás učinil.
Kwa neema mmeokolewa kwa njia ya imani. Na hii haikutoka kwetu. Ni zawadi ya Mungu.
9 Na své záchraně nemáte vlastní zásluhy. Je to Boží dar. Sami nemáme nic, s čím bychom se před Bohem mohli pochlubit.
Haitokani na matendo. Matokeo yake, asiwepo mmoja wapo wa kujisifu.
10 On sám z nás udělal to, co jsme, a schopnost k dobrým skutkům jsme rovněž dostali od něho. Proto je od nás samozřejmě právem očekává.
Kwa sababu sisi tu kazi ya Mungu, tumeumbwa katika Kristo Yesu kutenda matendo mema. Ni matendo haya ambayo Mungu aliyapanga tangu zamani za kale kwa ajili yetu, ili tutembee katika hayo.
11 Pomyslete na to, čím jste kdysi byli. Pocházíte z národů, které židé pokládali za bezbožné a nečisté.
Kwa hiyo kumbukeni kwamba hapo zamani mlikuwa watu wa Mataifa kwa jinsi ya mwili. Mnaitwa “msio na tohara” kwa kile kinachoitwa tohara ya mwili inayofanywa kwa mikono ya binadamu.
12 S Kristem jste neměli nic společného, nevztahovala se na vás žádná zaslíbení daná vyvolenému národu, nebyla pro vás tudíž naděje. Bůh pro vás neexistoval.
Kwa wakati huo mlikuwa mmetengwa na Kristo. Mlikuwa wageni kwa watu wa Israel. Mlikuwa wageni kwa agano la ahadi. Hamkuwa na uhakika wa wakati ujao. Mlikuwa bila Mungu katika ulimwengiu.
13 Nyní se situace zcela změnila: co pro vás dříve bylo nedosažitelné, to vám Kristovou zásluhou patří stejně, jako byste odjakživa k vyvoleným patřili.
Lakini sasa katika Kristo Yesu ninyi ambao hapo mwanzo mlikuwa mbali na Mungu mmeletwa karibu na Mungu kwa damu ya Kristo.
Kwa maana yeye ndiye amani yetu. Alifanya wawili kuwa mmoja. Kwa mwili wake aliuharibu ukuta wa utengano ambao ulikuwa umetutenganisha, huo uadui.
15 Kristus spojil to, co bylo nesmiřitelně rozděleno přehradou židovských zákonů, která dělila svět na dva tábory. Kristovou smrtí tato zeď padla a oba tábory, až dosud nepřátelské, byly spojeny v jednu Boží rodinu, v jedno tělo a tak konečně zavládl mír.
Kwamba alikomesha sheria ya amri na kanuni ili kwamba aumbe mtu mmoja mpya ndani yake. Akafanya amani.
16 Ježíšův kříž obě strany smířil s Bohem, a tak zmizelo i vzájemné nepřátelství. Proto teď máme možnost všichni předstupovat před Boha Otce.
Alifanya hivi ili kuwapatanisha makundi mawili ya watu kuwa mwili mmoja kwa Mungu kupitia msalaba. Kwa njia ya msalaba aliufisha uadui.
Yesu alikuja na kutangaza amani kwenu ninyi mliokuwa mbali na amani kwao wale waliokuwa karibu.
Kwa maana kwa njia ya Yesu sisi wote wawili tuna nafasi kwa yule Roho mmoja kuingia kwa Baba.
19 Nemusíte se už cítit jako vetřelci a přivandrovalci do Božího domu, jste plnoprávnými členy jeho rodiny.
Hivyo basi, ninyi watu wa mataifa si wasafiri na wageni tena. Bali ni wenyeji pamoja na wale waliotengwa kwa ajili ya Mungu na wajumbe katika nyumba ya Mungu.
20 Proroci a apoštolové jsou základem, na němž stojíte; jeho ústředním kamenem je ovšem Kristus.
Mmejengwa juu ya msingi wa mitume na manabii. Kristo Yesu mwenyewe alikuwa jiwe kuu la pembeni.
21 On spojuje všechny své věrné v jeden duchovní chrám
Katika yeye jengo lote limeungamanishwa pamoja na kukua kama hekalu ndani ya Bwana.
22 a vy také spoluvytváříte tento Boží příbytek.
Ni ndani yake ninyi nanyi mnajengwa pamoja kama mahali pa kuishi pa Mungu katika Roho.

< Efezským 2 >