< 1 Ljetopisa 8 >

1 Benjamin rodi prvenca Belu, drugog Ašbela, trećeg Ahraba,
Wana watano wa Benjamini walikuwa Bela mwana wake wa kwanza, Asibeli, Ahara,
2 četvrtog Nohu i petog Rafu.
Noha, na Rafa.
3 Belini su sinovi bili: Adar, Gera, Ehudov otac,
Wana wa Bela walikuwa Adari, Gera, Abihudi,
4 Abišua, Naaman, Ahoah,
Abishau, Naamani, Ahoa,
5 Gera, Šefufan i Huram.
Gera, Shefufani, na Huramu.
6 Oni su bili Ehudovi sinovi i bili su obiteljski glavari onima koji su živjeli u Gebi, odakle su ih odveli u sužanjstvo u Manahat;
Hawa walikuwa uzao wa Ehudi ambao walikuwa vichwa vya koo kwa wakazi wa Geba, ambao walihimizwa kuhamia Manahati:
7 Naaman, Ahija i Gera; on ih je vodio u sužanjstvo i rodio Uzu i Ahihuda.
Naamani, Ahijahi, na Gera. Wa mwishi, Gera, aliwaongoza katika kuhama. Alikuwa baba wa Uza na Ahihudi.
8 Šaharajim, pošto je otpustio žene Hušimu i Baru, dobio je sinove u Moapskom polju:
Shaharaimu akawa baba wa watoto katika ardhi ya Moabu, baada ya kuwatariki wake zake Hushimu na Baara.
9 sa svojom ženom Hodešom imao je sinove Jobaba, Sibju, Mešu, Malkama,
kwa mke wake Hodeshi, Shaharaimu akawa baba wa Yobabu, Zibia, Mesha, Malkamu,
10 Jeusa, Sakju i Mirmu; to su bili njegovi sinovi, obiteljski glavari.
Yeuzi, Shachia, na Mirima. Hawa walikuwa wana wake, viongozi katika koo zao.
11 S Hušimom je rodio Abituba i Elpaala.
Alikwisha kuwa baba wa Abitubi, na Elipaali kwa Hushimu.
12 Elpaalovi su sinovi bili: Eber, Mišam i Šamed; on je sagradio Ono i Lod s njihovim selima.
Wana wa Elipaali walikuwa Eba, Mishamu, na Shemedi ( ambao walijenga Ono na Lod pamoja na vijiji vilivyozunguka.)
13 Zatim Berija i Šema. Oni su bili obiteljski glavari onima koji su živjeli u Ajalonu i istjerali su gatske stanovnike.
Pia walikuwako Beria na Shema. Walikuwa vichwa vya koo walizoishi Aijalon, Ambao waliwaondoa wakazi wa Gati.
14 Njegov brat: Šešak. Jeremot,
Beria alikuwa na wana watatu: Ahio, Shashaki, Jeremothi,
15 Zabadja, Arad i Eder,
Zebadia, Aradi, Eda,
16 Mihael, Jišpa i Joha bili su Berijini sinovi.
Mikaeli, Ishipa, na Joha.
17 Zebadja, Mešulam, Hizki, Haber,
Elipaa alikuwa na wana hawa: Zebadia, Meshulamu, Hiziki, Heba,
18 Jišmeraj, Jizlia i Jobab bili su Elpaalovi sinovi.
Ishimerai, Izilia, na Yobabu.
19 Jakim, Zikri, Zabdi,
Shimei alikuwa na wana hawa: Yokimu, Zikri, Zabdi,
20 Elijoenaj, Siltaj, Eliel,
Elienai, Zilletai, Elieli,
21 Adaja, Beraja i Šimrat bili su Šimijevi sinovi.
Adaia, Beraia, na Shimrati.
22 Jišpan, Eber, Eliel,
Shashaki alikuwa na wana hawa: Ishipani, Eba, Elieli,
23 Abdon, Zikri, Hanan,
Abdoni, Zikri, Hanani,
24 Hananija, Elam, Antotija,
Hanania, Elamu, Antotoja,
25 Jifdeja, Fenuel bili su Šešakovi sinovi.
Ifdeia, na Penueli.
26 Šamšeraj, Šeharja, Atalija,
Yerohamu alikuwa na wana hawa: Shamsherai, Sheharia, Atli,
27 Jaarešja, Elija i Zikri bili su Jerohamovi sinovi.
Yaareshia, Elija, na Zikri.
28 To su bili glavari obitelji svrstanih po koljenima. Živjeli su u Jeruzalemu.
Hawa walikuwa vichwa vya koo na viongozi walioishi Yerusalemu.
29 U Gibeonu su živjeli: praotac Gibeon, čija se žena zvala Maaka.
Baba wa Gibeoni, Jeieli, ambaye mke wake aliitwa Maaka, aliishi ndani ya Gibeoni.
30 Njegov je sin prvenac bio Abdon, pa Sur, Kiš, Baal, Nadab,
Uzao wake wa kwanza alikuwa Abdoni, akafatia Zuri, Kishi, Baali, Nadab,
31 Gedor, Ahjo, Zaker,
Gedori, Ahio, na Zekari.
32 i Miklot, koji je rodio Šimu; pa su i oni živjeli kod svoje braće u Jeruzalemu, sa svojom braćom.
Mwana mwingine wa Yeieli alikuwa Mikloti, ambaye akaja kuwa baba wa Shimea. Pia wanaishi karibu na ndugu zao Yerusalemu.
33 Ner rodi Kiša, a Kiš rodi Šaula, Šaul rodi Jonatana, Malki-Šua, Abinadaba, Ešbaala,
Neri alikuwa baba wa Kishi. Kishi alikuwa baba wa Sauli. Sauli alikuwa baba wa Yonathani, Malkishua, Abinadabu, na Ishbaali.
34 Jonatanov je sin bio Merib Baal; Merib Baal rodi Miku.
Mwana wa Yonathani alikuwa Meribu Baali. Meribu Baali alikuwa baba wa Mika.
35 Mikini su sinovi bili: Piton, Melek, Tarea i Ahaz.
Wana wa Mika walikuwa Pithoni, Meleki, Tarea, and Ahazi.
36 Ahaz rodi Joadu; Joada rodi Alemeta, Azmaveta i Zimrija; Zimri rodi Mosu.
Ahazi akawa baba wa Yehoada. Yehoada alikuwa baba wa Amelethi, Azimavethi, na Zimri. Zimri alikuwa baba wa Moza.
37 Mosa rodi Biniju, čiji je sin bio Rafa, a njegov sin Elasa, njegov sin Asel.
Moza alikuwa baba wa Binea. Binea alikuwa baba wa Rafa. Rafa alikuwa baba wa Eleasa. Eleasa alikuwa baba wa Azeli.
38 Asel je imao šest sinova, kojima su imena: Azrikam, njegov prvenac, Bokru, Jišmael, Šearja, Obadja i Hanan; svi su oni bili Aselovi sinovi.
Azeli alikuwa na wana sita: Azrikamu, Bokeru, Ishimaeli, Obadia, na Hanani. Wote hawa walikuwa wana wa Azeli.
39 Sinovi njegova brata Ešeka bili su: Ulam, prvenac mu, drugi Jehuš, treći Elifelet.
Wana wa Esheki, kaka yake, walikuwa Ulamu mzaliwa wake wa kwanza, Yeushi wa pili, na Elifeleti wa tatu.
40 Ulamovi su sinovi bili hrabri junaci koji su zapinjali luk i imali mnogo sinova i unuka, sto pedeset. Svi su oni bili od Benjaminovih sinova.
Wana wa Ulamu walikuwa wanaume wa mapambano na warusha mishale wa zuri. Walikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla ya 150. Wote hawa walikuwa uzao wa Benjamini.

< 1 Ljetopisa 8 >