< 詩篇 18 >

1 耶和華的僕人大衛的詩,交與伶長。當耶和華救他脫離一切仇敵和掃羅之手的日子,他向耶和華念這詩的話。說: 耶和華,我的力量啊,我愛你!
Nakupenda, Yahwe, nguvu yangu.
2 耶和華是我的巖石,我的山寨,我的救主, 我的上帝,我的磐石,我所投靠的。 他是我的盾牌, 是拯救我的角,是我的高臺。
Yahwe ni mwamba wangu, ngome yangu, yeye ambaye aniwekae kweye usalama; yeye ni Mungu wangu, mwamba wangu; ninapata kimbilio kwake. Yeye ni ngao yangu, pembe ya wokovu wangu, na ngome yangu.
3 我要求告當讚美的耶和華; 這樣我必從仇敵手中被救出來。
Nitamuita Yahwe kwa sababu anastahili kusifiwa, na nitaokolewa kutoka kwa adui zangu.
4 曾有死亡的繩索纏繞我, 匪類的急流使我驚懼,
Kamba za mauti zilinizunguka, na mafuriko yakimbiayo yalinielemea.
5 陰間的繩索纏繞我, 死亡的網羅臨到我。 (Sheol h7585)
Kamba za kuzimu zilinizunguka; mitego ya mauti ilininasa. (Sheol h7585)
6 我在急難中求告耶和華, 向我的上帝呼求。 他從殿中聽了我的聲音; 我在他面前的呼求入了他的耳中。
dhiki yangu nilimuita Yahwe; Niliita msaada kwa Mungu. Naye alisikia sauti yangu kutoka hekaluni mwake; kuita kwangu msaada kulienda mpaka uweponi mwake; na kuingia masikioni pake.
7 那時,因他發怒,地就搖撼戰抖; 山的根基也震動搖撼。
Kisha nchi ikatikisika na kutetemeka; misingi ya milima pia ilitetemeka na kutikiswa kwa sababu Mungu alikuwa amekasirika.
8 從他鼻孔冒煙上騰; 從他口中發火焚燒,連炭也着了。
Moshi ulifuka kutoka kwenye pua zake, na moto mkali ulitokea mdomoni mwake. Makaa yaliwashwa kwa moto huo.
9 他又使天下垂,親自降臨, 有黑雲在他腳下。
Yeye alizifunua mbingu na alishuka chini, na giza nene lilikuwa chini ya miguu yake.
10 他坐着基路伯飛行; 他藉着風的翅膀快飛。
Alipanda kwenye kerubi na akaruka; alinyiririka kwenye mabawa ya upepo.
11 他以黑暗為藏身之處, 以水的黑暗、天空的厚雲為他四圍的行宮。
Yahwe alilifanya giza kuwa hema likimzunguka yeye, wingu la mvua zito katika mbingu.
12 因他面前的光輝, 他的厚雲行過便有冰雹火炭。
Mawe ya barafu na makaa ya moto yalianguka kutoka katika mwangaza kabla yake.
13 耶和華也在天上打雷; 至高者發出聲音便有冰雹火炭。
Yahwe aliongea katika mbingu! Sauti ya aliye juu ilisikika.
14 他射出箭來,使仇敵四散; 多多發出閃電,使他們擾亂。
Yeye aliifyatua mishale yake na kuwatawanya adui zake; na radi nyingi zenye mwanga alizitawanya katika maeneo tofauti tofauti.
15 耶和華啊,你的斥責一發, 你鼻孔的氣一出, 海底就出現, 大地的根基也顯露。
Ndipo mifereji ya maji ilitokea; misingi ya dunia ikadhihirishwa kwa mlio wa pigo lako, Yahwe kwa sauti ya pumzi ya pua zako.
16 他從高天伸手抓住我, 把我從大水中拉上來。
Yeye alishuka chini kutokea juu; akanishikilia mimi! Akanivuta nje ya maji yafurikayo.
17 他救我脫離我的勁敵和那些恨我的人, 因為他們比我強盛。
Aliniokoa kutoka kwa maadui zangu wenye nguvu, kutoka kwa wale ambao walinichukia mimi, kwa kuwa walikuwa na nguvu sana kuliko mimi.
18 我遭遇災難的日子,他們來攻擊我; 但耶和華是我的倚靠。
Wao walikuja kinyume na mimi katika siku ile ya dhiki yangu lakini Mungu alikuwa msaada wangu!
19 他又領我到寬闊之處; 他救拔我,因他喜悅我。
Yeye aliniweka huru katika eneo pana la wazi; yeye aliniokoa kwa sababu alipenezwa nami.
20 耶和華按着我的公義報答我, 按着我手中的清潔賞賜我。
Yahwe amenitunuku mimi kwa sababu ya haki yangu; yeye amenirejesha mimi kwa sababu mikono yangu ilikuwa misafi.
21 因為我遵守了耶和華的道, 未曾作惡離開我的上帝。
Kwa kuwa nimezitunza njia za Yahwe na sijafanya uovu wa kumgeuka Mungu wangu.
22 他的一切典章常在我面前; 他的律例我也未曾丟棄。
Kwa kuwa amri zake zote za haki zimekuwa mbele yangu; kama asemavyo, sijaenda kinyume nazo.
23 我在他面前作了完全人; 我也保守自己遠離我的罪孽。
Pia nimekuwa sina hatia mbele zake, na nimejiweka mwenyewe mbali na dhambi.
24 所以,耶和華按我的公義, 按我在他眼前手中的清潔償還我。
Hivyo Yahwe amenirejesha kwa sababu ya haki yangu, na kwa sababu mikono yangu ilikuwa safi mbele ya macho yake.
25 慈愛的人,你以慈愛待他; 完全的人,你以完全待他。
Kwa yeyote aliye mwaminifu, jionyeshe wenyewe kuwa mwaminifu; kwa mtu asiye na lawama, jionyeshe mwenyewe kuwa usiye na lawama.
26 清潔的人,你以清潔待他; 乖僻的人,你以彎曲待他。
Kwa yeyote aliye msafi, jionyeshe mwenyewe safi; bali ni mjanja kwa yeyote aliye geuzwa.
27 困苦的百姓,你必拯救; 高傲的眼目,你必使他降卑。
Kwa kuwa wewe huwaokoa watu walio taabishwa, lakini wewe huwashusha chini wale wenye majivuno, yaani macho yaliyo jinua!
28 你必點着我的燈; 耶和華-我的上帝必照明我的黑暗。
Kwa kuwa wewe huipa mwanga taa yangu; Yahwe Mungu wangu hutia mwanga giza langu.
29 我藉着你衝入敵軍, 藉着我的上帝跳過牆垣。
Kwa kuwa kwa kupitia wewe ninaweza kuruka juu ya kiwazo kilichowekwa; kupitia Mungu ninaweza kuruka juu ya ukuta.
30 至於上帝,他的道是完全的; 耶和華的話是煉淨的。 凡投靠他的,他便作他們的盾牌。
Kama kwa Mungu: njia yake ni kamilifu. Neno la Yahwe ni safi! Yeye ni ngao kwa yeyote anaye kimbilia katika yeye.
31 除了耶和華,誰是上帝呢? 除了我們的上帝,誰是磐石呢?
Kwa kuwa nani ni Mungu ispokuwa Yahwe? Nani ndiye mwamba ispokuwa Mungu wetu?
32 惟有那以力量束我的腰、 使我行為完全的,他是上帝。
Ni Mungu anitiaye nguvu ndani yangu kama vile mkanda, ambaye humweka mtu mwenye lawama katika njia yake.
33 他使我的腳快如母鹿的蹄, 又使我在高處安穩。
Yeye hunifanya miguu yangu kuwa myepesi kama mbawala na kuniweka mahali pa juu!
34 他教導我的手能以爭戰, 甚至我的膀臂能開銅弓。
Yeye hufunza viganja vyangu kwa ajili ya vita na mikono yangu kupiga upinde wa shaba.
35 你把你的救恩給我作盾牌; 你的右手扶持我; 你的溫和使我為大。
Wewe umenipa mimi ngao ya wokovu. Mkono wako wa kuume umenisaidia, na neema yako imenifanya kuwa mkubwa.
36 你使我腳下的地步寬闊; 我的腳未曾滑跌。
Wewe umetengeneza nafasi pana kwa ajili ya miguu yangu ili miguu yangu isiteleze.
37 我要追趕我的仇敵,並要追上他們; 不將他們滅絕,我總不歸回。
Ninawashawishi adui zangu na kuwakamata; nami sikurudi nyuma mpaka walipo haribiwa.
38 我要打傷他們,使他們不能起來; 他們必倒在我的腳下。
Niliwashambulia hata hawakuweza kuamka; nao wameangukia chini ya miguu yangu.
39 因為你曾以力量束我的腰,使我能爭戰; 你也使那起來攻擊我的都服在我以下。
Kwa kuwa unanitia nguvu kama mshipi kwa ajili ya vita; wewe unawaweka chini yangu wale ambao wanainuka kinyume na mimi.
40 你又使我的仇敵在我面前轉背逃跑, 叫我能以剪除那恨我的人。
Wewe ulinipa visogo vya maadui zangu; niliwaagamiza wale walio nichukia.
41 他們呼求,卻無人拯救; 就是呼求耶和華,他也不應允。
Wao waliita msaada lakini hakuna aliye wasaidia; walimuita Yahwe, lakini hakuwaitikia.
42 我搗碎他們,如同風前的灰塵, 倒出他們,如同街上的泥土。
Niliwapiga wao katika vipande vidogo vidogo kama vile vumbi mbele ya upepo; niliwatupa nje kama udongo mtaani.
43 你救我脫離百姓的爭競, 立我作列國的元首; 我素不認識的民必事奉我。
Wewe uliniokoa mimi kutoka katika migogoro ya watu. wewe umenifanya kichwa juu ya mataifa. Watu ambao sikuwahi kuwafahamu huntumikia.
44 他們一聽見我的名聲就必順從我; 外邦人要投降我。
Pindi tu waliposikia kuhusu mimi, wao walinitii; wageni walilazimishwa kunisujudu.
45 外邦人要衰殘, 戰戰兢兢地出他們的營寨。
Wageni walitoka kwenye ngome yao wakitetemeka.
46 耶和華是活神。 願我的磐石被人稱頌; 願救我的上帝被人尊崇。
Yahwe anaishi; mwamba wangu usifiwe. Ainuliwe Mungu wa wokovu wangu.
47 這位上帝,就是那為我伸冤、 使眾民服在我以下的。
Yeye ni Mungu ambaye hutelekeza visasi kwa ajili yangu, ambaye huwatiisha mataifa chini yangu.
48 你救我脫離仇敵, 又把我舉起,高過那些起來攻擊我的; 你救我脫離強暴的人。
Nimewekwa huru kutoka kwa adui zangu! wewe uliniinua juu ya wale walioinuka kunyume na mimi! Wewe uliniokoa kutoka kwa watu wenye vurugu.
49 耶和華啊,因此我要在外邦中稱謝你, 歌頌你的名。
Kwa hiyo nitakushukuru wewe, Yahwe, kati ya mataifa; Nitaliimbia sifa jina lako!
50 耶和華賜極大的救恩給他所立的王, 施慈愛給他的受膏者, 就是給大衛和他的後裔,直到永遠。
Mungu hutoa ushindi mkuu kwa mfalme wake, na yeye huonyesha uaminifu wa agano lake kwa mpakwa mafuta wake, kwa Daudi na ukoo wake milele.

< 詩篇 18 >